Au mkuu ulshawahi kuwaza kipofu tangu kuzaliwa huwa anaota nini?
Sent using
Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo uliponifanya niwaze kidogo...your thought has a content inside....ni ipi dhana ya kuwa kila unachoota ni lazima macho yawe yame experience katika hali ya mazingira ya kawaida ukiwa concious....??
...But how if somebody is born without eyes ( Anophthalmia) yani mtu anazaliwa hana jicho au hana macho kabisa japo ni rarely sana ila hali hizo zinatokea kwa baadhi ya maeneo duniani japo juhudi za kuwawekea reconstruction nyingine kwa njia ya ocular prostheses inafanya kazi lakini sasa tujiulize hao vipofu ambao pengine wanakuwa na umri mkubwa kabla ya kuja kupewa tiba ya kurudisha sight yao ,Je !wakilala usiku,.....what is their mental occular reflection inayokuja kwa njia ya ndoto....??
My take....
Ndiyo kuna ushahidi wa kisayansi kuwa kila unachokiota ni lazima macho yako yawe yamesha ki witness( Shuhudia) katika physical reality....Lakini je ni kweli ndoto ni reflection ya yote ambayk macho yameona katika concious reality....??
Kuna mazingira mtu anaota ili hali hajawahi kufika huko wala hajawahi kuwa na idea ya mazingira flani ila anota mazingira tofauti kabisa.. ....
Mara ngapi mtu anaota kakatika mguu lakini hajawahi kuwa na imagination ya namna hiyo...!!??
Dream covers a wide range of reflection ,kuna physical reflection na mental reflection ,inategemeana zaidi ni wapi akili yako inasimamia zaidi...ukiwa unaconcentrate zaidi kuona vitu na kuviweka akilini nayo akili yako itafanya back up reflection katika memory centre ,mtu anaota kile ambacho macho yamekuwa yakikiona mara kwa mara lakini memory yako inakuwa inakipa nafasi sana thus why intensity zake zinakuwa nyingi( overcapacity) na kufanya memory centre kuwa inatema data kwenye subconcious kuikumbusha kuwa hiki kitu nishakihifadhi but kinadisturb snaa...
Lakini pia mtu anaweza pata mental reflection kama kuna kitu anakifikilia kwa muda mrefu ( Mental ideation for a long time) bila kukiiona kwa macho hence memory inahifadhi kwa staili ile ile ,nayo ikiwa kubwa inampa taarifa bwana subconcious kuwa hicho kitu kimechukua nafasi sana kwenye sehemu yangu vipi hakuna namna ya kukiondoa ....!!
So dreaming is what your mind concentrates together with your eyes witnessing the moments ever....
Back to question.........
Kichaa ni mtu kama wewe ambaye una percieve mambo kulingana na concious awareness yako..
Kila mtu ana eneo au capacity flani katika ku percieve mambo...kila mtu ana range yake ya kuona na kuhisi mambo katika interaction range flani....
Mtu ambaye kawa kichaaa hawezi jijua kama amekuwa kichaaa kwani ukichaa ni hali ambayo mental inahamia katika level zingine za awareness na anapokuwa kwenye mazingira hayo anakuwa normal ( kwake) ila nyie ambao majority mpo kwenye level moja ya awareness mnamuona kama nati zimelegea na yeye anakuwa anawaona kama nati zenu zimewalegea.....
Mpaka pale atakapopewa dawa ya kuirudisha conciousness yake katika range ya kawaida ndo anaweza feel kama yupo sawa na nyie...
Mwili wa binadamu ni kama computer....
Computer ilitengenezwa kuportray jinsi mwanadamu anavyofanya kazi....unavyoiona computer ilivyo ndivyo hata wewe ulivyo...jinsi inavyofanya kazi ndivyo wewe pia ulivyo...jinsi ilivyoundwa ndani ndivyo hata wewe ulivyo...jinsi inavyotumia umeme ili ifanye kazi ndivyo hata wewe unahitaji chakula ili uwe concious muda wote...jinsi ilivyo na keyboard ili iweze kutoa comand ndivyo ulivyo hata wewe , una vidole na miguu ili utembee na kufika mahala husika....
kama ambavyo inaweza ikacease ( Off) au on na kutoa informations kuhusu ilichokihifadhi ndivyo hata wewe unaweza ukafa na kupoteza kila kitu kichwani mwako...
computer ni kama mwanadamu...ina HD( hard disc in GB ili kuhifadhi materiols au documents,)ndivyo ulivyo ubongo wa mwanadamu ,bila hard disc computer haiwezi hifadhi chochote,bila ubongo ,mwanadamu hawezi hifadhi chochote..
Computer ina Processor na RAM ambavyo vina ifanya computer iwe inasoma kwa haraka nyaraka zilizohifadhiwa kwenye hard dis ,so peocessor kubwa na RAM kubwa hufanya computer kuwa nyepesi katika duveliver unachokihitaji kwa haraka zaidi..
Ukiwa na processor ndogo au RAM ndogo ndivyo uwezo wa kufungua document na mafaili kwenye hard disc unakuwa shida...
Ndivyo ilivyo kwenye ubongo...mtu anahitaji akili zaidi ambayo itakuwa inasoma na kupembua mambo ambayo ubongo umeyahifadhi..ukiwa ana akili zaidi ndivyo uwezo wa kuhifadhi na kukumbuka mambo unakuwa mwepesi and vice versa...
Computer ina transistors na capacitors nying sana ,ndivyo ulivyo mwili wa mwanadamu umeundwa kwa cell na organi nyingi ambazo zinafanya kazi kwa pamoja..kimoja kikifeli kingine kinaathirika kwa namna moja au nyingi (indirectly)...
Hivyo basi,the way unavyoiona computer ndivyo miili yetu inafanya kazi...
So ukichomoa kifaa mimoja kidogo kwenye computer ,japo computer inaweza izioneshe dalili za kushindwa kufanya kazi ila ipo siku itazima gafla na utashindwa kujua shida ni nini kumbe kuna kitu kilitolewa sehemu ...na ndo mwisho wa computer yako kufanya kazi ndivyo yalivyo maisha wa mwanadamu...
Hata miili yetu nayo ni hivyo hivyo..ikifeli figo,basi ipo siku Ini nalo litafeli...ukifeli ubongo ipo siku Ini litafeli nalo..everything interact in such away that ni multisystem dependant...miili yetu ni multisystem dependant.....mfumo mmoja unategemea mfumo mwingine ili mwili wote uwe hai..so ni lazima mifumo yote iwe hai ndipo mwili utakuwa okeyyyyyyy...
Kwa hiyo swala la kuwa kichaaa anaota nini au anajiona ni wa hali gani ni kwamba kila hali huwa inaji define ikiwa kwenye hali flani ya concious awareness....
Wenye uelewa mdogo wa akili huwa wanajiona wapo sawa kuliko wengine ,hali kadhalika kwa wenye akili nyingi nao huwa wanajiona ni bora kuliko wengine...kwa hiyo kila level ilipo conciousness yako inaipa akili yako ufahamu kuwa upo kawaida tu na huwezi kujijua mpaka utoke level ulipo...
So the shifted mental status ya mwanadamu yoyote haiwezi jigundua mpaka pale itakaporudishwa kwenye deviated condition.....
Sent using
Nokia 8 Plus