Recent content by Prince Nadheem

  1. Prince Nadheem

    Msaada: Jinsi kuinstall vlc media kwenye hisense smart tv

    Kama ni Hisense VIDAA hapo hauna namna zaidi kukushauri ununue Android box ili upate access ya kuinstall android apps ikiwemo VLC VIDAA ipo very selective katika kusupport different playable files, unaweza weka flash ya movie 30 ikakubali kucheza 3 tu Labda useme tu smart tv yako ipo katika...
  2. Prince Nadheem

    Pamoja na ulevi wangu,ila kuberi nimeishindwa aisee

    Kuber nakumbuka mwaka 2001 nikiwa form 3 secondary flani mkoani Mbeya Kuna mwamba alikuwa anajiita Fish aliingiza class kwa Wana. Watu walipiga na karibia nusu ya darasa walikata network. Kuna demu alijikojolea (Sasa hivi yupo bank Moja maarufu mitaa ya posta jijini DSM). Mchana huo aliingia...
  3. Prince Nadheem

    KERO Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, tueleze mitihani ya kila wiki kwa kuwalipisha wazazi mchango wa Tsh. 1,500 kila Ijumaa , ndiyo sera uliyoiruhusu?

    Inferiority complex. Wewe unayo shida ya kisaikolojia. Hajatukanwa mtu kwa namna yeyote ile. Neno pumbazo limetumika kuwa unapumbazwa na maneno/falsafa/kauli mbiu za wanasiasa juu ya kuaminishwa suala la elimu bure. Sasa wewe umetoka ulipotoka umeshapandisha sukari, povu linakutoka tu kuwa...
  4. Prince Nadheem

    Binti wa 2000 amenipenda mimi na watoto wangu

    Mbona kama thread Yako haipo na taarifa (details) za kutosha? Wataka nini na msimamo wako ni nini??
  5. Prince Nadheem

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kuna kondom zinaitwa bareback na Durex Real Feel Non-Latex. Hizo ni hatareeee. Kitu kama unateleza. First time kutumia nilikuwa kila mara nahakiki kama mzigo upo au lah! Ngoma nilikuwa napiga show na former collegemate tumekutana kwa mara ya kwanza baada ya miaka 10. Yeye alikuwa yupo kikazi...
  6. Prince Nadheem

    Kompyuta ya AI ni Nini, na Inatofautianaje na Kompyuta ya Kawaida?

    Ahsante sana kwa uchambuzi mzuri mkuu. Hizo PC mnazouza haujasema kama ni brand new, refurbished au second hand. Pia ungetoa hata price range kuwa PC zenye AI zinacheza kati ya bei gani na bei gani. Yangu ndio hayo tu, ahsante
  7. Prince Nadheem

    KERO Responded Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

    Elewa muktadha mzee. Mtoa mada kasema hospitali ya Mlonganzila kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Na kumbuka kuwa mkewe alipewa rufaa labda kwa sababu ya complications flani au uwezo mdogo wa kituo walichokuwa wanahudumiwa awali. So yes watu wanajifungulia katika vituo vingine kwa...
  8. Prince Nadheem

    Nahisi kutokuwa sawa kiroho. Pepo wachafu wameniingilia!

    Rejea, ungama na muombe sana Mungu wako kwa roho na kweli. Maanisha toba yako, achana kabisa na mtindo huo wa maisha uliouzoea. Badala ya kwenda maeneo ya starehe jifiunze sana kukaa nyumbani na usome vitabu vya ibada. Kama hali bado inakomaa anza kuhudhuria sana nyumba za ibada na kukemea...
  9. Prince Nadheem

    Sijawahi kuona simu yoyote ya Google Pixel au Aquos ikisoma 5G hapa Tanzania

    Iphone ni simu ya kimarekani na inasoma 5G. Kwa simu yako umeiwezesha 5G??
  10. Prince Nadheem

    KERO Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, tueleze mitihani ya kila wiki kwa kuwalipisha wazazi mchango wa Tsh. 1,500 kila Ijumaa , ndiyo sera uliyoiruhusu?

    Ndugu mtoa mada hebu amka katika huo usingizi mzito na pumbazo ulilo nalo. Hakuna kitu kinaitwa elimu bure hata iwaje. Ni nyinyi ndio wa kwanza kuhoji matokeo iwapo watoto hawafanyi vema matokeo yanapoachiliwa. Hivyo ili kuwajengea uwezo watoto: walimu waliona mitihani ya mara kwa mara inaweza...
  11. Prince Nadheem

    Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

    Hapo kwenye rangi ni pakuzingatia sana aisee ila kuna sehemu umetupeleka chaka. Oil watu wengi hawatumii oil na filter sahihi za gari. wengi tunafunga filters fake! Oil pia zinakuwa na specification zake. Engine ya ist ambayo ni 1nzFe inatumia oil ya 5W30, sasa wakuta mtu anaweka engine ya 15w40...
  12. Prince Nadheem

    Kwanini Toyota IST huwa zinawahi sana kuchoka

    Sasa kama Range moja inaundwa kwa miezi sita si wangekuwa na gari chache sana duniani? Pia gari pekee inayoundwa kwa mikono (handmade cars) ni Rolls Royce na ndio huchukua kipindi hicho katika uundwaji wake. Land Rove (parent company ya Range Rover) hutumia maroboti kama ist tu
  13. Prince Nadheem

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Ujuzi mwingi, mbele giza 😆😆😆
  14. Prince Nadheem

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Mzee soma between the lines. Simu ambazo hazikuwepo ni hizi za mkononi ila kulikuwa na landline na amesema vizuri tu kuwa kulikuwa ma simi za mezani
  15. Prince Nadheem

    Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Hapo kwenye red pame-raise red flag
Back
Top Bottom