Kama ni Hisense VIDAA hapo hauna namna zaidi kukushauri ununue Android box ili upate access ya kuinstall android apps ikiwemo VLC
VIDAA ipo very selective katika kusupport different playable files, unaweza weka flash ya movie 30 ikakubali kucheza 3 tu
Labda useme tu smart tv yako ipo katika...
Kuber nakumbuka mwaka 2001 nikiwa form 3 secondary flani mkoani Mbeya Kuna mwamba alikuwa anajiita Fish aliingiza class kwa Wana. Watu walipiga na karibia nusu ya darasa walikata network. Kuna demu alijikojolea (Sasa hivi yupo bank Moja maarufu mitaa ya posta jijini DSM).
Mchana huo aliingia...
Inferiority complex. Wewe unayo shida ya kisaikolojia. Hajatukanwa mtu kwa namna yeyote ile. Neno pumbazo limetumika kuwa unapumbazwa na maneno/falsafa/kauli mbiu za wanasiasa juu ya kuaminishwa suala la elimu bure.
Sasa wewe umetoka ulipotoka umeshapandisha sukari, povu linakutoka tu kuwa...
Kuna kondom zinaitwa bareback na Durex Real Feel Non-Latex. Hizo ni hatareeee. Kitu kama unateleza. First time kutumia nilikuwa kila mara nahakiki kama mzigo upo au lah! Ngoma nilikuwa napiga show na former collegemate tumekutana kwa mara ya kwanza baada ya miaka 10. Yeye alikuwa yupo kikazi...
Ahsante sana kwa uchambuzi mzuri mkuu. Hizo PC mnazouza haujasema kama ni brand new, refurbished au second hand. Pia ungetoa hata price range kuwa PC zenye AI zinacheza kati ya bei gani na bei gani.
Yangu ndio hayo tu, ahsante
Elewa muktadha mzee. Mtoa mada kasema hospitali ya Mlonganzila kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Na kumbuka kuwa mkewe alipewa rufaa labda kwa sababu ya complications flani au uwezo mdogo wa kituo walichokuwa wanahudumiwa awali.
So yes watu wanajifungulia katika vituo vingine kwa...
Rejea, ungama na muombe sana Mungu wako kwa roho na kweli.
Maanisha toba yako, achana kabisa na mtindo huo wa maisha uliouzoea.
Badala ya kwenda maeneo ya starehe jifiunze sana kukaa nyumbani na usome vitabu vya ibada.
Kama hali bado inakomaa anza kuhudhuria sana nyumba za ibada na kukemea...
Ndugu mtoa mada hebu amka katika huo usingizi mzito na pumbazo ulilo nalo.
Hakuna kitu kinaitwa elimu bure hata iwaje.
Ni nyinyi ndio wa kwanza kuhoji matokeo iwapo watoto hawafanyi vema matokeo yanapoachiliwa.
Hivyo ili kuwajengea uwezo watoto: walimu waliona mitihani ya mara kwa mara inaweza...
Hapo kwenye rangi ni pakuzingatia sana aisee ila kuna sehemu umetupeleka chaka. Oil watu wengi hawatumii oil na filter sahihi za gari. wengi tunafunga filters fake! Oil pia zinakuwa na specification zake. Engine ya ist ambayo ni 1nzFe inatumia oil ya 5W30, sasa wakuta mtu anaweka engine ya 15w40...
Sasa kama Range moja inaundwa kwa miezi sita si wangekuwa na gari chache sana duniani? Pia gari pekee inayoundwa kwa mikono (handmade cars) ni Rolls Royce na ndio huchukua kipindi hicho katika uundwaji wake. Land Rove (parent company ya Range Rover) hutumia maroboti kama ist tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.