Kuchepuka sio kosa?

Kuchepuka sio kosa?

Seleina Tikili

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,407
Reaction score
2,729
Tatizo wengi wanakosa upendo kutoka kwa wake zako.kama unakuta mkeo ka furaha kama andazi za mama Amina.

Hakuonyesh upendo utaachaje kuchepuka. kwa iyo usilaumu kuchepuka jiulize umekosea wap mpaka kachepuka.
 
Tatizo wengi wanakosa upendo kutoka kwa wake zako.kama unakuta mkeo ka furaha kama andazi za mama Amina.

Hakuonyesh upendo utaachaje kuchepuka. kwa iyo usilaumu kuchepuka jiulize umekosea wap mpaka kachepuka.
Siki ukiona mkeo hakufurahii basi tambua ulioa mke wa mwanaume mwingine, namaanisha hakua wako ulilazimisha kuishinae kwenye ndoa wakati yeye alikua anahaja na harusi tu.
Na..... mwanamke kukupenda sio eneo lake, zaidi anapaswa awe mtii kwako na wewe ndie umpende.
Wakati mwingine vijana msiwe mnaleta nyuzi za ajabu hata inapelekea wanawake hadi wa Jf wanakuoneni hamjitambui aloooo.....
 
Huu MSEMO ni ingizo jipya KICHWANI mwangu ☺️☺️

NB. Nawaza kurejesha furaha ya wife maana kanishika...nime msalitii sijui itakuaje yaani
Chill down mkuu, mkeo furaha yake itarejea ikiwa tu utafanya moja kati ya haya mawili.
Kama hana uhakika kuwa ulichepuka basi wekataa na ikibidi apia kabisa ili uokoe ndoa yako.
Kama alikukamata na anao ushahidi basi piga goti mkiwa wawili na omba msamaha kisha badilisha ratiba yako uanze kurudi home mapema na vijizawadi visikauke.
Hawa tumeumbiwa sie mazee....😂
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana. Leo natimiza siku ya 18 tangu kupewa tunda. Imagine na tunalala kitanda kimoja! Mtu unampapasa romantically kuwa wamuhitaji halafu yeyey anakausha kauuuuu. Kwa sasa mie nachepuka na kazi tu. Napiga kazi hadi late evening, maana sinywi pombe. Nikifika nimechoka naoga nalala.

Asubuhi naamka zangu mapema kabisa nawahi kazini. Natafuta mtu perfect wa kuchepuka nae tu kama hali inaenda hivi.
Yaani kuna muda nilihisi anachepuka nikavaa mkanda wa mabom nikahack simu yake nina access ya mic za simu yake all the time na nasikia kila mawasiliano yake aidha akiwa anaongea na watu ana kwa ana (akiwa na rafiki zake), simu zake na message zake. Hakuna shida ila ndio vile sijaona kijaruba cha bibi kwa muda mrefu kiasi hicjo.
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana. Leo natimiza siku ya 18 tangu kupewa tunda. Imagine na tunalala kitanda kimoja! Mtu unampapasa romantically kuwa wamuhitaji halafu yeyey anakausha kauuuuu. Kwa sasa mie nachepuka na kazi tu. Napiga kazi hadi late evening, maana sinywi pombe. Nikifika nimechoka naoga nalala.

Asubuhi naamka zangu mapema kabisa nawahi kazini. Natafuta mtu perfect wa kuchepuka nae tu kama hali inaenda hivi.
Yaani kuna muda nilihisi anachepuka nikavaa mkanda wa mabom nikahack simu yake nina access ya mic za simu yake all the time na nasikia kila mawasiliano yake aidha akiwa anaongea na watu ana kwa ana (akiwa na rafiki zake), simu zake na message zake. Hakuna shida ila ndio vile sijaona kijaruba cha bibi kwa muda mrefu kiasi hicjo.

Mkuu kataa kabisa stress za mapenzi.

Tafuta manzi mbali na hapo, Punguza genye na usimsumbue mtt wa watu.

Hormones zake zikikaa sawa atasema tu shida nn au anataka nn.
 
Chill down mkuu, mkeo furaha yake itarejea ikiwa tu utafanya moja kati ya haya mawili.
Kama hana uhakika kuwa ulichepuka basi wekataa na ikibidi apia kabisa ili uokoe ndoa yako.
Kama alikukamata na anao ushahidi basi piga goti mkiwa wawili na omba msamaha kisha badilisha ratiba yako uanze kurudi home mapema na vijizawadi visikauke.
Hawa tumeumbiwa sie mazee....😂

Achana na maswala ya kupigia goti wanawake.

Umeshakosea, Ongea nae kiume kama ana moyo ata samehe na kama hata samehe basi ndo matunda ya uzinzi hayo kubaliana nayo tu.
 
Hakuonyesh upendo utaachaje kuchepuka. kwa iyo usilaumu kuchepuka jiulize umekosea wap mpaka kachepuka.
Mkuu kuchepuka ni Hobby, kama vile kutazama mpira au kushabikia timu ya Mpira.

Mtu mwenye hobby hio hakuna kitakachomzuia kuchepuka. Iwe Mwanaume au mwanamke.

Be a Man, acha kutafuta visingizio, kama unachepuka wewe endelea ila kubaliana na matokeo ya matendo yako.
 
Mkuu kataa kabisa stress za mapenzi.

Tafuta manzi mbali na hapo, Punguza genye na usimsumbue mtt wa watu.

Hormones zake zikikaa sawa atasema tu shida nn au anataka nn.
Ndio maana najipa muda kwanza wa kuona hatma ya hili bench nililosugulishwa kama Onana. Ila surely ninajikaza tu ila kidumu kimejaa sana sema ndio najipa majukumu ya kikazi saaana ili nikirejea home nikigusa kitanda tu chali
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana. Leo natimiza siku ya 18 tangu kupewa tunda. Imagine na tunalala kitanda kimoja! Mtu unampapasa romantically kuwa wamuhitaji halafu yeyey anakausha kauuuuu. Kwa sasa mie nachepuka na kazi tu. Napiga kazi hadi late evening, maana sinywi pombe. Nikifika nimechoka naoga nalala.

Asubuhi naamka zangu mapema kabisa nawahi kazini. Natafuta mtu perfect wa kuchepuka nae tu kama hali inaenda hivi.
Yaani kuna muda nilihisi anachepuka nikavaa mkanda wa mabom nikahack simu yake nina access ya mic za simu yake all the time na nasikia kila mawasiliano yake aidha akiwa anaongea na watu ana kwa ana (akiwa na rafiki zake), simu zake na message zake. Hakuna shida ila ndio vile sijaona kijaruba cha bibi kwa muda mrefu kiasi hicjo.
Vipi nje ya kitanda na huko pia kuna mkausho?
 
Back
Top Bottom