Recent content by prince lugazo

  1. P

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    Kaitwa akafanye kazi maalum ya kumfurahisha mkuu! Iv kwani huyu jamaa hana mke! Mi si nasikia mkwe wa mtei! Daaah! Sasa kitabadilishwa jina na kuitwa CHAMALAYA. Mmmmh!
  2. P

    Vijana HANDENI. walazimishwa kujiunga na mafuzo ya Mgambo.

    Jeshi la Wananchi wa Tanzania wilayani Handeni Mkoa wa Tanga linaingia nyumba hadi nyumba kuandikisha vijana kujiunga na mafunzo ya mgambo kwa lazima, na mkuu wa Wilaya hiyo Bw, Muhingo Rweyimamu amesema atakae kaidi amri hiyo atahukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela.
  3. P

    CHADEMA yageuka 'bubu' sakata la Ponda; huu ni usaliti!

    Acha ushamba SAMRICH1; coz kauli yako inanyesha na wewe umetumwa uje utete magwanda, tueleze kwanini chadema hawajatoa tamko lolote kuhusu tukio la Ponda, unaanza kuropoka katumwa used we vipi bana,! lakni haishangazi maana nyie chadema busara imewapitia kushoto, na hatutashangaa tukisikia...
  4. P

    CHADEMA yageuka 'bubu' sakata la Ponda; huu ni usaliti!

    Inavyoonekana hata wewe umetumwa.
  5. P

    Unaweza kuwa na mtazamo wa kitumwa lakni ukajiona sio mtumwa.

    Nimekua nikufuatilia mada na michango mbalimbali katka page hii kwa muda mrefu kabla na baada ya kujiunga na familia hii. Nimegundua mambo mengi lakni leo nitajikita kwa wale wanaojiona wao ndio MA-GREATEST THINKERS THAN OTHERS. Hawa jamaa kazi yao ni kumshambulia yeyote atakae onekana anatetea...
  6. P

    Unaweza kuwa na vitendo vya kitumwa lakni ukajiona sio mtumwa.

    Nimekua nikufuatilia mada na michango mbalimbali katka page hii kwa muda mrefu kabla na baada ya kujiunga na familia hii. Nimegundua mambo mengi lakni leo nitajikita kwa wale wanaojiona wao ndio MA-GREATEST THINKERS THAN OTHERS. Hawa jamaa kazi yao ni kumshambulia yeyote atakae onekana anatetea...
  7. P

    Msaada. natafuta jina zuri la kike

    Muite YAZUA au MAZOLA haya ni ya kibantu.
  8. P

    Hivi kwa nini...?

    Ndugu yangu mwanamke ni sawa na msitu mnene, lakini ukiingia ndani kweupe, sisi kule kwetu ulaya kuna methali inasema ivi :MAGURU YEDI KWA HALE: maana yake MILIMA MIZURI KWA UONO WA MBALI LAKNI ISOGELEE UONE KAMA NI MIZURI! we angalia Mlima Kilimanjaro ulivyo mzuri lakni panda uone, kuna...
  9. P

    Demu aliyenimwaga anakuja kwa kasi,nimpokee?

    Achana nae mademu ndivyo walivyo utamrudia baadae atakuja kukumwaga tena kama huamini we umrudie lkn naamini utakuja kutoa ushuhuda humuhumu halafu atakuona ----- inamaana muda wote huo umeshindwa kupata demu mwingine mpaka umrudie yeye? Huo ni udhaifu kaka achana nae.
  10. P

    Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

    Me nadhan huwezi kuachana na mpenzi wako bila sababu, so mwambia kwasababu hii me na wewe basi, baada ya hapo hata akipiga cm unampotezea, na kama huna sababu ila umemchoka tu basi mtafutie zengwe lolote ilimradi uachane nae. NI HAYO TU MWADADA
  11. P

    Naombeni msaada wa frequence za chaneli za Kenya na Uganda kwa kutumia satelite dish

    Before ulikua unazipata? Na unatumia decorder gani? Mi nilikua natumia mediacom nilikua napata hzo zote ulizota na zaidi kama Msumbiji,Nigeria,Irani nk. Lkn kwenye hivi visimbuzi vya kibongo utaangaika sana.
  12. P

    Global publishers ya shigongo ipo tayari kuua ili wafanye biashara

    Kaka yale ni magezeti ya udaku, hata Ulaya yapo na likikuandika vbaya ukilishtaki unalipwa fidia wao washafanya biashara sku zinaeenda jami inajua kilichoandilwa kuhusu wewe ni kweli. Na mtu mwenye akili timamu huwezi kununua magazeti ya udaku utasoma nini mule?me mara ya mwisho kununua gazeti...
  13. P

    Mwigulu na bendera ya TZ shingoni na Tishet iliyoandikwa Tanzania,je ni Uzalendo au?

    Sio ushamba wala uzalendo Anatekeleza masharti ya Mganga wake.
  14. P

    Baba na Mwana watatoka lini gerezani?

    Poa...jamani acha me nijitoe kwenye hii mada..coz hua sipendi maneno ya kashfa mngesubiri nimalize ndo mungeanza kukosoa lkn cjafka hata robo,sasa wewe unaesema madada poa wapo unadhani ukitumia adult nani atashangaa wakati mambo hayo watu washayazoea, hivi ww leo hii ukickia kuna X ya watoto...
Back
Top Bottom