Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

Status
Not open for further replies.
Kaitwa akafanye kazi maalum ya kumfurahisha mkuu! Iv kwani huyu jamaa hana mke! Mi si nasikia mkwe wa mtei! Daaah! Sasa kitabadilishwa jina na kuitwa CHAMALAYA.
Mmmmh!
 
Mambo ya mapenzi ya watu 2 kayajuaje mwigulu kama sio unafiki na upuuzi wake? mambo ya uhawara wa watu anaweza kuthibitisha?

We nawe unaongea kama taahira! Nani asiyejua kuwa huyo ni hawara yake! Unataka ushahidi gani? Kamuulize mkewe!
 
Wachangiaji sie nguvu hii tungetumia kuwashawishi wawakilishi wetu wapigie kelele ukosefu wa maji na hospitali majimboni kwetu mbona tungekuwa mbali...badala yake mnatetea 'ujuha' wa wabunge wanaokazana na character assasinations....Hivi makelele anayopiga Mwigulu yangeelekezwa kwenye hela za Uswisi si zingekuwa zisharudishwa mpaka senti ya mwisho? Au ndio tuamini ameanza na Mbowe na mengine yatafuata?

Haya Mwigulu, tunakusubiri kwa hamu....ila miaka inaenda hiyo 2015 siyo mbali, sijui utayasemea lini?
 
Zitto anamtumia bozo kujaribu kumharibia Mbowe mbona ana stoop so low......

Jaman kila kitu zito, zito..yeye anahusikaje huku??? Suala la viongoz wa chadema kupenda vipochi manyoya zitto asihusishwe. Mboe analalamika usaliti, yeye kasaliti taasisi kubwa kbs ya ndoa
 
Wakenya wanasema MPANGO WA KANDO.

Unadhani kwa maneno yenu ya kijinga ndiyo yatawafanya watz wawahurumie na kuwapa kura 2015? watz wanataka maisha bora tu na si ngonjera zenu za kipuuzi! tunataka maji safi ya uhakika,umeme wa uhakika,huduma bora za afya na elimu bora na si porojo na majungu ya kuokoteza!
 
Siasa huwa inaondoa heshima sana.......!hajapewa nchi ameanza hv sa akipewa c atakuwa ananyang'anya wake za watu na ukileta unazushiwa kesi ya kubaka.......!hizi ni pesa za walipa kodi zinazoliwa kwa mambo binafsi,hakuna mkombozi wa hii nchi zaidi wewe mwenyewe...hao hizo ajira zao km wewe ulivyoajiliwa hawana jipya.
Nilikwishakuwaambieni pale hakuna viongozi wala chama; kuna waganga njaa na wahuni tuuuuu
 
Viongozi wote wenye uwezo mkubwa wa kuongoza(ukiondoa mwl.nyerere) wana sifa ya kuwa malaya. Mfano ni mfalme Daud na mwanae aliyezaliwa ktk ndoa haramu mfalme suleimani,kwame nkurumah,nelson mandela,bill clinton nk. Hawa wote kwa nyakati tofauti wamekumbwa na kashifa ya ngono. Mwigulu haelewi km uongozi una uhusiano sana na umalaya ndo maana hata yeye alifumaniwa. Hivi baba ridhiwan kwa nn hapendi kwenda marekani akiwa salma?
 
Ushaidi ni Mwanamke hawezi kufanya kazi na mwanaumme bila kuwa na mahusiano ya kimapenzi!

Kuna watu bado wanaamini mwanamke uwezo wake unaishia jikoni!

Inasikitisha kuona mwanamke kusafi na mwanaume ndio mjadala bungeni leo, tena kutoka kwa naibu katibu mkuu wa chama tawala..safari yetu sio fupi!!

Kuna watu wana mbinu za kijima tu
Amini nakwambia huu ni mpango mchafu kati ya MM na Nchema....how low?......disgusting
 
Mimi nadhani kwa siasa za Kitanzania hamna mwanasiasa akasema yeye ni clean kwenye ngono. Kila mtu ni mchafu. Kutumia hoja ya ufsika sidhani kama ni nguvu kwenye siasa. Naamini wanasiasa wa kweli wenye kujua sayansi ya siasa kama Mzee Msekwa, Kinana hawawezi kutumia hii hoja kwa Tanzania.

Pia, hizi kashfa zitakuwa nyingi wakati huu. sio jambo la kushangaa. Simtetei msizi ila Mbowe kwa Cheo chake ana uwezo huo kama ni kazi ya chama ila hiyo hela irudishwe maana haijatumika kwa siku alizobakiza.

Ila jamani kumchafua mtu personally namna hii bila uchunguzi wa kina hutendei familia zote mbili haki.
 
Mods, tunaomba muwe mnafatilia habari kwa ukaribu ili mjiridhishe ni kweli ndio mruhusu ziwe hawani..
Uzi ulioanzishwa na "utaifa kwanza" na wa "faizafoxy" unatofautiana mantiki.. Na ni tofauti na kilichosemwa bungeni au wao wameongeza yao..
Hoja ilikuwa matumizi ya pesa za safari, na hakutajwa mbowe kumpigia mtu simu, wala haikutwa mbowe na huyo mbunge ni mahara..
Tuwe serious.. Politiko jokes ni upuuzi.
 
sisi wafuasi na wanachama wa cdm tungependa yale viongozi wetu wanayotuhubiria majukwaani kuhusu uzalendo basi wayatekeleze kwa vitendo. Inatuacha njia panda kama yale wanayoyakemea majukwaani ndio hayohayo wanayoyafanya nyuma ya pazia! We are disappointed kwa kweli!
tangu lini wewe ulikuwa cdm ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom