Sasa kama Mchuano ulikuwa kwa Mr Denis na huyo Mwl Felix mbona Mwalimu Felix Bwahama hakuwa wa pili,asiyekubali kushindwa si mshindani jipange tena 2025
Nilichokiona leo 😂😂 yaani mbeleko ya wazi kabisa Lawi kavuta mpunga Gsm,yaani huyu ashawahi kuchezesha mechi mbeya wachezaji wa Mbeya City wakiwa kumi na mbili uwanjani
Leo katika Bajeti ya Serikali Waziri mpango amesema kutakuwa na Special number kwa magari binafsi, sasa je? Itahusisha magari mapya au na yale ambayo yameshasajiliwa,naomba kueleweshwa kidogo
Ndo nimeanza kuamini kuwa maisha ya mastaa wa Bongo ni yakuigiza tu hawana kitu mpaka yanadhulum wanyonge,yanakaa Instagram kuposit Maisha ya juu kumbe mazulumat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.