Recent content by pricasoo

  1. pricasoo

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu uzi inapendeza kufatilia comments ukiwa na mtoto room basi unajipigia tuuu
  2. pricasoo

    Mbeya City na Kagera, mbombo Nkafu!

    Jahazi naona linajaa maji tuu
  3. pricasoo

    Kifo cha mwl Nyerere na nyimbo za TOT.

    Kwani kuna nini mbona sielewi
  4. pricasoo

    Haipingiki: Hii ndio Top 10 ya binadamu wanaochukiwa zaidi Tanzania kwa sasa

    Mleta maada umeanza kwa kutuambia makundi ya watu ambayo hayapendwi Tanzania, lakini sasa ulichokifanya hujataja makundi umetutajia mtu mmoja mmoja.
  5. pricasoo

    Hatutaki Dom iwe kama Dar

    Mtoa maada nimemuelewa kuwa jiji la dodoma linakuwa sasa lisiachwe lijengwe bila mpangilio kama lilivo jiji letu pendwa la Mzizima, kuwe na mpangilio wa jiji lakini wengi wameelewa tofauti.
  6. pricasoo

    Maisha ni mwandishi sio kalamu

    Asante kwa kunifanya niganye mageuzi kwa kichwa [emoji1317][emoji1317][emoji294]️
Back
Top Bottom