Katika uzinduzi wa Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, aliposimama kutoa neno, nikakumbuka kilikuwa kipindi chake ambapo Waziri wake Mramba aliwahi kutoa kauli tata sana:
"Mtakula hata nyasi lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe"
Basil Pesambili Mramba
Waziri wa fedha
2001-2005
Kauli hii ilijipatia umaarufu mkubwa mno Tanzania kiasi cha kuzua maswali mengi sana wengine wakijiuliza huyu alikusudia nini.
Uzi huu, ni maalum kwa kujikumbusha kauli za viongozi wetu wastaafu na waliopo madarakani, ambazo ziliwahi kuwa gumzo Tanzania.
Karibuni.
"Mtakula hata nyasi lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe"
Basil Pesambili Mramba
Waziri wa fedha
2001-2005
Kauli hii ilijipatia umaarufu mkubwa mno Tanzania kiasi cha kuzua maswali mengi sana wengine wakijiuliza huyu alikusudia nini.
Uzi huu, ni maalum kwa kujikumbusha kauli za viongozi wetu wastaafu na waliopo madarakani, ambazo ziliwahi kuwa gumzo Tanzania.
Karibuni.