Recent content by Prezda

  1. P

    Mume mwema huyu hapa

    Ndiyo!!
  2. P

    Watanzania wanahitaji mabadiliko

    Mwaka huu mtatukana na kuongea sana lakini LOWASSA anasubiri kuapishwa
  3. P

    Mume mwema huyu hapa

    Kwa ujumbe huu nawajulisha kuwa kama kuna msichana ambaye yupo tayari kuolewa tafadhali ani PM na aweke contact zake for further conversation am so sirious sio matani mke/mume hupatikana popote pale umri wake from 23-30 all the best
  4. P

    Pita hapa ni muhimu

    mm ni mtumishi wa umma nilihamishiwa kituo kipya lkn mazingira hayo hayakuwa salama kwangu nikatoa taarifa kwa DED lkn akapuuza nikatoa taarifa TAMISEMI wakam order DED kunbadilishia kituo lkn kagoma six month sipo jobu salary amezuia ss nifanyeje?
  5. P

    Niombe Talaka?

    Dada yangu mtu yeyote asikudanganye uvunje ndoa yako ndoa inachangamoto nyingi cha kufanya toa taarifa kwa kiongozi wa dini au kwa wazazi wake ili msuluhishwe problems are not solved by runing
  6. P

    One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

    Mh zito nakupongeza kwa mikakati yoko ya kukomboa nchi yako lakini kutokana na tamaa za kiutawala ulionao hutafika popote shetani alitafuta umaarufu mbinguni matokeo yake hakupata na kushushwa duniani anazunguka zunguka duniani mpaka leo.
  7. P

    Ambae yupo tayari kuolewa

    Rafiki yangu alinambia jana kuwa anataka kuoa nimsaidie kutafuta mke nikaona ni vyema nitoe taarifa hapa jukwaani ili kama kuna dada yupo tayari kuolewa ani PM aweke namba zake ili wakubaliane.
  8. P

    Usipoangalia hili litavunja mahusiano/ndoa yako kuwa makini

    Mtoa mada nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kwani ukifuatilia movie za x hutokuwa na isia na wanawake kwani sehemu za siri za wanawake ni mbaya ajabu ukizoa kumsafisha chombo chako jogoo halitopanda mtungi badala yake migogoro ya ndoa na divorce.
  9. P

    Wahudumu wa hoteli wanaitajika haraka

    Butiama Musoma Mara TZ
  10. P

    Wahudumu wa hoteli wanaitajika haraka

    Uongozi wa millennium hotel unatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo huduma kwa wateja nafasi moja na mpishi nafasi moja kituo cha kazi ni BUTIAMA centre fika moja kwa moja au piga namba hizi 0768 594 351 wasichana watapewa kipaumbele
  11. P

    Natafuta kazi, nina Shahada ya Sheria

    tafuta vibarua upige pindi unajipanga kusaka jobu!!
  12. P

    Mchumba wa ukweli huyu hapa

    Tuma namba zako kwenye email yangu hapo juu 4more conversation
  13. P

    Mchumba wa ukweli huyu hapa

    Kwa sababu huu ni mtandao wa kijamii na ndoa ipo kwenye jamii
  14. P

    Mchumba wa ukweli huyu hapa

    Ntumie namba zako kwenye email yangu hapo juu 4more conversation
Back
Top Bottom