Hii ilikuwa ni hotuba ya Baba wa taifa Mwl. J.K.Nyerere 1995 ktk mkutano wa CCM kumpitisha ngombea urais wa TANZANIA.
"Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Yapo mambo watanzania wanayataka uongozi huu uyafanye mengi tu. leo nitayataja matatu no manne.
1. WATANZANIA WAMECHOKA NA RUSHWA..
Wajumbe wa zamani watakumbuka nimelipigia kelele, kiasi Waziri Mkuu wa wakati huo alikuja kutoa hati yake ya kujiuzulu. Wasaidieni wananchi
2.NCHI HII NI NCHI YA WATU MASIKINI
Nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi wetu masikini, nchi hii haijawa ya matajiri
3.UDINI
Tulikuwa hatujali dini ya mtu, anaijua yeye mwenyewe dini yake basi. Hatukumpima mtu kutokana na dini yake ndio tumchague
4.UKABILA
Watanzania wanaulizana makabila, wanafikiri ni maana..mnataka kutambika?
Hii ndio Hotuba iliyomuondoa Ndg. Edward Lowassa katika nafasi ambayo angeshinda mwaka 1995.
Je, Mabadiliko tunayoyataka leo ni ukweli ama ulaghai?
CCM waliheshimu wosia huu kumpata MH. DR. JOHN POMBE MAGUFULI?
CHADEMA waliheshimu wosia huu kumpata MH. EDWARD LOWASA?
"Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Yapo mambo watanzania wanayataka uongozi huu uyafanye mengi tu. leo nitayataja matatu no manne.
1. WATANZANIA WAMECHOKA NA RUSHWA..
Wajumbe wa zamani watakumbuka nimelipigia kelele, kiasi Waziri Mkuu wa wakati huo alikuja kutoa hati yake ya kujiuzulu. Wasaidieni wananchi
2.NCHI HII NI NCHI YA WATU MASIKINI
Nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi wetu masikini, nchi hii haijawa ya matajiri
3.UDINI
Tulikuwa hatujali dini ya mtu, anaijua yeye mwenyewe dini yake basi. Hatukumpima mtu kutokana na dini yake ndio tumchague
4.UKABILA
Watanzania wanaulizana makabila, wanafikiri ni maana..mnataka kutambika?
Hii ndio Hotuba iliyomuondoa Ndg. Edward Lowassa katika nafasi ambayo angeshinda mwaka 1995.
Je, Mabadiliko tunayoyataka leo ni ukweli ama ulaghai?
CCM waliheshimu wosia huu kumpata MH. DR. JOHN POMBE MAGUFULI?
CHADEMA waliheshimu wosia huu kumpata MH. EDWARD LOWASA?