Kiukwel nahisi polisi wakiingia kazin kabisa kuna story nyuma ya pazia. Yaweza kua hata kauwawa huyu dogo au kuna tukio jingne la kiuharifu nyuma yake. Sema kwakua wachungaji wanachuliwa wapigaji watu wanafurahia na kuona jamaa kaabika na kakomeshwa.
Njoo msumbiji kwenye maska ununue dhahabu after one yr utakua hata na ml 40 ukikaza. Maana hapo nisawa na grm 150 ambazo for one yr kwako unae anza huwez kushindwa kufikisha grm 350 so huwez kukoswa hyo pesa labda uwe mtu wa bata kupita kias.
Huyu mwamba story yake imefanana na yang sema yeye nmkubwa kidogo coz chuo mm nilimaliza 2015 na now nipo msumbiji na baada ya shida zote now am about 1. 5kl of gold kwa just 2 yrs na miez yake. Ngoja jamaa amalize na mm ntawaispire wapambanaji wenzangu na yakwang japo kidogo. Endeleea mwamba.
Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku...
Uongo ni nini..? Uongo nikua 2003 alikua n laptop anaangalia movie n laptop inakaa na charge mpaka shem ake anasinzia. Chaii hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.