Historia ya Maisha yangu baada ya chuo mwaka 2009

Historia ya Maisha yangu baada ya chuo mwaka 2009

Huyu mwamba story yake imefanana na yang sema yeye nmkubwa kidogo coz chuo mm nilimaliza 2015 na now nipo msumbiji na baada ya shida zote now am about 1. 5kl of gold kwa just 2 yrs na miez yake. Ngoja jamaa amalize na mm ntawaispire wapambanaji wenzangu na yakwang japo kidogo. Endeleea mwamba.
Tunasubiri ndugu
 
Bora tu ungeencelea pale kwenye mpunga cyo kuchangamya Tena wkt unasema unataka. Tena Kaz ya mtu
 
SEHEMU YA PILI.

Niwarudishe nyuma kidogo.., mnamo mwaka 2014 nilipata kibarua kwenye kikampuni flani hivi cha uwakala mkuu wa haya mambo ya pesa. Kikampuni hiki ndio kilikuwa kinaanza yaani ndio kilipata tenda ya uwakala mkuu, jamaa tulikubaliana kuwa wawe wananilipa mshahara wa 600,000 kwa mwezi nikiwa kwenye nafasi ya Meneja kwenye hiyo kampuni. Nilifanya kazi miezi kadhaa na kampuni ilikuwa inakuwa kwa kasi sana, maana mwezi wa kwanza tu tulipata kumi na kitu M profit wakati mtaji tuliokuwa tunazungusha ni 30M.

Baada ya miezi Kadhaa kupita yalianza makando kando ya hapa na pale kati yangu na Mkurungezi. Maana jamaa alibadilika sana akawa mkali mara oooh hakuna mnachokifanya na wakati huo tulikuwa tunaingia mzigoni jumatatu mpaka jumapili. Huwa nakumbuka kuna siku alinipigia simu siku ya jumapili akaniambia kuna kikao msiondoke, nami nikamwambia sawa Boss ila naomba ujitahidi kuwahi kuja ili tuwahi kuondoka maana leo ndio huwa siku yetu ya kufanya usafi. Siku ya jumapili tulikuwa tumapiga kazi na kufunga saa nane., yaani hapo hakuna cha kanisani wala kwenda kusalimia ndugu na jamaa.

Basi bhana.., baada ya kumwambia hivyo huyo bwana Mukubwa alinimind sana eti akaniambia "how do you dare to tell me that". Nilijiuliza sana hapa kosa langu nini, au kumwambia kuwahi, mpaka nikakumbuka kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi kwa wahindi alishawahi kuniambia "mwana, hapa Tz mwajiri Mzuri ni Govt na Mzungu tu hawa wengine hakuna kitu". Maana unajikuta unajituma kupiga kazi kwa sana lakini wakubwa hawathamini mchango wako.

Jamaa alikuja tukakaa kikao mpaka saa kumi na moja ndio tukatoka. Nilitoka nimechukia sana, nikapita zangu sehem nikapata masanga kadhaa kisha nikanyoosha zangu home, na nilipofika home sikuweza kufanya chochote zaidi ya kulala. Siku ziliendelea kama kawaida, kuna siku bwana Mukubwa huyu alikuja ofisini mida ya mchana, akaniita kwenye gari yake mazungumzo yakaanza akaniambia inatakiwa uchague kitu kimoja kati ya hivi viwili, kwenda kitengo cha sales na mshahara wako upungue kutoka 600,000 na kuwa 300,000 au kuacha kazi.

Alahaulaaaah.., huyu bwana Mukubwa nilimwambia naacha kazi, nakumbuka ilikuwa kati kati ya mwezi., akaniuliza are you serious nami nikamjibu YES., akanichekiiiii kisha akaniambia basi sawa. Leo na kesho unatakiwa unikabidhi ofisi yangu na mambo mengine subiri mwisho wa mwezi. Nami nikaona isiwe taabu, kweli nilimkabidhi ofisi yake nikasubili hiyo mwisho wa mwezi kusubili kupata kilicho changu. Cha kushangaza ilipofika mwisho wa mwezi ikawa sheeda, yaani ikawa kama vile deni unampigia sim hapokei, unaenda ofisini anakwambia subiri kuna mambo hayajakamilika, yaani daaah aliniudhi sana huyu bwana Mukubwa. Ila nashukuru Mungu mwisho wa siku alinilipa tukawa tumeachana nanikaanza tena mishe za kitaa. Ila baade nilikuja kugundua nia na madhumuni ya kunitoa pale alitaka mke wake aje akae kwenye nafasi yangu ya Umeneja, maana wakati tunaanza kazi mke wake alikuwa kajifungua siku si mingi. Baada ya kumaliza miezi ya uzazi ndio akawa anatarajia aje kuanza kazi pale ofisini, na hizi taarifa nilizipata kupitia kwa wana waliobaki pale baada ya mim kuondoka.

Mnamo mwaka 2015 baada ya mambo kukaza kisawasawa nikaamua kwenda migodin, yaani kwenye hii migodi ya wachimbaji wadogowadogo sehem za Wilaya ya Kahama. Nilifika nikaanza kazi na jamaa yangu mmoja hivi nikiwa kama msimamizi wa Mwalo, na huo kwalo ulikuwa na majina Matano yaani wawezeshaji (Wanaotoa pesa za kuendeshea shughuli za mwalo ) majina 2, karasha 2 majina 2 na jina 1 kwa ajili ya eneo la mwalo pamoja na Duara. Kwa wenyeji wa hizi kazi watakuwa wamenielewa vyema kwenye huo mgawanyo.

Nilipiga kazi kuanzia mwezi wa nane 2015 mpaka mwezi wa kumi na mbili tukawa tumefunga kazi, maana makinikia yalikuwa mengi (Senga limekuwa kubwa) tukaanza kutafuta mnunuzi. Tulikaa mpaka mwezi wa sita 2016 ndio tukapata mnunuzi, maana mfumo wa kipindi kile ulikuwa mgumu sana tofauti na mfumo wa sas. Nakumbuka kipindi kile Tajiri anakuja anachukua Sampli ya mchanga anaenda kupima halafu anawaletea majibu, Majibu yanaweza kuja akasema mchanga wenu hauna kitu chukueni hela kadhaa kumbe wakati huo mchanga umesoma vizuri tu. Ila kwa kuwa hapakuwepo na utaratibu wa wenye Senga kwenda kupima sampli ya mchanga na kujiridhisha kilichomo raia walilidhika tu na kupimo cha Tajiri na kupokea pesa aliyotoa Tajiri. Mfumo huu uliwafanya Matajiri hao kuendelea kutajirika maana ndio walikuwa watu wa mwanzo mwanzo kabisa kuanza kujenga Gold Plant kwenye hii migodi midogomidogo.

Nakumbuka tuliuza12 Million, nami kama msimamizi niliambulia milioni moja. Wakati huo tunasubili kuuza mimi na huyu jamaa yangu tukawa tumeenda sehem nyingine tena, tukaanzisha mwalo na senga likafika tukaanza kutafuta mnunuzi. Hatujakaa sawa Pakawaka sehem nyingine tukakimbia kuwahi na kuanzisha mwalo napo senga likawa kubwa tukawa tunasubili wanunuzi.

Inaendelea..,
SEHEMU YA TATU

Mwaka huo huo 2016 jamaa yangu niliyekuwa nafanya naye kazi akaniambia inabidi uende porini ukanunue mahindi maana mwaka huu mahindi ni dili sana. Nikweli mwaka huo kwa huu ukanda wa ziwa raia hawakupata mahindi ya kutosha nami nikaona hapa kweli hii ni ramani.., Kwa kuwa jamaa alikuwa na uwezo alinipatia pesa ya gunia 200 nikaingia porini akaniambatanisha na jamaa mmoja hivi naye alikuwa mnunuzi. Tulianza safari mpaka Pori sehem za Tabora Kaliua, mim ikiwa ndio mara ya kwanza kwenda kununua. Tulifika porin mida ya jioni, tukazungukazunguka pale kijijini tukaona familia flani hivi kubwa mifugo kwa wingi, jamaa akaniambia twende tukalale kwenye huo mji maana huku vijijini hizi familia kubwa huwa zina usalama zaidi. Tulifika pale tukajitambulisha na wakatupokea vizuri tu, kwa kweli ile familia walituhudumia vizuri sana. Kesho yake asubuhi tukawaaga na kuanza kusaka mahindi ila kutwa nzima ramani ya mahindi haikusoma ikabidi kuhama kijiji. Tulipohamia kijiji kingine ramani ikasoma ila vitisho vilikuwa vingi pamoja nakuhimizwa kuweni makin, maana huku kupigwa ni nje nje, na familia za porini unaweza kukuta familia moja ipo posta mpya na nyingine unaikuta ipo mnazi mmoja, kwa wenyeji wa Dar watakuwa wamenielewa kwa huo umbali. Mahindi yalikuwa ni mengi sana ila ya mbalimbali kutembea kwa sana tu, na ilikuwa ikifika usiku hakuna kulala mda wote ni hofu ya kupigwa., inafika saa moja mnaelekea mashariki mnaenda kupita mashambani kurudi kulala magaharibi juu ya miti., maana siyo siku zote tulilala kwenye miji ya watu. Inapofika asubuhi inabidi tuwahi mapema saaana pale kijiweni tulipokuwa tunahifadhia mahindi ili raia wakiamka wanatukuta tupo juu ya magunia yetu., nia na madhumuni ya kufanya vile ilikuwa kuwachanganya raia wasijue wapi tunapolala. Na hizi mbinu alinifundisha yule mwenzangu maana yeye alikuwa ni mzoefu wa kununua mazao porini kwa mda mrefu sana. Nashukuru Mungu alisaidia nikanunua gunia zote 200 salama salmin na kuzisafirisha mpaka nyumbani kwa Tajiri. Baada ya kuzileta zile gunia jamaa akaniomba ile milioni moja yangu niliyoipata kwenye mgao wa senga, ili nami niwe sehemu ya faida itakayopatikana kutokana na yale mahindi pindi tutakapoyauza.

Jamaa akanishauli tusiuze mahindi kama mahindi inabidi tupakie kwenye trekta tupeleke vijiji vya watu wanaolima mpunga tu ili tukabadilishe, gunia moja la mahindi unabadilishana na gunia moja na debe moja la mpunga. Mi nikamkubalia maana mim kwenye hizo kazi nilikuwa mgeni nanilitegemea muongozo wake. Nia na madhumuni ya kufanya vile nikutafuta faida kubwa pale unapokuja kuukoboa huo mpunga pindi bei inapokuwa kubwa. Huyu jamaa yangu alikuwa yupo vizuri financially, maana alikuwa na Trekta tano zote zina majembe na Tera, alikuwa na nyumba tatu pamoja na Mashine yakukoboa Mpunga.

Mda wote tunafanya hayo mchanga bado haujapata mteja, ikafika mwezi wa kumi na moja 2016 ramani zikakata likaja wazo la kurudi Dar tena kwenda kuendelea kutafuta kazi. Jamaa nikamwambia ile mzigo tukoboe ili mi nipate changu nisepe, ila jamaa alikataa katakata akaniambia ngoja nikutafutie tu ile milioni yako ili uendelee na ratiba zingine pindi ikifika mda wa kukoboa mpunga wetu ntakuita, na hata tukipata mteja wa kumuuzia Masenga yetu ntakuita uje kuchukua mgao wako. Mi nikaona isiwe tabu nikamwambia sawa, kesho yake jamaa akanipa ile milioni moja.

Baada ya siku kadhaa nikaanza safari ya kwenda Mpanda maana huwa kuna jamaa yangu alisomea ualimu akawa amepangiwa kazi Mpanda. Nilifika salama na jamaa alinipokea fresh, nikakaa kama wiki moja hivi kisha nikaanza safari ya kwenda Dar kupitia Sumbawanga Tunduma Mbeya Iringa. Mpanda nilipapenda sana na jamaa alinishawishi sana niweke goli la aina yeyote ile kulingana na balansi niliyokuwa nayo. Mim niliona haiwezekani kuanza biashara kwa hela ndogo kama ile, nikamwambia ntarudi lakini wazo langu lipo palepale kurudi Dar kwenda kuanza kutafuta kazi tu. Nia na madhumuni ya kupitia Sumbawanga, Tunduma, Mbeya na Iringa badala ya Tabora, Singida Dodoma ilikuwa ni kuangalia fulsa pamoja na kujifunza kitu maana hata waliosema mtembea bure si sawa na mkaa bure hawakukosea kabisa hata kidogo.

Nilifika Dar na kuanza maisha ya kutafuta kazi tena, maana Dar nilikuwa na gheto langu chumba na sebule likiwa na mahitaji yote ya msingi. Kwa mda wote huo nikiwa mkoani nilimwachia jamaa yangu mmoja hivi tulisoma naye akawa anakaa pale getho. Kwa huu mda naweza sema nilianza kutafuta kazi tena kwa udi na uvumba, unatuma maombi mpaka unasahau wapi na wapi ulipotuma. Unaitwa kwenye Interview unakuta wanataka watu watatu au watano lakini mnakutana raia mia na kitu daaah. Niliomba maombi na kufanya Interview nyingi sana lakini kupata kazi wapi, unapambana weeee lakini unajikuta unaishia Oral tu unatupwa kule hufiki kingi. Ilinichukua kama miezi kadhaa nikisaka kibarua cha ajira mpaka nilipoamua kuacha tena kuomba kazi rasmi, na kuamua kurudi mkoani tena kama nilivyokuwa nimeeleza hapo awali nilipokuwa naanza stori yangu.

Yule jamaa yangu wa zile gunia 200 na masenga ya mchanga mawili, aliuza bila hata kunipa taarifa japo nilikuwa kila nikimuuliza anasema tumekopwa bado hatujalipwa., tukilipwa ntakuita tu uijie mgao wako. Nilitoka Dar kituo cha kwanza kwake, tukafanya mazungumzo nikaona kabisa hapa kitu DHULUMA imechukua mkondo wake, nikawaza huyu jamaa mda wote ule namfanyia kazi yeye tu na familia yake., hapana nikawaza kumtoa kwa njia yeyote ile maana niliumia sana, mpaka njia za kumtoa nilipata ila nashukuru Mungu kuna sista wangu alipata habari akanishauli saaana niachane naye nikawa nimemuelewa, ikawa ndio mwisho wa mawasikiano na huyo jamaa na sikupata hata ile mia mbovu kutoka kwake. Yaani kudhulumiwa kunauma saaana, unaweza kuchukua maamzi ambayo hata jamii inayokufaham ikashindwa kuelewa umepatwa na nin mpaka kufanya hayo maamzi. Ila Mungu ni mwema, jamaa mwaka jana alipigwa wimbi la maana Trekta nne na Nyumba mbili ziliuzwa na kubakisha Trekta moja na Nyumba moja tu, maana nasikia aliingia mkenge akawatapeli jamaa flani hivi kumbe hao jamaa Chain yao ni ndefu saana kuliko yeye.

Baada ya kupata zile gunia 60 za Mpunga kutoka kwenye zile ekari tatu, niliziweka stoo ili kusubili bei itakapopanda nikoboe na kuuza ili nipate mtaji. Lakini mpaka leo mchele haujapanda bei na gunia zote 60 bado nimezifungia ndani. Mwaka jana mwezi wa sita nilianza tena rasmi kazi za migodin kwenye hii migodi midogomidogo.

Kuna ndugu yangu aliniita akaniuliza unaweza hizi kazi zetu, maana nyie mlioenda shule huwa mnataka kazi za maofisini full kula kipupwe yaani Ac, maana hizi kazi zetu zilivyo ngumu zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana. Na kweli kwa asilimia kubwa wahitimu wa chuo hususan ngazi ya degree na kuendelea kwa asilimia kubwa hutegemea kazi za maofisini na siyo za shamba au hizi za kwenye hii migodi midogomidogo. Mi jamaa nilimwambia naweza akasema basi sahau maisha ya Dar uanze maisha ya huku na ninaamini tukijipanga vizuri tutafanikisha, inatakiwa tujitume na tufanye kazi kwa malengo.

Inaendelea..,
 
SEHEMU YA TATU

Mwaka huo huo 2016 jamaa yangu niliyekuwa nafanya naye kazi akaniambia inabidi uende porini ukanunue mahindi maana mwaka huu mahindi ni dili sana. Nikweli mwaka huo kwa huu ukanda wa ziwa raia hawakupata mahindi ya kutosha nami nikaona hapa kweli hii ni ramani.., Kwa kuwa jamaa alikuwa na uwezo alinipatia pesa ya gunia 200 nikaingia porini akaniambatanisha na jamaa mmoja hivi naye alikuwa mnunuzi. Tulianza safari mpaka Pori sehem za Tabora Kaliua, mim ikiwa ndio mara ya kwanza kwenda kununua. Tulifika porin mida ya jioni, tukazungukazunguka pale kijijini tukaona familia flani hivi kubwa mifugo kwa wingi, jamaa akaniambia twende tukalale kwenye huo mji maana huku vijijini hizi familia kubwa huwa zina usalama zaidi. Tulifika pale tukajitambulisha na wakatupokea vizuri tu, kwa kweli ile familia walituhudumia vizuri sana. Kesho yake asubuhi tukawaaga na kuanza kusaka mahindi ila kutwa nzima ramani ya mahindi haikusoma ikabidi kuhama kijiji. Tulipohamia kijiji kingine ramani ikasoma ila vitisho vilikuwa vingi pamoja nakuhimizwa kuweni makin, maana huku kupigwa ni nje nje, na familia za porini unaweza kukuta familia moja ipo posta mpya na nyingine unaikuta ipo mnazi mmoja, kwa wenyeji wa Dar watakuwa wamenielewa kwa huo umbali. Mahindi yalikuwa ni mengi sana ila ya mbalimbali kutembea kwa sana tu, na ilikuwa ikifika usiku hakuna kulala mda wote ni hofu ya kupigwa., inafika saa moja mnaelekea mashariki mnaenda kupita mashambani kurudi kulala magaharibi juu ya miti., maana siyo siku zote tulilala kwenye miji ya watu. Inapofika asubuhi inabidi tuwahi mapema saaana pale kijiweni tulipokuwa tunahifadhia mahindi ili raia wakiamka wanatukuta tupo juu ya magunia yetu., nia na madhumuni ya kufanya vile ilikuwa kuwachanganya raia wasijue wapi tunapolala. Na hizi mbinu alinifundisha yule mwenzangu maana yeye alikuwa ni mzoefu wa kununua mazao porini kwa mda mrefu sana. Nashukuru Mungu alisaidia nikanunua gunia zote 200 salama salmin na kuzisafirisha mpaka nyumbani kwa Tajiri. Baada ya kuzileta zile gunia jamaa akaniomba ile milioni moja yangu niliyoipata kwenye mgao wa senga, ili nami niwe sehemu ya faida itakayopatikana kutokana na yale mahindi pindi tutakapoyauza.

Jamaa akanishauli tusiuze mahindi kama mahindi inabidi tupakie kwenye trekta tupeleke vijiji vya watu wanaolima mpunga tu ili tukabadilishe, gunia moja la mahindi unabadilishana na gunia moja na debe moja la mpunga. Mi nikamkubalia maana mim kwenye hizo kazi nilikuwa mgeni nanilitegemea muongozo wake. Nia na madhumuni ya kufanya vile nikutafuta faida kubwa pale unapokuja kuukoboa huo mpunga pindi bei inapokuwa kubwa. Huyu jamaa yangu alikuwa yupo vizuri financially, maana alikuwa na Trekta tano zote zina majembe na Tera, alikuwa na nyumba tatu pamoja na Mashine yakukoboa Mpunga.

Mda wote tunafanya hayo mchanga bado haujapata mteja, ikafika mwezi wa kumi na moja 2016 ramani zikakata likaja wazo la kurudi Dar tena kwenda kuendelea kutafuta kazi. Jamaa nikamwambia ile mzigo tukoboe ili mi nipate changu nisepe, ila jamaa alikataa katakata akaniambia ngoja nikutafutie tu ile milioni yako ili uendelee na ratiba zingine pindi ikifika mda wa kukoboa mpunga wetu ntakuita, na hata tukipata mteja wa kumuuzia Masenga yetu ntakuita uje kuchukua mgao wako. Mi nikaona isiwe tabu nikamwambia sawa, kesho yake jamaa akanipa ile milioni moja.

Baada ya siku kadhaa nikaanza safari ya kwenda Mpanda maana huwa kuna jamaa yangu alisomea ualimu akawa amepangiwa kazi Mpanda. Nilifika salama na jamaa alinipokea fresh, nikakaa kama wiki moja hivi kisha nikaanza safari ya kwenda Dar kupitia Sumbawanga Tunduma Mbeya Iringa. Mpanda nilipapenda sana na jamaa alinishawishi sana niweke goli la aina yeyote ile kulingana na balansi niliyokuwa nayo. Mim niliona haiwezekani kuanza biashara kwa hela ndogo kama ile, nikamwambia ntarudi lakini wazo langu lipo palepale kurudi Dar kwenda kuanza kutafuta kazi tu. Nia na madhumuni ya kupitia Sumbawanga, Tunduma, Mbeya na Iringa badala ya Tabora, Singida Dodoma ilikuwa ni kuangalia fulsa pamoja na kujifunza kitu maana hata waliosema mtembea bure si sawa na mkaa bure hawakukosea kabisa hata kidogo.

Nilifika Dar na kuanza maisha ya kutafuta kazi tena, maana Dar nilikuwa na gheto langu chumba na sebule likiwa na mahitaji yote ya msingi. Kwa mda wote huo nikiwa mkoani nilimwachia jamaa yangu mmoja hivi tulisoma naye akawa anakaa pale getho. Kwa huu mda naweza sema nilianza kutafuta kazi tena kwa udi na uvumba, unatuma maombi mpaka unasahau wapi na wapi ulipotuma. Unaitwa kwenye Interview unakuta wanataka watu watatu au watano lakini mnakutana raia mia na kitu daaah. Niliomba maombi na kufanya Interview nyingi sana lakini kupata kazi wapi, unapambana weeee lakini unajikuta unaishia Oral tu unatupwa kule hufiki kingi. Ilinichukua kama miezi kadhaa nikisaka kibarua cha ajira mpaka nilipoamua kuacha tena kuomba kazi rasmi, na kuamua kurudi mkoani tena kama nilivyokuwa nimeeleza hapo awali nilipokuwa naanza stori yangu.

Yule jamaa yangu wa zile gunia 200 na masenga ya mchanga mawili, aliuza bila hata kunipa taarifa japo nilikuwa kila nikimuuliza anasema tumekopwa bado hatujalipwa., tukilipwa ntakuita tu uijie mgao wako. Nilitoka Dar kituo cha kwanza kwake, tukafanya mazungumzo nikaona kabisa hapa kitu DHULUMA imechukua mkondo wake, nikawaza huyu jamaa mda wote ule namfanyia kazi yeye tu na familia yake., hapana nikawaza kumtoa kwa njia yeyote ile maana niliumia sana, mpaka njia za kumtoa nilipata ila nashukuru Mungu kuna sista wangu alipata habari akanishauli saaana niachane naye nikawa nimemuelewa, ikawa ndio mwisho wa mawasikiano na huyo jamaa na sikupata hata ile mia mbovu kutoka kwake. Yaani kudhulumiwa kunauma saaana, unaweza kuchukua maamzi ambayo hata jamii inayokufaham ikashindwa kuelewa umepatwa na nin mpaka kufanya hayo maamzi. Ila Mungu ni mwema, jamaa mwaka jana alipigwa wimbi la maana Trekta nne na Nyumba mbili ziliuzwa na kubakisha Trekta moja na Nyumba moja tu, maana nasikia aliingia mkenge akawatapeli jamaa flani hivi kumbe hao jamaa Chain yao ni ndefu saana kuliko yeye.

Baada ya kupata zile gunia 60 za Mpunga kutoka kwenye zile ekari tatu, niliziweka stoo ili kusubili bei itakapopanda nikoboe na kuuza ili nipate mtaji. Lakini mpaka leo mchele haujapanda bei na gunia zote 60 bado nimezifungia ndani. Mwaka jana mwezi wa sita nilianza tena rasmi kazi za migodin kwenye hii migodi midogomidogo.

Kuna ndugu yangu aliniita akaniuliza unaweza hizi kazi zetu, maana nyie mlioenda shule huwa mnataka kazi za maofisini full kula kipupwe yaani Ac, maana hizi kazi zetu zilivyo ngumu zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana. Na kweli kwa asilimia kubwa wahitimu wa chuo hususan ngazi ya degree na kuendelea kwa asilimia kubwa hutegemea kazi za maofisini na siyo za shamba au hizi za kwenye hii migodi midogomidogo. Mi jamaa nilimwambia naweza akasema basi sahau maisha ya Dar uanze maisha ya huku na ninaamini tukijipanga vizuri tutafanikisha, inatakiwa tujitume na tufanye kazi kwa malengo.

Inaendelea..,
lete story
 
SEHEMU YA TATU

Mwaka huo huo 2016 jamaa yangu niliyekuwa nafanya naye kazi akaniambia inabidi uende porini ukanunue mahindi maana mwaka huu mahindi ni dili sana. Nikweli mwaka huo kwa huu ukanda wa ziwa raia hawakupata mahindi ya kutosha nami nikaona hapa kweli hii ni ramani.., Kwa kuwa jamaa alikuwa na uwezo alinipatia pesa ya gunia 200 nikaingia porini akaniambatanisha na jamaa mmoja hivi naye alikuwa mnunuzi. Tulianza safari mpaka Pori sehem za Tabora Kaliua, mim ikiwa ndio mara ya kwanza kwenda kununua. Tulifika porin mida ya jioni, tukazungukazunguka pale kijijini tukaona familia flani hivi kubwa mifugo kwa wingi, jamaa akaniambia twende tukalale kwenye huo mji maana huku vijijini hizi familia kubwa huwa zina usalama zaidi. Tulifika pale tukajitambulisha na wakatupokea vizuri tu, kwa kweli ile familia walituhudumia vizuri sana. Kesho yake asubuhi tukawaaga na kuanza kusaka mahindi ila kutwa nzima ramani ya mahindi haikusoma ikabidi kuhama kijiji. Tulipohamia kijiji kingine ramani ikasoma ila vitisho vilikuwa vingi pamoja nakuhimizwa kuweni makin, maana huku kupigwa ni nje nje, na familia za porini unaweza kukuta familia moja ipo posta mpya na nyingine unaikuta ipo mnazi mmoja, kwa wenyeji wa Dar watakuwa wamenielewa kwa huo umbali. Mahindi yalikuwa ni mengi sana ila ya mbalimbali kutembea kwa sana tu, na ilikuwa ikifika usiku hakuna kulala mda wote ni hofu ya kupigwa., inafika saa moja mnaelekea mashariki mnaenda kupita mashambani kurudi kulala magaharibi juu ya miti., maana siyo siku zote tulilala kwenye miji ya watu. Inapofika asubuhi inabidi tuwahi mapema saaana pale kijiweni tulipokuwa tunahifadhia mahindi ili raia wakiamka wanatukuta tupo juu ya magunia yetu., nia na madhumuni ya kufanya vile ilikuwa kuwachanganya raia wasijue wapi tunapolala. Na hizi mbinu alinifundisha yule mwenzangu maana yeye alikuwa ni mzoefu wa kununua mazao porini kwa mda mrefu sana. Nashukuru Mungu alisaidia nikanunua gunia zote 200 salama salmin na kuzisafirisha mpaka nyumbani kwa Tajiri. Baada ya kuzileta zile gunia jamaa akaniomba ile milioni moja yangu niliyoipata kwenye mgao wa senga, ili nami niwe sehemu ya faida itakayopatikana kutokana na yale mahindi pindi tutakapoyauza.

Jamaa akanishauli tusiuze mahindi kama mahindi inabidi tupakie kwenye trekta tupeleke vijiji vya watu wanaolima mpunga tu ili tukabadilishe, gunia moja la mahindi unabadilishana na gunia moja na debe moja la mpunga. Mi nikamkubalia maana mim kwenye hizo kazi nilikuwa mgeni nanilitegemea muongozo wake. Nia na madhumuni ya kufanya vile nikutafuta faida kubwa pale unapokuja kuukoboa huo mpunga pindi bei inapokuwa kubwa. Huyu jamaa yangu alikuwa yupo vizuri financially, maana alikuwa na Trekta tano zote zina majembe na Tera, alikuwa na nyumba tatu pamoja na Mashine yakukoboa Mpunga.

Mda wote tunafanya hayo mchanga bado haujapata mteja, ikafika mwezi wa kumi na moja 2016 ramani zikakata likaja wazo la kurudi Dar tena kwenda kuendelea kutafuta kazi. Jamaa nikamwambia ile mzigo tukoboe ili mi nipate changu nisepe, ila jamaa alikataa katakata akaniambia ngoja nikutafutie tu ile milioni yako ili uendelee na ratiba zingine pindi ikifika mda wa kukoboa mpunga wetu ntakuita, na hata tukipata mteja wa kumuuzia Masenga yetu ntakuita uje kuchukua mgao wako. Mi nikaona isiwe tabu nikamwambia sawa, kesho yake jamaa akanipa ile milioni moja.

Baada ya siku kadhaa nikaanza safari ya kwenda Mpanda maana huwa kuna jamaa yangu alisomea ualimu akawa amepangiwa kazi Mpanda. Nilifika salama na jamaa alinipokea fresh, nikakaa kama wiki moja hivi kisha nikaanza safari ya kwenda Dar kupitia Sumbawanga Tunduma Mbeya Iringa. Mpanda nilipapenda sana na jamaa alinishawishi sana niweke goli la aina yeyote ile kulingana na balansi niliyokuwa nayo. Mim niliona haiwezekani kuanza biashara kwa hela ndogo kama ile, nikamwambia ntarudi lakini wazo langu lipo palepale kurudi Dar kwenda kuanza kutafuta kazi tu. Nia na madhumuni ya kupitia Sumbawanga, Tunduma, Mbeya na Iringa badala ya Tabora, Singida Dodoma ilikuwa ni kuangalia fulsa pamoja na kujifunza kitu maana hata waliosema mtembea bure si sawa na mkaa bure hawakukosea kabisa hata kidogo.

Nilifika Dar na kuanza maisha ya kutafuta kazi tena, maana Dar nilikuwa na gheto langu chumba na sebule likiwa na mahitaji yote ya msingi. Kwa mda wote huo nikiwa mkoani nilimwachia jamaa yangu mmoja hivi tulisoma naye akawa anakaa pale getho. Kwa huu mda naweza sema nilianza kutafuta kazi tena kwa udi na uvumba, unatuma maombi mpaka unasahau wapi na wapi ulipotuma. Unaitwa kwenye Interview unakuta wanataka watu watatu au watano lakini mnakutana raia mia na kitu daaah. Niliomba maombi na kufanya Interview nyingi sana lakini kupata kazi wapi, unapambana weeee lakini unajikuta unaishia Oral tu unatupwa kule hufiki kingi. Ilinichukua kama miezi kadhaa nikisaka kibarua cha ajira mpaka nilipoamua kuacha tena kuomba kazi rasmi, na kuamua kurudi mkoani tena kama nilivyokuwa nimeeleza hapo awali nilipokuwa naanza stori yangu.

Yule jamaa yangu wa zile gunia 200 na masenga ya mchanga mawili, aliuza bila hata kunipa taarifa japo nilikuwa kila nikimuuliza anasema tumekopwa bado hatujalipwa., tukilipwa ntakuita tu uijie mgao wako. Nilitoka Dar kituo cha kwanza kwake, tukafanya mazungumzo nikaona kabisa hapa kitu DHULUMA imechukua mkondo wake, nikawaza huyu jamaa mda wote ule namfanyia kazi yeye tu na familia yake., hapana nikawaza kumtoa kwa njia yeyote ile maana niliumia sana, mpaka njia za kumtoa nilipata ila nashukuru Mungu kuna sista wangu alipata habari akanishauli saaana niachane naye nikawa nimemuelewa, ikawa ndio mwisho wa mawasikiano na huyo jamaa na sikupata hata ile mia mbovu kutoka kwake. Yaani kudhulumiwa kunauma saaana, unaweza kuchukua maamzi ambayo hata jamii inayokufaham ikashindwa kuelewa umepatwa na nin mpaka kufanya hayo maamzi. Ila Mungu ni mwema, jamaa mwaka jana alipigwa wimbi la maana Trekta nne na Nyumba mbili ziliuzwa na kubakisha Trekta moja na Nyumba moja tu, maana nasikia aliingia mkenge akawatapeli jamaa flani hivi kumbe hao jamaa Chain yao ni ndefu saana kuliko yeye.

Baada ya kupata zile gunia 60 za Mpunga kutoka kwenye zile ekari tatu, niliziweka stoo ili kusubili bei itakapopanda nikoboe na kuuza ili nipate mtaji. Lakini mpaka leo mchele haujapanda bei na gunia zote 60 bado nimezifungia ndani. Mwaka jana mwezi wa sita nilianza tena rasmi kazi za migodin kwenye hii migodi midogomidogo.

Kuna ndugu yangu aliniita akaniuliza unaweza hizi kazi zetu, maana nyie mlioenda shule huwa mnataka kazi za maofisini full kula kipupwe yaani Ac, maana hizi kazi zetu zilivyo ngumu zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana. Na kweli kwa asilimia kubwa wahitimu wa chuo hususan ngazi ya degree na kuendelea kwa asilimia kubwa hutegemea kazi za maofisini na siyo za shamba au hizi za kwenye hii migodi midogomidogo. Mi jamaa nilimwambia naweza akasema basi sahau maisha ya Dar uanze maisha ya huku na ninaamini tukijipanga vizuri tutafanikisha, inatakiwa tujitume na tufanye kazi kwa malengo.

Inaendelea..,
SEHEMU YA NNE (MWISHO)

Jamaa baada ya kuniambia mfumo mzima wa uendeshaji wa zile kazi nikaridhia nanikaona hili nitumaini jipya juu ya maisha yangu. Mfumo wa sasa nitofauti sana na ule mfumo wa zamani yaani ule wakumuuzia Tajiri mwenye Plant ule mchanga. Mfumo wa sas mnapiga kazi mpaka pale mtakapoona mmekuza mnaenda Plant kuozesha, ila kila hatua mnakuwa mnachukua mchanga na kwenda kuupima ili kujuwa mwenendo mzima wa kazi yenu. Mkishakodisha Gold Plant kwa ajili ya kuozesha mnasomba ule mchanga na kwenda kupakia kwenye matenki ya kuuozeshea, na baada ya mda flani mnabeba mzigo kwenda kupakia tena kwenye mashine (Elution Plant) kuchenjua, sis huwa tunasema kukoboa na kupata kilichomo ambacho ni Dhahabu.

Nakumbuka tulipiga kazi mpaka mwisho mwa mwaka 2020 na tukapeleka Plant, nashukuru sana Mungu alitubariki tukatoka fresh japo hela nyingi ilikuwa ya watu, na tunashukuru tulifanikisha kurudisha tukawa tumebakiwa na balansi flan hivi tukawa tumenunua karasha la pili pamoja na compresa zile ndogo za kutumia Engine za Makarasha. Mfumo wa kupeana pesa huku huwa niwakienyeji tu, yaani hakuna taratibu za kuandikishana., Mtu anakupa hata milioni 15 ufanyie kazi baada ya miezi 4 urudishe milioni 20 yaani kikubwa uwe mwaminifu tu na ujitahidi sana kulinda jina lako lisichafuke. Kwa upande wa serikali kwa kweli Hayati Magufuli kuna vitu vingi sana kasaidia kwenye hii sekta ya madini hususan kwenye hii migodi midogomidogo. Zamani serikali ilikuwa haipati chake kwenye hii migodi midogomidogo na mchimbaji alikuwa hapati kama anavyopata hii leo, maana wizi kwenye huo mlolongo mpaka ukapate Dhahabu ulikuwa ni mkubwa sana.., lakini kwa sas kila sehem serikali ipo ndio maana hata yule mnunuzi mdogo wa Dhahabu analipa kodi., hata kama awe na gram moja akienda tu sokoni kuuza kuna asilimia flani serikali inapata.

Mwaka huu tuliiendelea na kazi na maisha nikawa nimeyazoea japo mazingira ni magumu, kazi ni ngumu ila unapofanya kazi na kupata kipato kinachoridhisha, kiasi flani unaridhika nacho inakubidi ukomae tu ili kufanikisha zaidi. Kiukweli hii kazi inalipa tena sana unaweza sema ni biashara chache sana zinaweza lipa kama inavyolipa hii kazi. Mwaka huu mwezi wa sita tulisomba tena na tukafanikisha kiasi na sasa mtaji wetu naweza sema umeimarika vyema. Tulifanikisha kuongeza karasha la tatu na DUARA kadhaa., maana tuliona tuimarishe kwanza vitendea kazi ili kurahisisha uendeshaji wa kazi. Naweza sema hivi niviwanda (Makarasha) na raw material inapatikana mlimani, yapaswa uwe na DUARA za kutosha ili kiwanda kisiwe na uhaba wa raw material yaani Mawe. Kwa sas tunapambana tena kwa mara nyingine na Mwenyezi Mungu akijaalia mwishoni mwa mwaka huu tutaingia tena Plant. Tuna vijana zaidi ya kumi tuliowaajili kwa kazi ya kuosha na kusaga pamoja na wanaopiga duarani. Japo kazi za duarani huwa tunawapa mkataba yaani mnakubaliana kuwalipa kwa tripu za gari, gari ni zile tipa ndogo zenye ukubwa wa 4.5M2.

Kwa wasiojuwa hizi ndio DUARA, sehemu ambayo huchimbwa Raw Material (MAWE) kwa ajili ya kwenda kusaga na kuosha Mwaloni.

[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]

Ila kwa jinsi nilivyoona hizi kazi return yake ni kubwa sana obvious hata kukata kwake ikiamua kukata lazima ukatike saaana, kikubwa nikujitahidi kuwa na other source ya kipato ili kuwa na sehemu Kadha wa kadha za kujipatia kipato. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto, chamgamoto kubwa ni Mitaji pamoja na Maji ya kuoshea hususan wakati wa kiangazi na wakati wa masika Duara hujaa maji kutokana na nvua, kazi hufanyika kwa taratibu sana na kusababisha kuchukua mda mrefu sana.

Hitimisho,

Nawashauli vijana wenzangu wahitimu wa Vyuo vikuu tusichague kazi, na tusiwe tunatumia mda mwingi kutafuta kuajiliwa., kikubwa wew angalia kazi unayofanya kama ina matumaini mbele ya safari. Halafu tusing'ang'anie mjini tu, hata pembezoni mwa miji pana fursa tena kubwa tu. Mimi niliingia Dar mwaka 2000 lakini nimekuja kuridhia kutoka mwaka 2019 baada ya kuona ramani hazisomi, kitu ambacho nilikuwa nimekataa katakata kutoka mjini. Ujue hapa duniani Kuna mwajiliwa (Employee), Mmiliki wa biashara (Business Owner) pamoja na Mwekezaji (Investor). Nijukumu la kila mmoja wetu kuamua uwe kwenye group lipi kati ya hayo matatu, japo wengi hupendelea saaana kwenye Employee maana hapo ndio penye Security na hapana Risk kubwa., japo huwa hailipi kama sehem ya Business owner pamoja na Investor. Unakuta raia ana Capital nzuri tu ila amekosa cha kufanya, wew kama uko na pesa jenga nyumba nyiingi tu za wapangaji kadri uwezavyo., maana hazihitaji hata management kama zilivyo bness zingine. Kusema ukweli kwa mda huu niliokaa kwenye hizi kazi, nimegundua kazi ya aina yeyote ile inahitaji usimamizi sana vinginevyo utakaa kuwalaumu watu tu. Maana hata Sisi hapa tusipokuwepo yaani tukirudi tunaona kabisa mambo hayajaenda inavyotakiwa, inabidi kujitahidi kuwepo mda wote wa kazi. Nahis enzi za zamani inaweza kuwa Uaminifu na Uadilifu ulikuwa mkubwa sana kuliko ilivyo hivi sas. Mimi naamini kabisa ya kwamba, UAMINIFU NA UADILIFU NI MTAJI TOSHA hata kama hauna hata shillingi mfukoni lakini unaweza kupata kitu kupitia UAMINIFU..

Na unapoamua kuingia kwenye hizi kazi nje ya kuajiriwa hususan za vijijini kama kilimo na migodi midogomidogo, wew jishushe na usijionyeshe kama umeenda shule ili uendane na jamii iliyokuzunguka, maana ukitanguliza shule yako raia watakutenga nakukuona wew siyo mwenzao. Wew tulia komaa na kazi, wala hakuna haja ya kuingia kwenye mambo ya sias wala uongozi., kikubwa wew piga kazi kwa sana tu na ufuate taratibu zote za sehem husika maana unajuwa kabisa nini unataka na nini kimekuleta.

Huwa nakumbuka mzee wangu aliwahi kuniuliza swali nikiwa Chuo " unajuwa unapokwenda" nami nikajirahisi tu nikamjibu ndio najuwa, unaenda wapi nikamjibu nilipokuwa nafikilia. Mzee alicheka akaniambia hujuwi unapokwenda, leo ngoja nikwambie unapokwenda. Leo hii wew ni kijana na una nguvu nyingi za kufanya kazi na kujipatia kipato, inatakiwa ujiulize Naenda wapi?Jibu lake nikwamba naenda kuzeeka, sas nikishazeeka na nguvu zitakuwa zimeisha na sitaweza tena kufanya kazi Nitakula Nini. Wakati ni sasa wakutengeneza chakula chako cha uzeeni, maana hautasumbuana na mtu yeyote kama utaweza kuweka Asset kadhaa hususan Nyumba kwa ajili ya chakula chako cha uzeeni. Daaah nilitafakari sana nanikaona mzee kasema jambo la muhimu sana, Vijana wenzangu wakati ni sasa tungali na nguvu za kuweza kufanya kazi na kujiwekea akiba ya uzeeni japo kuufikia uzee ni majaaliwa yake Mwenyezi Mungu. Kusema ukweli kwenye hii kazi naamini ntakifanya tena saana tu kile alichokisema mzee wangu.

Ahsanteni sana wana janvi, maana kuna mengi yakujifunza kupitia jukwaa letu pendwa la Jamii forum.

Hii hapa chini ni moja ya mazao yanayopatikana kwenye hizi kazi zetu za migodi midogomidogo.
Mungu awabariki sana.


[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]
 
SEHEMU YA NNE (MWISHO)

Jamaa baada ya kuniambia mfumo mzima wa uendeshaji wa zile kazi nikaridhia nanikaona hili nitumaini jipya juu ya maisha yangu. Mfumo wa sasa nitofauti sana na ule mfumo wa zamani yaani ule wakumuuzia Tajiri mwenye Plant ule mchanga. Mfumo wa sas mnapiga kazi mpaka pale mtakapoona mmekuza mnaenda Plant kuozesha, ila kila hatua mnakuwa mnachukua mchanga na kwenda kuupima ili kujuwa mwenendo mzima wa kazi yenu. Mkishakodisha Gold Plant kwa ajili ya kuozesha mnasomba ule mchanga na kwenda kupakia kwenye matenki ya kuuozeshea, na baada ya mda flani mnabeba mzigo kwenda kupakia tena kwenye mashine (Elution Plant) kuchenjua, sis huwa tunasema kukoboa na kupata kilichomo ambacho ni Dhahabu.

Nakumbuka tulipiga kazi mpaka mwisho mwa mwaka 2020 na tukapeleka Plant, nashukuru sana Mungu alitubariki tukatoka fresh japo hela nyingi ilikuwa ya watu, na tunashukuru tulifanikisha kurudisha tukawa tumebakiwa na balansi flan hivi tukawa tumenunua karasha la pili pamoja na compresa zile ndogo za kutumia Engine za Makarasha. Mfumo wa kupeana pesa huku huwa niwakienyeji tu, yaani hakuna taratibu za kuandikishana., Mtu anakupa hata milioni 15 ufanyie kazi baada ya miezi 4 urudishe milioni 20 yaani kikubwa uwe mwaminifu tu na ujitahidi sana kulinda jina lako lisichafuke. Kwa upande wa serikali kwa kweli Hayati Magufuli kuna vitu vingi sana kasaidia kwenye hii sekta ya madini hususan kwenye hii migodi midogomidogo. Zamani serikali ilikuwa haipati chake kwenye hii migodi midogomidogo na mchimbaji alikuwa hapati kama anavyopata hii leo, maana wizi kwenye huo mlolongo mpaka ukapate Dhahabu ulikuwa ni mkubwa sana.., lakini kwa sas kila sehem serikali ipo ndio maana hata yule mnunuzi mdogo wa Dhahabu analipa kodi., hata kama awe na gram moja akienda tu sokoni kuuza kuna asilimia flani serikali inapata.

Mwaka huu tuliiendelea na kazi na maisha nikawa nimeyazoea japo mazingira ni magumu, kazi ni ngumu ila unapofanya kazi na kupata kipato kinachoridhisha, kiasi flani unaridhika nacho inakubidi ukomae tu ili kufanikisha zaidi. Kiukweli hii kazi inalipa tena sana unaweza sema ni biashara chache sana zinaweza lipa kama inavyolipa hii kazi. Mwaka huu mwezi wa sita tulisomba tena na tukafanikisha kiasi na sasa mtaji wetu naweza sema umeimarika vyema. Tulifanikisha kuongeza karasha la tatu na DUARA kadhaa., maana tuliona tuimarishe kwanza vitendea kazi ili kurahisisha uendeshaji wa kazi. Naweza sema hivi niviwanda (Makarasha) na raw material inapatikana mlimani, yapaswa uwe na DUARA za kutosha ili kiwanda kisiwe na uhaba wa raw material yaani Mawe. Kwa sas tunapambana tena kwa mara nyingine na Mwenyezi Mungu akijaalia mwishoni mwa mwaka huu tutaingia tena Plant. Tuna vijana zaidi ya kumi tuliowaajili kwa kazi ya kuosha na kusaga pamoja na wanaopiga duarani. Japo kazi za duarani huwa tunawapa mkataba yaani mnakubaliana kuwalipa kwa tripu za gari, gari ni zile tipa ndogo zenye ukubwa wa 4.5M2.

Kwa wasiojuwa hizi ndio DUARA, sehemu ambayo huchimbwa Raw Material (MAWE) kwa ajili ya kwenda kusaga na kuosha Mwaloni.

[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]

Ila kwa jinsi nilivyoona hizi kazi return yake ni kubwa sana obvious hata kukata kwake ikiamua kukata lazima ukatike saaana, kikubwa nikujitahidi kuwa na other source ya kipato ili kuwa na sehemu Kadha wa kadha za kujipatia kipato. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto, chamgamoto kubwa ni Mitaji pamoja na Maji ya kuoshea hususan wakati wa kiangazi na wakati wa masika Duara hujaa maji kutokana na nvua, kazi hufanyika kwa taratibu sana na kusababisha kuchukua mda mrefu sana.

Hitimisho,

Nawashauli vijana wenzangu wahitimu wa Vyuo vikuu tusichague kazi, na tusiwe tunatumia mda mwingi kutafuta kuajiliwa., kikubwa wew angalia kazi unayofanya kama ina matumaini mbele ya safari. Halafu tusing'ang'anie mjini tu, hata pembezoni mwa miji pana fursa tena kubwa tu. Mimi niliingia Dar mwaka 2000 lakini nimekuja kuridhia kutoka mwaka 2019 baada ya kuona ramani hazisomi, kitu ambacho nilikuwa nimekataa katakata kutoka mjini. Ujue hapa duniani Kuna mwajiliwa (Employee), Mmiliki wa biashara (Business Owner) pamoja na Mwekezaji (Investor). Nijukumu la kila mmoja wetu kuamua uwe kwenye group lipi kati ya hayo matatu, japo wengi hupendelea saaana kwenye Employee maana hapo ndio penye Security na hapana Risk kubwa., japo huwa hailipi kama sehem ya Business owner pamoja na Investor. Unakuta raia ana Capital nzuri tu ila amekosa cha kufanya, wew kama uko na pesa jenga nyumba nyiingi tu za wapangaji kadri uwezavyo., maana hazihitaji hata management kama zilivyo bness zingine. Kusema ukweli kwa mda huu niliokaa kwenye hizi kazi, nimegundua kazi ya aina yeyote ile inahitaji usimamizi sana vinginevyo utakaa kuwalaumu watu tu. Maana hata Sisi hapa tusipokuwepo yaani tukirudi tunaona kabisa mambo hayajaenda inavyotakiwa, inabidi kujitahidi kuwepo mda wote wa kazi. Nahis enzi za zamani inaweza kuwa Uaminifu na Uadilifu ulikuwa mkubwa sana kuliko ilivyo hivi sas. Mimi naamini kabisa ya kwamba, UAMINIFU NA UADILIFU NI MTAJI TOSHA hata kama hauna hata shillingi mfukoni lakini unaweza kupata kitu kupitia UAMINIFU..

Na unapoamua kuingia kwenye hizi kazi nje ya kuajiriwa hususan za vijijini kama kilimo na migodi midogomidogo, wew jishushe na usijionyeshe kama umeenda shule ili uendane na jamii iliyokuzunguka, maana ukitanguliza shule yako raia watakutenga nakukuona wew siyo mwenzao. Wew tulia komaa na kazi, wala hakuna haja ya kuingia kwenye mambo ya sias wala uongozi., kikubwa wew piga kazi kwa sana tu na ufuate taratibu zote za sehem husika maana unajuwa kabisa nini unataka na nini kimekuleta.

Huwa nakumbuka mzee wangu aliwahi kuniuliza swali nikiwa Chuo " unajuwa unapokwenda" nami nikajirahisi tu nikamjibu ndio najuwa, unaenda wapi nikamjibu nilipokuwa nafikilia. Mzee alicheka akaniambia hujuwi unapokwenda, leo ngoja nikwambie unapokwenda. Leo hii wew ni kijana na una nguvu nyingi za kufanya kazi na kujipatia kipato, inatakiwa ujiulize Naenda wapi?Jibu lake nikwamba naenda kuzeeka, sas nikishazeeka na nguvu zitakuwa zimeisha na sitaweza tena kufanya kazi Nitakula Nini. Wakati ni sasa wakutengeneza chakula chako cha uzeeni, maana hautasumbuana na mtu yeyote kama utaweza kuweka Asset kadhaa hususan Nyumba kwa ajili ya chakula chako cha uzeeni. Daaah nilitafakari sana nanikaona mzee kasema jambo la muhimu sana, Vijana wenzangu wakati ni sasa tungali na nguvu za kuweza kufanya kazi na kujiwekea akiba ya uzeeni japo kuufikia uzee ni majaaliwa yake Mwenyezi Mungu. Kusema ukweli kwenye hii kazi naamini ntakifanya tena saana tu kile alichokisema mzee wangu.

Ahsanteni sana wana janvi, maana kuna mengi yakujifunza kupitia jukwaa letu pendwa la Jamii forum.

Hii hapa chini ni moja ya mazao yanayopatikana kwenye hizi kazi zetu za migodi midogomidogo.
Mungu awabariki sana.


[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]
Kwa wasiojuwa hizi ndio Duara pamoja na moja ya bidhaa zinazopatikana kwenye hizi kazi zetu, naona niliambatanisha hapo juu zimegoma.
FB_IMG_1630646131816.jpg
IMG-20210612-WA0001.jpg
 
Imenikumbusha maeneo ya kalumwa kahama,ushirombo,geita,kote huko Kuna migodi midogo kibao
 
SEHEMU YA NNE (MWISHO)

Jamaa baada ya kuniambia mfumo mzima wa uendeshaji wa zile kazi nikaridhia nanikaona hili nitumaini jipya juu ya maisha yangu. Mfumo wa sasa nitofauti sana na ule mfumo wa zamani yaani ule wakumuuzia Tajiri mwenye Plant ule mchanga. Mfumo wa sas mnapiga kazi mpaka pale mtakapoona mmekuza mnaenda Plant kuozesha, ila kila hatua mnakuwa mnachukua mchanga na kwenda kuupima ili kujuwa mwenendo mzima wa kazi yenu. Mkishakodisha Gold Plant kwa ajili ya kuozesha mnasomba ule mchanga na kwenda kupakia kwenye matenki ya kuuozeshea, na baada ya mda flani mnabeba mzigo kwenda kupakia tena kwenye mashine (Elution Plant) kuchenjua, sis huwa tunasema kukoboa na kupata kilichomo ambacho ni Dhahabu.

Nakumbuka tulipiga kazi mpaka mwisho mwa mwaka 2020 na tukapeleka Plant, nashukuru sana Mungu alitubariki tukatoka fresh japo hela nyingi ilikuwa ya watu, na tunashukuru tulifanikisha kurudisha tukawa tumebakiwa na balansi flan hivi tukawa tumenunua karasha la pili pamoja na compresa zile ndogo za kutumia Engine za Makarasha. Mfumo wa kupeana pesa huku huwa niwakienyeji tu, yaani hakuna taratibu za kuandikishana., Mtu anakupa hata milioni 15 ufanyie kazi baada ya miezi 4 urudishe milioni 20 yaani kikubwa uwe mwaminifu tu na ujitahidi sana kulinda jina lako lisichafuke. Kwa upande wa serikali kwa kweli Hayati Magufuli kuna vitu vingi sana kasaidia kwenye hii sekta ya madini hususan kwenye hii migodi midogomidogo. Zamani serikali ilikuwa haipati chake kwenye hii migodi midogomidogo na mchimbaji alikuwa hapati kama anavyopata hii leo, maana wizi kwenye huo mlolongo mpaka ukapate Dhahabu ulikuwa ni mkubwa sana.., lakini kwa sas kila sehem serikali ipo ndio maana hata yule mnunuzi mdogo wa Dhahabu analipa kodi., hata kama awe na gram moja akienda tu sokoni kuuza kuna asilimia flani serikali inapata.

Mwaka huu tuliiendelea na kazi na maisha nikawa nimeyazoea japo mazingira ni magumu, kazi ni ngumu ila unapofanya kazi na kupata kipato kinachoridhisha, kiasi flani unaridhika nacho inakubidi ukomae tu ili kufanikisha zaidi. Kiukweli hii kazi inalipa tena sana unaweza sema ni biashara chache sana zinaweza lipa kama inavyolipa hii kazi. Mwaka huu mwezi wa sita tulisomba tena na tukafanikisha kiasi na sasa mtaji wetu naweza sema umeimarika vyema. Tulifanikisha kuongeza karasha la tatu na DUARA kadhaa., maana tuliona tuimarishe kwanza vitendea kazi ili kurahisisha uendeshaji wa kazi. Naweza sema hivi niviwanda (Makarasha) na raw material inapatikana mlimani, yapaswa uwe na DUARA za kutosha ili kiwanda kisiwe na uhaba wa raw material yaani Mawe. Kwa sas tunapambana tena kwa mara nyingine na Mwenyezi Mungu akijaalia mwishoni mwa mwaka huu tutaingia tena Plant. Tuna vijana zaidi ya kumi tuliowaajili kwa kazi ya kuosha na kusaga pamoja na wanaopiga duarani. Japo kazi za duarani huwa tunawapa mkataba yaani mnakubaliana kuwalipa kwa tripu za gari, gari ni zile tipa ndogo zenye ukubwa wa 4.5M2.

Kwa wasiojuwa hizi ndio DUARA, sehemu ambayo huchimbwa Raw Material (MAWE) kwa ajili ya kwenda kusaga na kuosha Mwaloni.

[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]

Ila kwa jinsi nilivyoona hizi kazi return yake ni kubwa sana obvious hata kukata kwake ikiamua kukata lazima ukatike saaana, kikubwa nikujitahidi kuwa na other source ya kipato ili kuwa na sehemu Kadha wa kadha za kujipatia kipato. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto, chamgamoto kubwa ni Mitaji pamoja na Maji ya kuoshea hususan wakati wa kiangazi na wakati wa masika Duara hujaa maji kutokana na nvua, kazi hufanyika kwa taratibu sana na kusababisha kuchukua mda mrefu sana.

Hitimisho,

Nawashauli vijana wenzangu wahitimu wa Vyuo vikuu tusichague kazi, na tusiwe tunatumia mda mwingi kutafuta kuajiliwa., kikubwa wew angalia kazi unayofanya kama ina matumaini mbele ya safari. Halafu tusing'ang'anie mjini tu, hata pembezoni mwa miji pana fursa tena kubwa tu. Mimi niliingia Dar mwaka 2000 lakini nimekuja kuridhia kutoka mwaka 2019 baada ya kuona ramani hazisomi, kitu ambacho nilikuwa nimekataa katakata kutoka mjini. Ujue hapa duniani Kuna mwajiliwa (Employee), Mmiliki wa biashara (Business Owner) pamoja na Mwekezaji (Investor). Nijukumu la kila mmoja wetu kuamua uwe kwenye group lipi kati ya hayo matatu, japo wengi hupendelea saaana kwenye Employee maana hapo ndio penye Security na hapana Risk kubwa., japo huwa hailipi kama sehem ya Business owner pamoja na Investor. Unakuta raia ana Capital nzuri tu ila amekosa cha kufanya, wew kama uko na pesa jenga nyumba nyiingi tu za wapangaji kadri uwezavyo., maana hazihitaji hata management kama zilivyo bness zingine. Kusema ukweli kwa mda huu niliokaa kwenye hizi kazi, nimegundua kazi ya aina yeyote ile inahitaji usimamizi sana vinginevyo utakaa kuwalaumu watu tu. Maana hata Sisi hapa tusipokuwepo yaani tukirudi tunaona kabisa mambo hayajaenda inavyotakiwa, inabidi kujitahidi kuwepo mda wote wa kazi. Nahis enzi za zamani inaweza kuwa Uaminifu na Uadilifu ulikuwa mkubwa sana kuliko ilivyo hivi sas. Mimi naamini kabisa ya kwamba, UAMINIFU NA UADILIFU NI MTAJI TOSHA hata kama hauna hata shillingi mfukoni lakini unaweza kupata kitu kupitia UAMINIFU..

Na unapoamua kuingia kwenye hizi kazi nje ya kuajiriwa hususan za vijijini kama kilimo na migodi midogomidogo, wew jishushe na usijionyeshe kama umeenda shule ili uendane na jamii iliyokuzunguka, maana ukitanguliza shule yako raia watakutenga nakukuona wew siyo mwenzao. Wew tulia komaa na kazi, wala hakuna haja ya kuingia kwenye mambo ya sias wala uongozi., kikubwa wew piga kazi kwa sana tu na ufuate taratibu zote za sehem husika maana unajuwa kabisa nini unataka na nini kimekuleta.

Huwa nakumbuka mzee wangu aliwahi kuniuliza swali nikiwa Chuo " unajuwa unapokwenda" nami nikajirahisi tu nikamjibu ndio najuwa, unaenda wapi nikamjibu nilipokuwa nafikilia. Mzee alicheka akaniambia hujuwi unapokwenda, leo ngoja nikwambie unapokwenda. Leo hii wew ni kijana na una nguvu nyingi za kufanya kazi na kujipatia kipato, inatakiwa ujiulize Naenda wapi?Jibu lake nikwamba naenda kuzeeka, sas nikishazeeka na nguvu zitakuwa zimeisha na sitaweza tena kufanya kazi Nitakula Nini. Wakati ni sasa wakutengeneza chakula chako cha uzeeni, maana hautasumbuana na mtu yeyote kama utaweza kuweka Asset kadhaa hususan Nyumba kwa ajili ya chakula chako cha uzeeni. Daaah nilitafakari sana nanikaona mzee kasema jambo la muhimu sana, Vijana wenzangu wakati ni sasa tungali na nguvu za kuweza kufanya kazi na kujiwekea akiba ya uzeeni japo kuufikia uzee ni majaaliwa yake Mwenyezi Mungu. Kusema ukweli kwenye hii kazi naamini ntakifanya tena saana tu kile alichokisema mzee wangu.

Ahsanteni sana wana janvi, maana kuna mengi yakujifunza kupitia jukwaa letu pendwa la Jamii forum.

Hii hapa chini ni moja ya mazao yanayopatikana kwenye hizi kazi zetu za migodi midogomidogo.
Mungu awabariki sana.


[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]
Mmh funzo tosha hongera kwa mapambano
 
Unawaambia vijana watoke dar hawawezi kukuelewa Sasa hivi
 
SEHEMU YA NNE (MWISHO)

Jamaa baada ya kuniambia mfumo mzima wa uendeshaji wa zile kazi nikaridhia nanikaona hili nitumaini jipya juu ya maisha yangu. Mfumo wa sasa nitofauti sana na ule mfumo wa zamani yaani ule wakumuuzia Tajiri mwenye Plant ule mchanga. Mfumo wa sas mnapiga kazi mpaka pale mtakapoona mmekuza mnaenda Plant kuozesha, ila kila hatua mnakuwa mnachukua mchanga na kwenda kuupima ili kujuwa mwenendo mzima wa kazi yenu. Mkishakodisha Gold Plant kwa ajili ya kuozesha mnasomba ule mchanga na kwenda kupakia kwenye matenki ya kuuozeshea, na baada ya mda flani mnabeba mzigo kwenda kupakia tena kwenye mashine (Elution Plant) kuchenjua, sis huwa tunasema kukoboa na kupata kilichomo ambacho ni Dhahabu.

Nakumbuka tulipiga kazi mpaka mwisho mwa mwaka 2020 na tukapeleka Plant, nashukuru sana Mungu alitubariki tukatoka fresh japo hela nyingi ilikuwa ya watu, na tunashukuru tulifanikisha kurudisha tukawa tumebakiwa na balansi flan hivi tukawa tumenunua karasha la pili pamoja na compresa zile ndogo za kutumia Engine za Makarasha. Mfumo wa kupeana pesa huku huwa niwakienyeji tu, yaani hakuna taratibu za kuandikishana., Mtu anakupa hata milioni 15 ufanyie kazi baada ya miezi 4 urudishe milioni 20 yaani kikubwa uwe mwaminifu tu na ujitahidi sana kulinda jina lako lisichafuke. Kwa upande wa serikali kwa kweli Hayati Magufuli kuna vitu vingi sana kasaidia kwenye hii sekta ya madini hususan kwenye hii migodi midogomidogo. Zamani serikali ilikuwa haipati chake kwenye hii migodi midogomidogo na mchimbaji alikuwa hapati kama anavyopata hii leo, maana wizi kwenye huo mlolongo mpaka ukapate Dhahabu ulikuwa ni mkubwa sana.., lakini kwa sas kila sehem serikali ipo ndio maana hata yule mnunuzi mdogo wa Dhahabu analipa kodi., hata kama awe na gram moja akienda tu sokoni kuuza kuna asilimia flani serikali inapata.

Mwaka huu tuliiendelea na kazi na maisha nikawa nimeyazoea japo mazingira ni magumu, kazi ni ngumu ila unapofanya kazi na kupata kipato kinachoridhisha, kiasi flani unaridhika nacho inakubidi ukomae tu ili kufanikisha zaidi. Kiukweli hii kazi inalipa tena sana unaweza sema ni biashara chache sana zinaweza lipa kama inavyolipa hii kazi. Mwaka huu mwezi wa sita tulisomba tena na tukafanikisha kiasi na sasa mtaji wetu naweza sema umeimarika vyema. Tulifanikisha kuongeza karasha la tatu na DUARA kadhaa., maana tuliona tuimarishe kwanza vitendea kazi ili kurahisisha uendeshaji wa kazi. Naweza sema hivi niviwanda (Makarasha) na raw material inapatikana mlimani, yapaswa uwe na DUARA za kutosha ili kiwanda kisiwe na uhaba wa raw material yaani Mawe. Kwa sas tunapambana tena kwa mara nyingine na Mwenyezi Mungu akijaalia mwishoni mwa mwaka huu tutaingia tena Plant. Tuna vijana zaidi ya kumi tuliowaajili kwa kazi ya kuosha na kusaga pamoja na wanaopiga duarani. Japo kazi za duarani huwa tunawapa mkataba yaani mnakubaliana kuwalipa kwa tripu za gari, gari ni zile tipa ndogo zenye ukubwa wa 4.5M2.

Kwa wasiojuwa hizi ndio DUARA, sehemu ambayo huchimbwa Raw Material (MAWE) kwa ajili ya kwenda kusaga na kuosha Mwaloni.

[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]

Ila kwa jinsi nilivyoona hizi kazi return yake ni kubwa sana obvious hata kukata kwake ikiamua kukata lazima ukatike saaana, kikubwa nikujitahidi kuwa na other source ya kipato ili kuwa na sehemu Kadha wa kadha za kujipatia kipato. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto, chamgamoto kubwa ni Mitaji pamoja na Maji ya kuoshea hususan wakati wa kiangazi na wakati wa masika Duara hujaa maji kutokana na nvua, kazi hufanyika kwa taratibu sana na kusababisha kuchukua mda mrefu sana.

Hitimisho,

Nawashauli vijana wenzangu wahitimu wa Vyuo vikuu tusichague kazi, na tusiwe tunatumia mda mwingi kutafuta kuajiliwa., kikubwa wew angalia kazi unayofanya kama ina matumaini mbele ya safari. Halafu tusing'ang'anie mjini tu, hata pembezoni mwa miji pana fursa tena kubwa tu. Mimi niliingia Dar mwaka 2000 lakini nimekuja kuridhia kutoka mwaka 2019 baada ya kuona ramani hazisomi, kitu ambacho nilikuwa nimekataa katakata kutoka mjini. Ujue hapa duniani Kuna mwajiliwa (Employee), Mmiliki wa biashara (Business Owner) pamoja na Mwekezaji (Investor). Nijukumu la kila mmoja wetu kuamua uwe kwenye group lipi kati ya hayo matatu, japo wengi hupendelea saaana kwenye Employee maana hapo ndio penye Security na hapana Risk kubwa., japo huwa hailipi kama sehem ya Business owner pamoja na Investor. Unakuta raia ana Capital nzuri tu ila amekosa cha kufanya, wew kama uko na pesa jenga nyumba nyiingi tu za wapangaji kadri uwezavyo., maana hazihitaji hata management kama zilivyo bness zingine. Kusema ukweli kwa mda huu niliokaa kwenye hizi kazi, nimegundua kazi ya aina yeyote ile inahitaji usimamizi sana vinginevyo utakaa kuwalaumu watu tu. Maana hata Sisi hapa tusipokuwepo yaani tukirudi tunaona kabisa mambo hayajaenda inavyotakiwa, inabidi kujitahidi kuwepo mda wote wa kazi. Nahis enzi za zamani inaweza kuwa Uaminifu na Uadilifu ulikuwa mkubwa sana kuliko ilivyo hivi sas. Mimi naamini kabisa ya kwamba, UAMINIFU NA UADILIFU NI MTAJI TOSHA hata kama hauna hata shillingi mfukoni lakini unaweza kupata kitu kupitia UAMINIFU..

Na unapoamua kuingia kwenye hizi kazi nje ya kuajiriwa hususan za vijijini kama kilimo na migodi midogomidogo, wew jishushe na usijionyeshe kama umeenda shule ili uendane na jamii iliyokuzunguka, maana ukitanguliza shule yako raia watakutenga nakukuona wew siyo mwenzao. Wew tulia komaa na kazi, wala hakuna haja ya kuingia kwenye mambo ya sias wala uongozi., kikubwa wew piga kazi kwa sana tu na ufuate taratibu zote za sehem husika maana unajuwa kabisa nini unataka na nini kimekuleta.

Huwa nakumbuka mzee wangu aliwahi kuniuliza swali nikiwa Chuo " unajuwa unapokwenda" nami nikajirahisi tu nikamjibu ndio najuwa, unaenda wapi nikamjibu nilipokuwa nafikilia. Mzee alicheka akaniambia hujuwi unapokwenda, leo ngoja nikwambie unapokwenda. Leo hii wew ni kijana na una nguvu nyingi za kufanya kazi na kujipatia kipato, inatakiwa ujiulize Naenda wapi?Jibu lake nikwamba naenda kuzeeka, sas nikishazeeka na nguvu zitakuwa zimeisha na sitaweza tena kufanya kazi Nitakula Nini. Wakati ni sasa wakutengeneza chakula chako cha uzeeni, maana hautasumbuana na mtu yeyote kama utaweza kuweka Asset kadhaa hususan Nyumba kwa ajili ya chakula chako cha uzeeni. Daaah nilitafakari sana nanikaona mzee kasema jambo la muhimu sana, Vijana wenzangu wakati ni sasa tungali na nguvu za kuweza kufanya kazi na kujiwekea akiba ya uzeeni japo kuufikia uzee ni majaaliwa yake Mwenyezi Mungu. Kusema ukweli kwenye hii kazi naamini ntakifanya tena saana tu kile alichokisema mzee wangu.

Ahsanteni sana wana janvi, maana kuna mengi yakujifunza kupitia jukwaa letu pendwa la Jamii forum.

Hii hapa chini ni moja ya mazao yanayopatikana kwenye hizi kazi zetu za migodi midogomidogo.
Mungu awabariki sana.


[file:///storage/emulated/0/Android/data/com]
Nimwmejifunza kitu kwenye andiko lako. Juhudi na kutokukata tamaa na kujitoa vinaleta mafanikio na subira ikiwepo za uvumilivu[emoji1303]
 
Back
Top Bottom