Heavy Metal
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 750
- 1,713
HahahahahahaaaaaMmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahaaaaaMmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Samahani mkuu, huyo nani kwa avatar yako?mwaka 2003 ukiwa na laptop bongo hi hiii au? maaana deskitop tu ilikua mtihani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepaniki...pole ila sikukutuma mimi kufanya ufuskaKwa hiyo huna dhambi wewe ni bikra kiimani ni mweupe kama theluji au??acha ku pretend sheteni mdogo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Uongo ni nini..? Uongo nikua 2003 alikua n laptop anaangalia movie n laptop inakaa na charge mpaka shem ake anasinzia. Chaii hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hata sijutii,halafu kwani wwe mungu..niliacha mwenye tu kwa hiari yangu nikata naanza tena kuwaswaga kama kawaida ila ..umri ni ukuta
Acheni ujinga wakumlaumu jamaa Huyo mwanamke ni pumbavu kwani alilazimishwa si walikubaliana wote mavi yakeKama yako amejitoa kukusaidia..hayo ndo malipo yake. Hovyo kabisa..ndiyo maana wanasema wasaidie ndugu wakiwa nyumbani..kamwe usiwalete kwako
Sawa kaka fuska, kila la heriWala hata sijutii,halafu kwani wwe mungu..niliacha mwenye tu kwa hiari yangu nikata naanza tena kuwaswaga kama kawaida ila ..umri ni ukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hainaga ushemeji tunakulagaHakuna kitu naogopa kama shemeji yangu.Mke wa ndugu yangu like brotjer au mdogo angu.Aisee naogopa sana.Siwez kaa niwaze kumla.Nawaheshimu sana.
Hata demu wa mchiz tu siwez.
Mke wa brother angu mkubwa ananikera sana.Nataman hata namba yake niifute maana anaweka status za ajab kinoma.Mara kabimua kalio..mara katia vimin
Dah huwa nasikitika sanaaa.
Ahahahahahahahahahahahah
Msile mashemeji zenu
Laana gan mzee?Yani mwana....kwann usile hata beki 3 ....mpka ukamfunue shemeji yako...hizi laana nyingine huwa tunazitafuta wenyewe
Na wewe ni boya popoma MATAGAHuyu aliyepost huu undezi ni boya...na wote wanaounga mkono ni maboya...
Ovaa
Amekosea ni 2013mwaka 2003 ukiwa na laptop bongo hi hiii au? maaana deskitop tu ilikua mtihani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha zakoSijui kwa nini moyo wangu umeumia.
Kausha dada Ongea taratibuWe jamaa umezingua bana, na ukaona sifa uje utusimulie na uulizie kama kuna wengine washawahi kufanya hivyo pia, kwa taarifa yako hakuna mwingine humu alowahi kufanya hivo, ni wewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Unataka kuto..mba wa wengine??Hapna aseeeee....mambo ya kuto... Na mdogo wangu mimi hapana
Mwanamke yeyote katika mazingira rafiki kwake hutenda tendo la ndoa na mwanamme yeyote aliye karibu naye bila kujali uhusiano alio nao na huyo.Mwaka 2003, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Ilikuwa siku ya Jumamosi, sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Sent using Jamii Forums mobile app