bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
jamani nahitaji computer kwa bei tajwa hapo juu! je hizo computer zina ubora endapo nitazipata kwa bei hiyo?
jamani nahitaji computer kwa bei tajwa hapo juu! je hizo computer zina ubora endapo nitazipata kwa bei hiyo?
thanks kaka!Mkuu soma figure ulioandika tena
ok mkuu! dadavua kidogo nikuelewe!Kabla haujaongeza sifuri Moja kwenye bei ya LapTop, kwa vigezo vya bei yako. Sijajua hiyo desktop iwe full mpaka monitor au ni cpu peke yake?
Kama ni cpu peke yake bora uchukue desktop ila kama ni full Bora uchukue laptop.
it might be!Cheap is expensive
ok mkuu! dadavua kidogo nikuelewe!
Jibu kwanza swali lenye alama ya kiulizo.
Mkuu hata hiyo laki mbili na nusu haiwezi kuwa laptop ya maana, laptop ninayotumia ina cost around 2.5 milion. kwa hiyo unapoongelea laptop uwe unamaanisha laptop kweli..Sawa ni 250000
Mkuu hata hiyo laki mbili na nusu haiwezi kuwa laptop ya maana, laptop ninayotumia ina cost around 2.5 milion. kwa hiyo unapoongelea laptop uwe unamaanisha laptop kweli..