Recent content by presenttt

  1. presenttt

    Nimeamua kuwa Atheist

    Loose Nut tumeiyona " ujumbe wako
  2. presenttt

    Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Lete mtori uo hakikisha nyama ziwe nyingi....
  3. presenttt

    Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Inahusiana na wewe kubaki bila kuondoka. Utaelewa vizuri katika wakati sahihi.👣
  4. presenttt

    Vyakula vipi umekula pindi umepigika vilivyo?

    Uzi mzuri na Unanitia nguvu kuona Kumbe kila mtu ana nyakati Zake za moto. Mimi taingia jana asubuhi mpaka muda huu ni vikombe vya maji tu ndo vimehusika tumboni. Usiku wa Jana ulikuwa mrefu sana sijui wa leo.
  5. presenttt

    Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

    [emoji23][emoji23]
  6. presenttt

    Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

    Ongezea nyama mkuu kuhusu madhehebu na ushetani...
  7. presenttt

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Hongera Mkuu nime subscribe uzi wako najua kunasiku waweza nifaa.
  8. presenttt

    Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Mkuu unaishusha lini? Kuna jamaa washaanza kufanya hitimisho kwenye uzi wako tafadhari usitoke kwenye mstari.
  9. presenttt

    Msaada wana JF wenzangu, nina msongo wa mawazo

    Mkuu pole Sana watu wengi wanaweza wasi kuelewe. Binafsi nishafanya majaribio matatu ya kujiua........) lkn nashukuru Mungu Kwa pumzi ii mpaka sasa. Fahamu kila mtu ana changamoto Zake ambazo kwake ni kubwa mno lkn still bado wana pambana Cha msingi kabisa toka sehemu iyo ambayo wanakujua...
  10. presenttt

    Siasa sio vita

    Wewe sasa Unataka kutuamisha kuwa bila iyo CCM wewe Usingekuwa hai, Usingekuwa unapumua sindio?
Back
Top Bottom