Uzi mzuri na Unanitia nguvu kuona Kumbe kila mtu ana nyakati Zake za moto.
Mimi taingia jana asubuhi mpaka muda huu ni vikombe vya maji tu ndo vimehusika tumboni.
Usiku wa Jana ulikuwa mrefu sana sijui wa leo.
Mkuu pole Sana watu wengi wanaweza wasi kuelewe.
Binafsi nishafanya majaribio matatu ya kujiua........) lkn nashukuru Mungu Kwa pumzi ii mpaka sasa.
Fahamu kila mtu ana changamoto Zake ambazo kwake ni kubwa mno lkn still bado wana pambana
Cha msingi kabisa toka sehemu iyo ambayo wanakujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.