Hahahah si allah ndi anavyotaka😂
Yaan taab tupu
Lakin sasa vishehe vya bongo huko misikitin wanawasimanga simanga wakristo na mapungufu yao wanasahau ya kwaoa
Utasikia wakristo wanaibiwa
Sadaka wakat hata wao wanaombaga sadaka kwa kisingizio cha kutangaza din na kujenga misikiti
Wakat kaz...
Si misingi ya dini😀
Wacha waendelee kuitafuta na kuwatafutia watu pepo kilazima
Ila kusema za ukwel hizi dini zote zichunguzwe kwa akili ya kila mmoja wetu
Ukikaa pemben ukazichunguza zina mapungufu kibao
Japo wapo wenye uafadhal
Kias kinachopelekea kujisemea mwenyewe
Bora wangekuwepo watu wa...
Tukisema binadam ni ni viumbe hatari ujue ni pamoja na wewe unaesema wapigwe risasi
😀
Mimi naona sio makosa yao kwa sabab
Mpaka unaua
Ujue kwenye akili kuna kitu hakijakaa
Sawa
Kila kitu ni akili
Sasa hivi yamekuja magonjwa mengi ya akili
Mimi nimesema wanauwa kisa wameahidiwa kupewa mabikra huko peponi
Si kwamba maneno haya nimeyasema mm ila nimemnukuu kiongozi wa hivyo vikundi alipokuwa akihojiwa yeye na kikundi chake
Nachojua kinachowaongoza ni kitabu chenu
Sasa niseme ni wakristo ama
Acha ushabiki weka dini pembeni then...
Hahahah hamjijui
Mbona hamjawahi kusimama kuwapinga kwamba hao sio wenzenu
Sio nyinyi ambao mnasemaga Mnataka kuingoza dunia kiislam
Sio ninyi mnaosema nchi inaendeshwa kikristo wakat serikal ina viongozi wa dini aina zote
Sio ninyi mnaowaita wakristo wote ni makafiri
Na mwisho wao ni moto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.