Na inasemekana wengine ni vijana kutoka miji jirani na Msumbiji, bahati mbaya, wengine wanaongea kiswahili.Sisi Tanzania msimamo wetu uko palepale maana kustawi kwa amani katika eneo hilo la msumbiji ni kitisho kwa mradi wetu wa gesi kule mtwara
Na inasemekana wengine ni vijana kutoka miji jirani na Msumbiji, bahati mbaya, wengine wanaongea kiswahili.Sisi Tanzania msimamo wetu uko palepale maana kustawi kwa amani katika eneo hilo la msumbiji ni kitisho kwa mradi wetu wa gesi kule mtwara
basi na mimi unikumbukeHahahaha hapana mkuu
Check Rwanda niyangapi duniani kwa kulinda amani,na ndio wanapewa hizo fursa wakiwa wakwanza.Wanyarwanda wamebuni chanzo kingine cha mapato, Wanalipwa kwa kupeleka wanajeshi kwenye misheni kama hizo. Ndio maana vinchi maskini kama Burundi vinakimbilia hizo fursa, ingawaje cha moto wanakipata.
Hahahah hamjijuiMnakurupuka kukomenti bila kujua wakina nani hao, wametumwa na nani kuuwa watu wasio na hatia., huwa munakimbilia direct kuwatuhumu waisilamu bila kuwa na ushaidi kamili
Hebu tupatie ushahidi kama hao ni waislamu wakweli, na je Uislamu umetuamrisha kufanya huo ujinga!!! Lete ushahidi na aya kutoka kwenye Quran tukufu.
Kwann now day M7 anauwa saana wafanyabiashara wa Rwanda kwa kisingizio cha ujasusi ndani ya huu mwezi tu kashauwa wanyarwanda(wengi wana uraia wa uganda) zaidi ya 15
Hahahah hamjijui
Mbona hamjawahi kusimama kuwapinga kwamba hao sio wenzenu
Sio nyinyi ambao mnasemaga Mnataka kuingoza dunia kiislam
Sio ninyi mnaosema nchi inaendeshwa kikristo wakat serikal ina viongozi wa dini aina zote
Sio ninyi mnaowaita wakristo wote ni makafiri
Na mwisho wao ni moto wa jehanam
Kama wana chinja watu na kumuonesha allah vichwa na mmekaa kimya bila kukemea
Kwenu mnaita ndo kutangaza dini na kujizolea miswawabu
Sio ninyi mnao comment ujinga kwenye channel za wakristo
Mimi ni nafuatilia sana pande zote ninyi mna ujinga mwingi
Huyo mazinge mnaemsifia na kumuombea pepo alishawahi kusema kwenye kuua ni sahihi kama una tafuta haki
Na ndo maan mna amin haki ni kuua wa kristo wote ili msimamishe uislam kama unabisha nikuletee link
M7 hawezi kufanya huo uhuni, hizo ni propaganda za kumpaka matope na kuchafua taswira ya Uganda kimataifa.Kwann now day M7 anauwa saana wafanyabiashara wa Rwanda kwa kisingizio cha ujasusi ndani ya huu mwezi tu kashauwa wanyarwanda(wengi wana uraia wa uganda) zaidi ya 15
aaaaah sawa kwaiyo M7 akikamata majasusi wa Rwanda anawafanyia sherehe tu ili jumuiya ya kimataifa imsifie mkuu ?M7 hawezi kufanya huo uhuni, hizo ni propaganda za kumpaka matope na kuchafua taswira ya Uganda kimataifa.
Kila nchi ina Sheria na taratibu zake za kushughulika na mambo kama hayo.aaaaah sawa kwaiyo M7 akikamata majasusi wa Rwanda anawafanyia sherehe tu ili jumuiya ya kimataifa imsifie mkuu ?
Kila nchi ina Sheria na taratibu zake za kushughulika na mambo kama hayo.
Sasa kwanini wakiuawa unakuja kutetea hapa eti hawana hatiaHicho wanachokifanya hao wanamgambo sio sahihi, uislamu haujaagiza kufanya hayo isipokuwa kwa haki.
So Nimekuomba aya katika quran inayohalalisha kuuwa wasio na hatia. Naomba uilete iyo aya, usikimbie.
Vetting za aina hiyo zimekuwa zikifanyika sana Updf miaka mingi, sijajua kwanini M7 anahofu hivyo.bas ndio hivyo M7 anawapeleka saana kwa Mungu na mwaka jana mwishoni UPDF wamefanya vetting kubwa saana kuwasaka watu wa slim
Mapombe makubwa sijapata kuona aisee niliyakuta kigali aiseeeHahahaha waache kunywa skol na mutzing kule gikondo
Sasa kwanini wakiuawa unakuja kutetea hapa eti hawana hatia
Mbona unaongea pumba
Hahahaha maa primus .RDC kuna ntay.tembo.simba nayo makubwaMapombe makubwa sijapata kuona aisee niliyakuta kigali aiseee
Hapa kama hutetei unafanya niniMnakurupuka kukomenti bila kujua wakina nani hao, wametumwa na nani kuuwa watu wasio na hatia., huwa munakimbilia direct kuwatuhumu waisilamu bila kuwa na ushaidi kamili
Hebu tupatie ushahidi kama hao ni waislamu wakweli, na je Uislamu umetuamrisha kufanya huo ujinga!!! Lete ushahidi na aya kutoka kwenye Quran tukufu.
you have spoken the TRUTH, its there are romours that its tz that is sabotaging this gas project in mozambique, thats according to some intell, reports from some credible sourcesSisi Tanzania msimamo wetu uko palepale maana kustawi kwa amani katika eneo hilo la msumbiji ni kitisho kwa mradi wetu wa gesi kule mtwara