Duuuhh sasa mmaza anaendeleaje kukaa hapo wakati kijana hamthamini? Duuhhh maana hadi anaenda kupokelewa bidada anakaa hapo hapo na analala na kijana daah, hii dunia ngumu sana kuiishi!
Shida ni kwamba huyo wa utotoni hajamkaa moyoni, baba na mama hawamkubali ila anahamu ya kuolewa,, ahh kizungu zungu hiki aisee...., ninaempenda hanipendi, nisiempenda ameniganda kama luba!
Social networks zinawapatiamo watu wenza sina ubishi na hilo, ila sasa huyo tayari ana watu ambao hajawapatia ufumbuzi ghafla aunganishwe na mwingine, huoni atazidi kuchanganyikiwa? Excel?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.