Najuta tamaa mbaya

Najuta tamaa mbaya

habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI

Pole sana kaka yangu. Kwanza kabisa kama ulivyosema mwenyewe kuwa huyo binti ilikuwa tamaa tu na ni hakika kuwa hujawahi kumpenda.
Sasa kwa ushauri mzuri tu ili uuthibitishie moyo wako kuwa wewe ni real gent..weka kikao na huyo binti kisha mueleze ukweli then akidai kuwa kwanini ulimdanganya wewe mwambie kuwa hata yeye hukumuamini, ila mtayaongea zaidi baada ya huyo binti kumaliza field na kusepa.
Hapo atakuwa hana ujanja then maamuzi mengine utabaki nayo wewe.. ILA NA UKOME
 
habari zenu wana MMU
Najuta kusema uongo na tamaa yangu ya mapenzi, mimi ni kijana wa kiume sijaoa nafanya kazi na kampuni fulani hapa rocky city. Mwezi januari nilihama sehemu niliyokuwa nimepanga nikapata chumba sehemu nyingine.
Nilipohamia mama mwenye nyumba anaishi na mdogo wake wa kike akaanza kuwa karibu na mimi sasa kidume nikarusha ndoano binti kakubari kutoa gegedo, baadaye dada mtu kainasa habari kuwa nakula mzigo kwa mdogo wake ikabidi amwambie mdogo wake anipe taarifa kuwa jion nimuone dada yake ana maongezi na mimi.
Maswali niliyokutana nayo katika kile kikao kati yangu na dada wa yule binti ni:
  • mdogo wangu nimemuuliza akasema ukweli kwamba una mahusiano naye, je mpango wako ni upi sasa,unakula mzigo na kuacha au una malengo ya kuoa?
  • Je huna mke au mpenzi mwingine?
majibu niliyompa ni kwamba siwezi kujibu maswali yako haraka na mapema mno.
Lakin kinachonifanya nijute ni kuwa mwezi June 2014 mpenzi wangu anakuja toka Dar kuja kuishi kwangu akiwa anafanya field na siwezi kuhama ile sehemu coz nimelipa kodi ya mwaka mzima na masharti ya mkataba wa pango ni kwamba mpangaji akihama kabla ya muda kuisha hela hairudishwi.
Kuepusha shari kati ya mama mwenye nyumba, mdogo wake(gegedo langu la sasa) na mpenzi wangu wa ukweli Nifanye? USHAURI WAKO NI MUHIMU NA SIYO MATUSI

sio kwamba hauwezi kuhama inawezekana ila sema hauna pesa nyingine ya kwenda kulipia pango sehemu nyingine, kama umedhamilia kukwepa kizaazaa hama faster kabla hajaja huyo kishtobe wako
 
Pole sana kaka yangu. Kwanza kabisa kama ulivyosema mwenyewe kuwa huyo binti ilikuwa tamaa tu na ni hakika kuwa hujawahi kumpenda.
Sasa kwa ushauri mzuri tu ili uuthibitishie moyo wako kuwa wewe ni real gent..weka kikao na huyo binti kisha mueleze ukweli then akidai kuwa kwanini ulimdanganya wewe mwambie kuwa hata yeye hukumuamini, ila mtayaongea zaidi baada ya huyo binti kumaliza field na kusepa.
Hapo atakuwa hana ujanja then maamuzi mengine utabaki nayo wewe.. ILA UKOME


Asante kwa ushauri
 
Nachukia tabia yako na ni vibaya sana kubetray trust ya mtu.
Ila kwa sababu situation yako ni very challenging n i like challenges....

Okay if anyone asks u did not hear this from me.

Mtafute rafiki yako ambaye unaweza kuangusha kwake. Muombe hifadhi kisha kuwa busy na maisha/ kazi kuongeza kipato na kukosa muda wa social activities. Muda mchache kabla mpenzio hajafika Mz anza kulala kwa rafikio, jizoeshe kwa majirani. Mwambie mpenzio umelazimika kuwa unaishi kwa rafikiyo kwa sababu huwezi kuishi tena pale kwako(Mpe heavy constructive reasons). Shaurianeni sehemu ya yeye kulala. Siku unampokea mpokee vizuri kuwa naye mda wote mpeleka atakapolala kisha kalale kwa rafikiyo(Make sure unampeleka huyo dada hapo kwa rafikio-act as if u live there and u have nothing to hide). Basi we busy na kazi na dada busy na field. Makutano kwa rafikiyo. Akishazoea hali siku hamuonani kalale kwako. Dada akirudi Dar na mkataba ukaisha hama!! Nausirudie tena upuuzi wako
 
next time muwage mnasema ukweli tu zijulikane kama ni mechi ya kirafiki tu..
 
mmaza anakasirikaje....... maana kuna siku tunapiga mastori kijana akaaga anaenda kumpokea bidada
anakuja nikaona maza kamaindi anaongea mbofu nikajua shangaz haziivi na mkwe mtarajiwa kumbe
wanashea gegedo ndio maana...UWANJA inabidi aachie tu

Duuuhh sasa mmaza anaendeleaje kukaa hapo wakati kijana hamthamini? Duuhhh maana hadi anaenda kupokelewa bidada anakaa hapo hapo na analala na kijana daah, hii dunia ngumu sana kuiishi!
 
mnakoseaga sana mnapoharibu kwa kuchukua vibinti sehem mnayoishi wakati nyumba kubwa yupo, yaani hapo kimenuka, we subiri aje halafu uone vituko atakavyofanyiwa, lazma ajute na mambo yaharibike usipokuwa makini
 
amua moja kuhama eneo bila kurudishiwa pesa au kumpoteza mpenzio ? we ndo unajia kipi muhimu kwako kwa sasa
 
swala dogo sana.....! rudi kwa dada mtu mwambiee unahitaji muda zaidi wa kumfahamuu kitabia mdogo wake pia kama utakuwa tayari basii utatuma watu husika waje na posaa!! hayaa sasa akija huyo gegedo lako la dar salaaama we gegedua tuuuu coz kwa mtazamoo wangu hao ndugu hawana ujanja wa kukuzinguaaa ( VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWAAA KULINGANA NA UELEWA WAKOO)
 
Dah! Umefanya kosa kubwa utajutia kama kweli unampenda huyo mpenzio unayesema wa ukweli! Kila la shari!!!
 
We inaelekea dizaini kazi na dawa...nikimaanisha unawagegeda kwa mazoea..
mwanamke ukimzoesha au ukimuingia gia ya kumkenulia meno ovyo kama mtani kwa gia ya kula mzigo..utakula afu mwishoe aanze leta mazoea....
mimi kama naingia kwa njia ya mpito,,i keep it proffessional..100 tu..hakuna kuona meno yangu nje ya kitanda, tukimaliza mambo yetu ni kujadili mambo ya msingi au kila mtu achukue time yake

sasa adi mtu anaweza kukukalisha chini akakugonga maswali ayo,,mmmh huwa nawaza iyo courage wakuni face mimi ovyo ovyo akaniuliza mwee
 
kabla sijakupa mbinu za kumshambulia adui bila kukuona nikuulize kwanza. Huyo mchumba wako atakaa mda gani kwako? Nijibu hapo halafu twende pm nikupe mbinu hayo mambo madogo

Na wewe ni wale wanaopenda magegedo ya bure eti mambo madogooo!! (bana pua unapotamka hii)
 
Nachukia tabia yako na ni vibaya sana kubetray trust ya mtu.
Ila kwa sababu situation yako ni very challenging n i like challenges....

Okay if anyone asks u did not hear this from me.

Mtafute rafiki yako ambaye unaweza kuangusha kwake. Muombe hifadhi kisha kuwa busy na maisha/ kazi kuongeza kipato na kukosa muda wa social activities. Muda mchache kabla mpenzio hajafika Mz anza kulala kwa rafikio, jizoeshe kwa majirani. Mwambie mpenzio umelazimika kuwa unaishi kwa rafikiyo kwa sababu huwezi kuishi tena pale kwako(Mpe heavy constructive reasons). Shaurianeni sehemu ya yeye kulala. Siku unampokea mpokee vizuri kuwa naye mda wote mpeleka atakapolala kisha kalale kwa rafikiyo(Make sure unampeleka huyo dada hapo kwa rafikio-act as if u live there and u have nothing to hide). Basi we busy na kazi na dada busy na field. Makutano kwa rafikiyo. Akishazoea hali siku hamuonani kalale kwako. Dada akirudi Dar na mkataba ukaisha hama!! Nausirudie tena upuuzi wako
yaani wewe ndooo unamwaribu kabisa sasa maujanja hayo unampa ya nini mtu mwasherati si ndo na wengine humu wataiga?
 
Back
Top Bottom