Kuna duka kurasini karibu na Kota za polisi anauza hao mbwa na wana aina tofauti tofauti za mbwa hao wazuri n chakula chao jina la duka nahisi linaitwa 4dogs trainers
Wazima ndugu zangu,
Si mnajua maisha yalivyo wanadamu tumeumbwa kupambana hapa duniani kwa miaka hii michache tunayoishi hapa alafu ukiangalia maisha ndio yanazidi kuwa magumu ila ndio hivyo tuliambiwa tulime ndio tule kula kwa Jason huko.
Lengo la kuja kwenu wakuu ni kuuliza kwa hapa...
Watu waelevu hawatelekezi na kuwakimbia abiria
Hio ni dalili kwamba walikuwa hawajielewi na ukikutana na mtu hajielewi angefungua hata tv
Nb mimi ningebaki nayo hata kwa mjumbe sipeleki ndo inakuwa nimeondoka nayo hivyo mazima
Oya acha uboya alie chukua 500M ni mchaga au
Kama ni mchaga unajua kabisa jinsi ya kumpata unafeli nini sasa siku mfuate kariakoo mbele ya watu piga shambulio kisu panga risasi ambayo unajua hawezi pona halafu hata usikimbie baki waje kukuchukua tuu
Mimi siamini kama kuna mtu ambae hana kauli mbaya na nzuri zote tunazo sema ni maamuzi yako kutumia zipi hata watu wa Mungu ukiwatibua wakatibuka wanakuwashia moto balaa
Sema nasoma majibizano yao nacheka maana financial alimsema huyo mdada anaetaka kupelekewa moto wa haja jamaa akasoma akahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.