Recent content by pred

  1. P

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yamwaga ajira

    Wazima ndugu Kwenye hizi ajira za tra unaruhusiwa kuomba kazi zaidi ya moja
  2. P

    Mbwa wazuri na wakatili

    Kuna duka kurasini karibu na Kota za polisi anauza hao mbwa na wana aina tofauti tofauti za mbwa hao wazuri n chakula chao jina la duka nahisi linaitwa 4dogs trainers
  3. P

    Naomba ushauri juu ya biashara ya uwakala wa fedha kwa Dar es Salaam

    Wazima ndugu zangu, Si mnajua maisha yalivyo wanadamu tumeumbwa kupambana hapa duniani kwa miaka hii michache tunayoishi hapa alafu ukiangalia maisha ndio yanazidi kuwa magumu ila ndio hivyo tuliambiwa tulime ndio tule kula kwa Jason huko. Lengo la kuja kwenu wakuu ni kuuliza kwa hapa...
  4. P

    Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

    La kijeshi la Marekani hilo
  5. P

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mhh mbona sio pro mimi ila dakika 20 nafikisha na kupita kabisa
  6. P

    Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

    Katuangusha sana yaani watatu tuu anashindwa wahimili
  7. P

    Basi la Africa Raha Express (T 382 DCS) latelekeza abiria sheli

    Watu waelevu hawatelekezi na kuwakimbia abiria Hio ni dalili kwamba walikuwa hawajielewi na ukikutana na mtu hajielewi angefungua hata tv Nb mimi ningebaki nayo hata kwa mjumbe sipeleki ndo inakuwa nimeondoka nayo hivyo mazima
  8. P

    Nakulaani Manka! Ulinifilisi bila tone ya huruma

    Oya acha uboya alie chukua 500M ni mchaga au Kama ni mchaga unajua kabisa jinsi ya kumpata unafeli nini sasa siku mfuate kariakoo mbele ya watu piga shambulio kisu panga risasi ambayo unajua hawezi pona halafu hata usikimbie baki waje kukuchukua tuu
  9. P

    Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

    Tusaidie urefu kipimo gani kuanzia.
  10. P

    Kauli ya mwanadada huyu imenishangaza baada ya kumuomba tendo la ndoa

    Na ankome fijo sesese imi kunya ighi
  11. P

    Kauli ya mwanadada huyu imenishangaza baada ya kumuomba tendo la ndoa

    Oya uyo demu nipe mimi akimbie ulingo
  12. P

    Kauli ya mwanadada huyu imenishangaza baada ya kumuomba tendo la ndoa

    Mimi siamini kama kuna mtu ambae hana kauli mbaya na nzuri zote tunazo sema ni maamuzi yako kutumia zipi hata watu wa Mungu ukiwatibua wakatibuka wanakuwashia moto balaa Sema nasoma majibizano yao nacheka maana financial alimsema huyo mdada anaetaka kupelekewa moto wa haja jamaa akasoma akahisi...
Back
Top Bottom