Ni kweli life must go on,ila ktk maisha hata uwe na wangapi yupo ambae huwezi kumsahau....
My friend had a girlfriend chuoni,alimfanyia vituko sana,alimliza sana but hakuacha kumpenda iliposhindikana kbsa alimwacha,akaoa akazaa na watoto ila hadi leo hajamsahau,anakiri bdo hajapenda kama yule...