Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,189
Ni kweli Hilo halipingiki, Hata mimi kuna mtu ambaye nilimpenda nikapenda na Kupitiliza Na hata Alipokuja kuachana na Mimi nilijitahidi kumsahau lakini mpaka leo ingawa nina maisha yangu na nimekuwa na mahusiano Kadhaa lakini moyo Wangu Bado unaishi ndani yake
Sasa wewe unatumia moyo gani kusukuma damu kama wako unaishi kwa mwingine?