Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Ajabu!! Mwanamke anaeogopa hela sasa hata maendeleo si yatachelewa, maana mwanaume hatotafuta pesa kwa bidii atii!!!!
Sharia mwanamke utumie pesa bwa kaka akili imkae sawa kuitafuta.
Hahahahaha!!! Kuna watu wanataman wameze saver za jf wakisikia haya.
Wanapita na booonge la msonyo, wapi RRONDO mzee wa mihogo, njoo amepatikana huku waifu asopenda pesa.
Last edited by a moderator: