Simtaki ila namtaka

Simtaki ila namtaka

Ajabu!! Mwanamke anaeogopa hela sasa hata maendeleo si yatachelewa, maana mwanaume hatotafuta pesa kwa bidii atii!!!!

Sharia mwanamke utumie pesa bwa kaka akili imkae sawa kuitafuta.

Hahahahaha!!! Kuna watu wanataman wameze saver za jf wakisikia haya.

Wanapita na booonge la msonyo, wapi RRONDO mzee wa mihogo, njoo amepatikana huku waifu asopenda pesa.
 
Last edited by a moderator:
Wanapita na booonge la msonyo, wapi RRONDO mzee wa mihogo, njoo amepatikana huku waifu asopenda pesa.

Tatizo lenu nyie mabinti mnafikiri tusiopenda wapiga mizinga hatuna hela!!! Wenye hela ndio wagumu kweli fanya utafiti,hela inatoka kwa mipango sio uje na njaa zako huko utegemee upewe tu....Mimi sihongi na sijawahi kusumbuliwa na watoto wazuri!!
 
Inabidi ukubali na ufunge masikio na usonge mbele na maisha yako,si mwanaume anafanya maisha yako yaendelee
 
Maamuzi yangu ni ku move on japo bado nampenda sana bt i have decided to move on.Shida ni kuwa sitaki disturbance zake..huyu mtu naishi nae mtaa mmoja daily I see him. Kumbuka nampenda namuona na binti wengne navumilia...

Hama mtaa, utaendelea kuumia Hadi lini? Kuendelea kumpenda mtu Asie na taimu na wewe ni Sawa na Kuvua nguo na kutembea Uchi mchana kweupe... Angalia Maisha Yako dada
 
Tatizo lenu nyie mabinti mnafikiri tusiopenda wapiga mizinga hatuna hela!!! Wenye hela ndio wagumu kweli fanya utafiti,hela inatoka kwa mipango sio uje na njaa zako huko utegemee upewe tu....Mimi sihongi na sijawahi kusumbuliwa na watoto wazuri!!

Teh teh teh teeeeeeh!! As i predicted.
 
Hama mtaa, utaendelea kuumia Hadi lini? Kuendelea kumpenda mtu Asie na taimu na wewe ni Sawa na Kuvua nguo na kutembea Uchi mchana kweupe... Angalia Maisha Yako dada

Yaani ahame mtaa kisa mwanaume!!
 
Unashindwa kumove on coz bado umemuweka karibu huyo jamaa..Cha msingi ni kukata mawasiliano kabisa..Zen hilo la kuhusu kumsahau usijali...Niko tayari kukusaidia...Nimeshaku-PM namba yangu

ukishindwa niambie nami nimsaidie
 
Unashindwa kumove on coz bado umemuweka karibu huyo jamaa..Cha msingi ni kukata mawasiliano kabisa..Zen hilo la kuhusu kumsahau usijali...Niko tayari kukusaidia...Nimeshaku-PM namba yangu

Unaanzaje kumsahau mtu kama alishatawala akili yako sana?! Mfano kila wakati ulimfikiria,in most of ur plans he was there,kama inawezekana uweke mbinu kwa faida ya wengine pia?!


I once throught abt astral projection but hii inahusu mind,kama mtu alikuwa moyoni unamtoaje sasa huko moyoni?!
 
Yaani ahame mtaa kisa mwanaume!!

Yeah Hiyo ni moja Ya kutafuta Uhuru wa Nafsi.. Mapenzi Yanaumiza sana Hasa Pale inapotokea wewe ndio muhitaji bali ww huhitajiwi... I wish Siku moja Uje Uanguke kwenye mikono ya Aina Hiyo Kisha Upende kweli, Hapo ndipo Utakapojua mapenzi ni nini?
 
Unaanzaje kumsahau mtu kama alishatawala akili yako sana?! Mfano kila wakati ulimfikiria,in most of ur plans he was there,kama inawezekana uweke mbinu kwa faida ya wengine pia?!


I once throught abt astral projection but hii inahusu mind,kama mtu alikuwa moyoni unamtoaje sasa huko moyoni?!

Kama Mama Yako au baba yako waliokuleta Duniani wanakufa na unawasahau Utashindwa vipi kumsahau mtu mliyekutana tu.... Kuamini huwezi kumtoa mtu aliyemoyoni ni ngumu basi daiama utakuwa mtumwa wa kila kitu... Huu ni Wakati wakutafuta kilichobora kwake sio kuendelea kuumia tu
 
Kama Mama Yako au baba yako waliokuleta Duniani wanakufa na unawasahau Utashindwa vipi kumsahau mtu mliyekutana tu.... Kuamini huwezi kumtoa mtu aliyemoyoni ni ngumu basi daiama utakuwa mtumwa wa kila kitu... Huu ni Wakati wakutafkutafuta kilichobora kwake sio kuendelea kuumia tu

Ulishawahi kupenda?!
 
Nishawahi ndio na pia niliachwa lakini Niliamua kusahau na kuendelea na maisha yangu

Ni kweli life must go on,ila ktk maisha hata uwe na wangapi yupo ambae huwezi kumsahau....


My friend had a girlfriend chuoni,alimfanyia vituko sana,alimliza sana but hakuacha kumpenda iliposhindikana kbsa alimwacha,akaoa akazaa na watoto ila hadi leo hajamsahau,anakiri bdo hajapenda kama yule mwanamke.
 
Ni kweli life must go on,ila ktk maisha hata uwe na wangapi yupo ambae huwezi kumsahau....


My friend had a girlfriend chuoni,alimfanyia vituko sana,alimliza sana but hakuacha kumpenda iliposhindikana kbsa alimwacha,akaoa akazaa na watoto ila hadi leo hajamsahau,anakiri bdo hajapenda kama yule mwanamke.

Ni kweli Hilo halipingiki, Hata mimi kuna mtu ambaye nilimpenda nikapenda na Kupitiliza Na hata Alipokuja kuachana na Mimi nilijitahidi kumsahau lakini mpaka leo ingawa nina maisha yangu na nimekuwa na mahusiano Kadhaa lakini moyo Wangu Bado unaishi ndani yake
 
Yeah Hiyo ni moja Ya kutafuta Uhuru wa Nafsi.. Mapenzi Yanaumiza sana Hasa Pale inapotokea wewe ndio muhitaji bali ww huhitajiwi... I wish Siku moja Uje Uanguke kwenye mikono ya Aina Hiyo Kisha Upende kweli, Hapo ndipo Utakapojua mapenzi ni nini?

Mie napenda ninapopendwa tu, nisipopendwa nami naigiza vilevile.
 
Back
Top Bottom