je una eneo kubwa la shamba au hata eneo lolote ambalo halijapimwa lakini liwe kubwa, ili tulipime kitaalamu na kulichorea raman za viwanja (town planning drawing) ili iwe faida kwako baada ya kuuza kama shamba uje kuuza kama plots.....
kama ndio bas tuwasiliane......asante
ina maana shirika binafsi (precision air) lina uwezo kuliko shirika la serikali (ATC), huo ni ubunuasi, au kama tumeshindwa tuwape tenda wazee wa usiku "wachawi/wanga" ili waboreshe usafir wao wa "ungo" ili kuongeza ufanisi kwenye usafir wa anga> :A S 13:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.