Recent content by POULINE

  1. P

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    mleteni bahati wa bukuku hapa ajibu mashtaka
  2. P

    Viettel Telecommunication Company

    duh mbona majanga
  3. P

    Viettel Telecommunication Company

    Wapendwa; naomba niwaulize, hawa Viettel ni kampuni ya simu tu ama wanafanya nini? Halafu mishahara yao ikoje? Halafu maswali ya interview kuhusu distribution & customer care ni kama yapi? Asanteni.
  4. P

    Natafuta kazi, nina Shahada ya Procurement

    usikate tamaa wangu asubuhi yako yaja
  5. P

    Natafuta kazi, nina Shahada ya Procurement

    zanzibar najua ndo wepesi wa kutoa kazi jamani tena ya procurement jaribu haya mashirika ya serikalini utapata ndugu yangu mm mwenyewe nina hiyo shahada hiyo hiyo lakini cjapata ni muda sana
  6. P

    Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

    nywele zangu kwasasa ni ndefu lakini naona hazikui tena ziko palepale nashindwa nifanyeje je nizikate ndo zikue zaidi ama nifanyeje? MSAADA
  7. P

    Natafuta kazi ya Udereva

    utapata tu usijali nikiskia nitakushtua
  8. P

    Mwenye kuitambua namba 555

    hhahahahahahahahaha aiseeeee JF nyyie ni noma kwa ushauri shikamoooooni
  9. P

    Makosa unayoweza kuyafanya wakati wa Usaili (Interview) bila kujua

    Asante sana mimi hiyo ya kuweka pochi mapajani kumbe ndo dhambi kubwa loh asante sana nitaacha pochi nyumbani niende tu hivyo hivyo hahahhahaahha
  10. P

    Dangote Industries Matapeli

    Waziri hayupo naona kafa lakini hawajua kama kafa ama la ila kusema ukweli hayupo
  11. P

    Fuatilia, unaweza bahatika

    kirahisi tu hivyo ina maana percentage ya kukosa ni kubwa sana kama 98 hivi kupata 12 tumeshachoka jamani
  12. P

    Tangazo la Kazi

    mabigi kweli mhudumu pia
  13. P

    Namna ya kuweka salary history- msaada

    hapana unaiweka kwenye cover letter yako kama umeambiwa utume cover letter kama hamna cover letter tuma kwenye karatasi yake pembeni tu usijumlishe kwenye cv
  14. P

    House girl needed urgently

    hahahahaahha you are too funny forum clients hahahhah
Back
Top Bottom