Fikeni Takukuru...afu fuatilieni mirejesho...tutaishia kulalamika kila siku...wengine watakwambia hata takukuru shida...
chukua hatua..
Hii ndio Tanzania mdogo wangu kamaliza Nursing katuma barua wizarani kuomba kazi amepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa wizara eti atume laki tatu na nusu apangiwe kazi na atapangwa anapotaka
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Habari wanajamii wiki iliyopita nili apply kazi za dangote industries zilizotangazwa kwenye gazeti la dailly news.leo nimetumiwa sms hii
nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.
Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau
Ukiona hivyo ujue jamaa wako serious na utapeli huo,tulizoea kwenye job portals sasa wanajua magazeti mnayaamini so huko huko.Hadi magazetin wanaweka matapeli hatari sana sijui wapi tutaamini hakuna utapeli
hichi kitu nilikihisi tangu zamani lakini nilishindwa kusema sababu sikuwa na uhakika ila kwa sasa inaweza kuwa kweli...
email ya kuaply kazi za dangote ilikua recruittanzania@dangoteprojects.com ikimaanisha website yao wanatumia www.dangoteprojects.com ambayo ipo lakini haina habari yoyote kuhusu kampuni sio contacts wala services ni template tu na ni website ya ajabu.
ukigoogle official website ya dangote ni www.dangote.com ambayo ipo na inakila kitu kuhusu project za dangote!!!!
nachoona ni kuwa waliotuma application kupitia email iliowekwa kwenye gazeti wapo kwenye hatua nzuri tu ya kutapeliwa.... na cha kujiuliza inakuaje gazeti la serikali likatangaza kazi za kitapeli bila kuprove validity yao!!!!!
am stand to be corrected!!!!!
Sina hamu nishalizwa
Mimi nppf tena kupitia namba Y mtu naye mjua elfu 50 yaanii cjui hali ikoje
ikoje mimi ni mbishi ila nilipatikana inaonekana hlo chama ni kubwa sna hatarii job hunters tuwe makini
Habari wanajamii wiki iliyopita nili apply kazi za dangote industries zilizotangazwa kwenye gazeti la dailly news.leo nimetumiwa sms hii
nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.
Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau
Kichwa cha habari na maelezo yako hayana uhusiano? Dangote Industries matapeli au kuna watu ndani ya Dangote ni matapeli? Check youe language dogo, itakutia matatani.
So hapo haujaelewa nini brza ama unataka kuleta ligi na ujuaji usio na maana.pili me siyo dogo be careful
Hey easy! Umeituhumu Dangote Industries kuwa ni matapeli wakati aliyetaka kukutapeli ni mtu mmoja, tena huna hata uhakika kama ni muhusika wa Dangote Industries. Kuwa mwangalifu, tuhuma kama hizi zinawatia watu matatani..
Brza umekuja na presha sana upo dangote nini.kazi zilitangazwa gazetini dailly news la tarehe 17february kama dangote industries ulitaka niseme nini?