Dangote Industries Matapeli

Dangote Industries Matapeli

Hadi magazetin wanaweka matapeli hatari sana sijui wapi tutaamini hakuna utapeli
 
Fikeni Takukuru...afu fuatilieni mirejesho...tutaishia kulalamika kila siku...wengine watakwambia hata takukuru shida...
chukua hatua..

takukuru ndo watafanya nini sasa? mkuu nawe huwa unafikiria dah!
 
hizi ni stail za kitambo sana kuibiwa kwa njia hii ni ufinyu wa mawazo!!!!
 
Hii ndio Tanzania mdogo wangu kamaliza Nursing katuma barua wizarani kuomba kazi amepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mfanyakazi wa wizara eti atume laki tatu na nusu apangiwe kazi na atapangwa anapotaka

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

mwambie atume hiyo laki 3 apangiwe kazi haraka
 
Hivi visa vimezidi. Bahati mbaya sana jeshi la police wako kimya.
 
Waziri hayupo naona kafa lakini hawajua kama kafa ama la ila kusema ukweli hayupo
 
Habari wanajamii wiki iliyopita nili apply kazi za dangote industries zilizotangazwa kwenye gazeti la dailly news.leo nimetumiwa sms hii

nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.

Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau

We umeibiwa tu, wala Dangote haihusiki na wizi huo. Mbona utapeli huu wametapeliwa hadi wakurugenzi, unaambiwa tuko kikaoni,jina lako limependekezwa kwenye nafasi fulani, tuma hela. Ukituma umeliwa wenzako maisha yanasonga! be careful .
 
Hadi magazetin wanaweka matapeli hatari sana sijui wapi tutaamini hakuna utapeli
Ukiona hivyo ujue jamaa wako serious na utapeli huo,tulizoea kwenye job portals sasa wanajua magazeti mnayaamini so huko huko.
 
hichi kitu nilikihisi tangu zamani lakini nilishindwa kusema sababu sikuwa na uhakika ila kwa sasa inaweza kuwa kweli...

email ya kuaply kazi za dangote ilikua recruittanzania@dangoteprojects.com ikimaanisha website yao wanatumia www.dangoteprojects.com ambayo ipo lakini haina habari yoyote kuhusu kampuni sio contacts wala services ni template tu na ni website ya ajabu.

ukigoogle official website ya dangote ni www.dangote.com ambayo ipo na inakila kitu kuhusu project za dangote!!!!

nachoona ni kuwa waliotuma application kupitia email iliowekwa kwenye gazeti wapo kwenye hatua nzuri tu ya kutapeliwa.... na cha kujiuliza inakuaje gazeti la serikali likatangaza kazi za kitapeli bila kuprove validity yao!!!!!

am stand to be corrected
!!!!!

= I stand to be corrected.
 
Sina hamu nishalizwa
Mimi nppf tena kupitia namba Y mtu naye mjua elfu 50 yaanii cjui hali ikoje
ikoje mimi ni mbishi ila nilipatikana inaonekana hlo chama ni kubwa sna hatarii job hunters tuwe makini
 
Jameni tutaelimishana mpaka lini,ukiona mtu anakuharakisha ,anakupromise vitu vizuri ambavyo siyo realistic,anataka usign documents haraka bila hata kukupa muda wakusoma,anaweka pesa mbele kwanza kabla ya kupata hicho anachotaka kukupa huyu ni taperi.Mengine mnatapeliwa kwa sababu hamtaki kumsikiliza Mungu,kama Mungu wako anaruhusu utoe rushwa endelea,ukitapeliwa kaa huko huko.tapeli atahakikisha hakupi muda wa kufikiria ,...tuma haraka ..leo leo jamaa wako wanapitia CV zenu.
 
Habari wanajamii wiki iliyopita nili apply kazi za dangote industries zilizotangazwa kwenye gazeti la dailly news.leo nimetumiwa sms hii

nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.

Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau

Kichwa cha habari na maelezo yako hayana uhusiano? Dangote Industries matapeli au kuna watu ndani ya Dangote ni matapeli? Check youe language dogo, itakutia matatani.
 
Kichwa cha habari na maelezo yako hayana uhusiano? Dangote Industries matapeli au kuna watu ndani ya Dangote ni matapeli? Check youe language dogo, itakutia matatani.

So hapo haujaelewa nini brza ama unataka kuleta ligi na ujuaji usio na maana.pili me siyo dogo be careful
 
So hapo haujaelewa nini brza ama unataka kuleta ligi na ujuaji usio na maana.pili me siyo dogo be careful

Hey easy! Umeituhumu Dangote Industries kuwa ni matapeli wakati aliyetaka kukutapeli ni mtu mmoja, tena huna hata uhakika kama ni muhusika wa Dangote Industries. Kuwa mwangalifu, tuhuma kama hizi zinawatia watu matatani..
 
Hey easy! Umeituhumu Dangote Industries kuwa ni matapeli wakati aliyetaka kukutapeli ni mtu mmoja, tena huna hata uhakika kama ni muhusika wa Dangote Industries. Kuwa mwangalifu, tuhuma kama hizi zinawatia watu matatani..

Brza umekuja na presha sana upo dangote nini.kazi zilitangazwa gazetini dailly news la tarehe 17february kama dangote industries ulitaka niseme nini?
 
Brza umekuja na presha sana upo dangote nini.kazi zilitangazwa gazetini dailly news la tarehe 17february kama dangote industries ulitaka niseme nini?

Hakuna presha hapo, ulitakiwa uwe unajua saa hizi kuwa si kila tangazo unaloliona ni genuine! Ndio maana nilikuita 'dogo' (sorry) mwanzo kwa sababu niliona umetoa tuhuma bila kutafiti. Hata kama kweli tangazo ni la Dangote, ina maana Dangote kama Kampuni kwa akili yako, watakuwa wamemtuma huyo aliyetaka kukutapeli?
 
Back
Top Bottom