Recent content by Potassium

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wadau naomba kujua hivi saili za utumishi kwa kada zinazofanya practical interview na usaili wa presentation kwa matokeo ya practical interview yanajumlishwa pia kwenye oral interview?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ume update ndani ya siku 7 ? au siku zimevuka tangu watoe majina ya usaili
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Badili anuani ndani ya siku 7 baada ya tangazo la usaili kutoka
  4. P

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA chaumwa

    Polepole alisema wale ni projects
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kundi la 'Wakatoliki' latinga Ubalozi wa Vatican Tanzania kumshtaki Askofu Ruwai'chi na Fr. Kitima

    Hao machawa 100 malofa wa utawala haramu wamefanikiwa kuongea na ubalozi wa Vatican !?
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kundi la 'Wakatoliki' latinga Ubalozi wa Vatican Tanzania kumshtaki Askofu Ruwai'chi na Fr. Kitima

    Wanataka huruma ya kanisa la haki . Pamoja na kupata ushindi haramu wa 98% , kweli polepole alisema mnaweza kujitangaza mmeshinda ila ukapata tabu sana kuwaongoza watu wasiyo kupenda . pamoja na kuteka na kuua raia kila siku lakini bado hawana amani kwa kutokutenda haki ya uchaguzi.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Marekani kuishambulia Venezuela baada Maduro kukutana na maafisa kutoka China ni Ujumbe kuwa sio China haiwezi kumlinda mtu dhidi ya Marekani

    Hiyo ndiyo dawa ya marais wasiotenda haki kwa wananchi na wezi wa kupindua matokeo kura za wananchi wao wanaoendekeza udikiteta kuteka na kuua raia wake yenyewe na ufisadi wa kujinufaisha wao na familia zao huo ndiyo mwarobaini wao
  8. P

    JamiiForums Tanzania Wahuni walimpachika 'Rais Urais ', wamemficha, na wao ndio wanaendesha Nchi !!Huu Utekaji na Mauaji ya Raia mmoja Mmoja yanayoendelea umekithiri

    Serikali ya bei ya jioni haikuchaguliwa na wananchi ni serikali haramu , pamoja na kupewa ushindi na tume imejificha ndani haitaki kuonanana na wapiga kura wake milioni 31 .
  9. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tusijifiche kwenye kichaka cha HAKI bila WAJIBU

    Kwaiyo watu wanapodai haki zao za uchaguzi wa demokrasia kuliko ilivyo sasa mmepitishwa na tume kwa msaada wa jeshi la polisi , haki ya kuishi (utekaji na mauaji nchini bila kufuata utaratibu wa mahakama), haki ya raslimali za Taifa kwa wote kuliko ilivyo sasa kikundi cha watu wachache...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Je, wajua tafsiri ya MIKONO nyuma ya Mzee Warioba akiwa amepiga picha Rais wa nchi?

    Huyo mwenzake kila akipiga picha wakiwa watu wawili mkono mmoja wa kushoto lazima akunje kama anakunja ngumi ila mkono wa kulia wenyewe anauachia kawaida ni nini hicho
  11. P

    JamiiForums Tanzania Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

    Kiongozi kwa uchaguzi upi , hao waliopatikana kwa msaada wa tume na dola unatawala watu ambao hawakukuchagua na wewe inajiita kiongozi wao kwa uhalali upi .
  12. P

    JamiiForums Tanzania Kila hatua kwa CHADEMA ni hatua ya kusonga mbele

    Ni hatua pia
  13. P

    JamiiForums Tanzania Serikali kuendelea kumlaumu Mange kupitia Waziri Mkuu ni kulidhalilisha Taifa

    Hawakuchaguliwa kwa kura halali hao hawana uhalali wowote kutoka kwa wananchi bali wanatumia mbeleko ya dola ni mwendo wa mipasho
  14. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

    Na yule jamaa wa Arusha vipi naye yumo ? hasikiki popote au ndiyo maana akasema jeshi lisichafuliwe na siasa kumbe kuna watu wake wamedakwa kambini huko
Back
Top Bottom