kwaiyo nani kasababisha hao vijana kibao kutokuwa na kazi kwaiyo kwenu ni sifa vijana kutokuwa na kazi, mpaka pale wengine wakigoma ndiyo mnawapa kazi .
Kuna huyo na kuna Tlaatlaah anaetumia emoj ya monkey na Tlaatlaah anaetumia emoji ya kichwa cha mtu mzungu hao ni watu wawili tofauti na hizo ndiyo signature zao za kupokelea posho kama utambuzi kwa boss wao
Bora hao USA anaenyonya raslimali za nchi nyingine kwa manufaa ya wananchi wake ,ila huku kwetu wao wapo tayari kuua wananchi wao ili watu wachache wabaki kufaidika peke yao siyo kufaidika kama nchi .
Wadau naomba kujua hivi saili za utumishi kwa kada zinazofanya practical interview na usaili wa presentation kwa matokeo ya practical interview yanajumlishwa pia kwenye oral interview?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.