Wadau naomba kujua hivi saili za utumishi kwa kada zinazofanya practical interview na usaili wa presentation kwa matokeo ya practical interview yanajumlishwa pia kwenye oral interview?
Wanataka huruma ya kanisa la haki . Pamoja na kupata ushindi haramu wa 98% , kweli polepole alisema mnaweza kujitangaza mmeshinda ila ukapata tabu sana kuwaongoza watu wasiyo kupenda . pamoja na kuteka na kuua raia kila siku lakini bado hawana amani kwa kutokutenda haki ya uchaguzi.
Hiyo ndiyo dawa ya marais wasiotenda haki kwa wananchi na wezi wa kupindua matokeo kura za wananchi wao wanaoendekeza udikiteta kuteka na kuua raia wake yenyewe na ufisadi wa kujinufaisha wao na familia zao huo ndiyo mwarobaini wao
Serikali ya bei ya jioni haikuchaguliwa na wananchi ni serikali haramu , pamoja na kupewa ushindi na tume imejificha ndani haitaki kuonanana na wapiga kura wake milioni 31 .
Kwaiyo watu wanapodai haki zao za uchaguzi wa demokrasia kuliko ilivyo sasa mmepitishwa na tume kwa msaada wa jeshi la polisi , haki ya kuishi (utekaji na mauaji nchini bila kufuata utaratibu wa mahakama), haki ya raslimali za Taifa kwa wote kuliko ilivyo sasa kikundi cha watu wachache...
Huyo mwenzake kila akipiga picha wakiwa watu wawili mkono mmoja wa kushoto lazima akunje kama anakunja ngumi ila mkono wa kulia wenyewe anauachia kawaida ni nini hicho
Kiongozi kwa uchaguzi upi , hao waliopatikana kwa msaada wa tume na dola unatawala watu ambao hawakukuchagua na wewe inajiita kiongozi wao kwa uhalali upi .
Na yule jamaa wa Arusha vipi naye yumo ? hasikiki popote au ndiyo maana akasema jeshi lisichafuliwe na siasa kumbe kuna watu wake wamedakwa kambini huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.