Recent content by Potassium

  1. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kwaiyo katika kipindi cha miaka 3 kila mwaka wakachukua mtu mmoja mmoja baada ya miaka 3 kuisha wana expire watu 97 , wanatangaza tena kazi nafasi mtu mmoja anatakiwa watu wanatuma maombi wahitimu wapya pamoja na wale wahitimu wa zamani walio expire 97 wanachukua tena mtu mmoja 100 wanabakia...
  2. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kama saili yako inahusisha usaili wa practical, matokeo ya mwisho wanachukua matokeo ya oral jumlisha matokeo ya practical wanagawa kwa 2 kupata average kwaiyo kama ulifanya vizuri practical inaweza kukubeba .
  3. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hii DATABANK lakini wenye ajira za kudonoa donoa nafasi moja moja wengi mwaka utakuwa unapinduka wanakutana na your Databank has expired unarudi tena kule kule ulikotoka .
  4. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Siyo kweli hawapangi kwa serial no ,ila ukitaka kumjua hapo itabidi kuwahusisha na watu wa ajira portal kumjua tofauti na hapo huwezi kumfahamu .
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea - Agosti 24, 2026

    Kweli mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe , historia yake inajieleza jamaa mtu wa haki sana
  6. P

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Na mimi nikusaidie kujiuliza hivi kwa maelezo ya huyo chalii anasema waliteswa na askari walio kuwa lindo la geti la kuingia Ngorongoro kwa akili ya haraka haraka ni jangiri gani anaweza kupita getini tena wakiwa na pikipiki na muda wote hapo getini kuna askari , tufanye basi kweli ni majangiri...
  7. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tafuta Affidavit
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

    kwaiyo nani kasababisha hao vijana kibao kutokuwa na kazi kwaiyo kwenu ni sifa vijana kutokuwa na kazi, mpaka pale wengine wakigoma ndiyo mnawapa kazi .
  9. P

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala acha kutumika na Ridhiwan Kikwete maji yamekorogeka

    Kwaiyo ni zamu tena ya muisramu siyo mkiristo
  10. P

    JamiiForums Tanzania Heche hataki Lissu atoke, anachekelea umaarufu wa kufa kufaana

    haya muachieni lissu ili mmukomoe heche asiendelee kuchekelea
  11. P

    JamiiForums Tanzania MBINU MBADALA YA KUSAFISHA JF: Tuungane kuwazika "Cyber Troops" kwa kutumia kitufe cha "Ignore"

    Kuna huyo na kuna Tlaatlaah anaetumia emoj ya monkey na Tlaatlaah anaetumia emoji ya kichwa cha mtu mzungu hao ni watu wawili tofauti na hizo ndiyo signature zao za kupokelea posho kama utambuzi kwa boss wao
  12. P

    JamiiForums Tanzania Serikali bado haijaelewa maana ya maandamano siku hizi. Serikali itatue kero za waandamanaji

    Bora hao USA anaenyonya raslimali za nchi nyingine kwa manufaa ya wananchi wake ,ila huku kwetu wao wapo tayari kuua wananchi wao ili watu wachache wabaki kufaidika peke yao siyo kufaidika kama nchi .
  13. P

    JamiiForums Tanzania Imefikia hatua Maria Sarungi na Mange Kimambi na wanaharakati wanaweza kusimamisha shughuli za kiuchumi katika majiji Makubwa. Wamebakiza nini?

    Au tunaweza kusema kwa lugha nyingine serikali inatunishiana msuli dhidi ya wananchi wake wanaodai katiba mpya .
  14. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Thanks mkuu
  15. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema , aya tunaomba mwongozo wa hilo swali namna ulivyojibu tuliobaki tijifunze njia ya kupita
Back
Top Bottom