Recent content by Potassium

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tafuta Affidavit
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

    kwaiyo nani kasababisha hao vijana kibao kutokuwa na kazi kwaiyo kwenu ni sifa vijana kutokuwa na kazi, mpaka pale wengine wakigoma ndiyo mnawapa kazi .
  3. P

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala acha kutumika na Ridhiwan Kikwete maji yamekorogeka

    Kwaiyo ni zamu tena ya muisramu siyo mkiristo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Heche hataki Lissu atoke, anachekelea umaarufu wa kufa kufaana

    haya muachieni lissu ili mmukomoe heche asiendelee kuchekelea
  5. P

    JamiiForums Tanzania MBINU MBADALA YA KUSAFISHA JF: Tuungane kuwazika "Cyber Troops" kwa kutumia kitufe cha "Ignore"

    Kuna huyo na kuna Tlaatlaah anaetumia emoj ya monkey na Tlaatlaah anaetumia emoji ya kichwa cha mtu mzungu hao ni watu wawili tofauti na hizo ndiyo signature zao za kupokelea posho kama utambuzi kwa boss wao
  6. P

    JamiiForums Tanzania Serikali bado haijaelewa maana ya maandamano siku hizi. Serikali itatue kero za waandamanaji

    Bora hao USA anaenyonya raslimali za nchi nyingine kwa manufaa ya wananchi wake ,ila huku kwetu wao wapo tayari kuua wananchi wao ili watu wachache wabaki kufaidika peke yao siyo kufaidika kama nchi .
  7. P

    JamiiForums Tanzania Imefikia hatua Maria Sarungi na Mange Kimambi na wanaharakati wanaweza kusimamisha shughuli za kiuchumi katika majiji Makubwa. Wamebakiza nini?

    Au tunaweza kusema kwa lugha nyingine serikali inatunishiana msuli dhidi ya wananchi wake wanaodai katiba mpya .
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Thanks mkuu
  9. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema , aya tunaomba mwongozo wa hilo swali namna ulivyojibu tuliobaki tijifunze njia ya kupita
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    tupeni mwongozo wakuu na hilo la challenges namna sahihi ya kujibu
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    mfano unatakiwa kulijibu vipi tupe experience mkuu okoa jahazi
  12. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wadau naomba kujua hivi saili za utumishi kwa kada zinazofanya practical interview na usaili wa presentation kwa matokeo ya practical interview yanajumlishwa pia kwenye oral interview?
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ume update ndani ya siku 7 ? au siku zimevuka tangu watoe majina ya usaili
  14. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Badili anuani ndani ya siku 7 baada ya tangazo la usaili kutoka
  15. P

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA chaumwa

    Polepole alisema wale ni projects
Back
Top Bottom