Binafsi nimesoma maswala ya aviation ndege huwez kufungua mlango ukiwa nje.
Afu pia kasia ambalo ni jiti haliwezi kuvunja mlango wa ndege ukafunguka swali ni je kama majaliwa alifungua mlango wa ndege je huyo muhudumu ameiongopea bodi ya uchunguzi kwamba yey ndo alie fungua mlango na kuuzuia...
Saivi kila sehemu kuna vyanzo vya usalama wa taifa so ukifanya baya mwenzako anakuripoti na mnakamatwa wote mwisho wa picha yeye anaachiwa huru nyie mnahukumiwa..msicheze na vyombo vya dola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.