Huyu Diamond kuhusu issue za Africa naona imeshakuwa kawaida ninacho subiri ukurasa wa yeye na wanyamwezi ufunguke kwakuwa ameshamaliza Africa ahsante Chibu
Hizi ishu Nay asiongee sana mwisho wa siku sisi ndiyo majaji nani kati ya hao ana influence watu habari za biashara sisi hazituhusu kama fans waki Tanzania tunapima nani anakonga nyoyo na matokeo ya ujaji wetu sisi kama fans utaona mmoja anaweza kujaza kiwanja mwingine hawezi ni ishu tu...
Nilishawahi kuulizwa kati ya Christian Bella na Koffee Olomide nani mwenye sauti nzuri nikasema Bella nikaulizwa tena kati ya hao nani bora zaidi ya mwenzake nikasema Koffee kwa kuanzia hapo kuna kitu nilijifunza kuwa kweli muziki ni package haiitaji tu kuwa na sauti kama Bella kumbe unatakiwa...
Kusema huyu mfanya biashara na huyu ni msanii vichekesho mwisho wa siku tunapima mafanikio ya hiyo biashara yako hata hao wanamziki wakubwa kama Koffee Olomide ni mfanya biashara ktk muziki huko unyamwezini ndiyo kabisaaaaaaa wacha Diamond apige hiyo biashara huku akiwafungulia njia hao wanamziki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.