hayo ni mawazo hasi kaka mtto kwa na mashine ndogo au kubwa ni maumbile ya mtu tu kaka mimi wangu wa kwanza nimemtairi ana siku 23 now ana miaka 5 na asubuhi akiamka kitu kimekuwa, mdogo nilimtairi ana siku 17 now ana miaka 3 kasoro na yuko sawa..
kuna mijitu ilitahirwa ishabalehe na wana...
lakini wote wabaya ila mbaya zaidi ni mwanaume mimi nadhani kama mke na mume mmeshindwana ni bora kuachana kuliko kutafuta matatizo na mpaka mkewe kufikia kufanya haya pingine amefanyiwa maudhi mengi mno au hata mchepuko ulikuwa ukitamba. na nyie wanaume mkiwa nyumba ndogo usimdiscuss mkeo mara...
lara 1 dAily nakupenda mum asante kwa kukumbusha mpenzi nina bro wangu huyo ni mnoko hatari yeye ni mhasibu wenzake walipanga wapige yeye akagoma wenzie wakazichota kiliposanuka wote wakafukuzwa kazi akakosa kotekote.
nimeipenda lara asante kwa kutukumbusha kuna watu hawajui kuishi na watu kabisaa.. kuna ndugu yangu mnoko alikuwa muhasibu kwenye kampuni flan wenzake wakapanga wapige hela kaka angu mie akasema hataki wenzie wakazipiga kiliposanuka wote wakafukuzwa yeye kakosa mwana na maji ya moto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.