kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 689
Natumaini mko salama wana jukwaa.
Jamani katika kusherehekea sikukuu ya pasaka jana,nilikua kiwanja flani tunapga stori na washkaji na kamvua kwa mbali. Sasa akaja binti mmoja karibu na meza tuliokua akakaa muda kidogo kisha akahama meza,akaenda kukaa kaunta
Nyuma akaacha mazungumzo washkaji wakimsifia na kusema ni mzuri sana usoni,ana kidevu cha yai,yani kidevu cha mviringo kama yai. Wakasema wasichana wote wenye videvu vya yai ni wazuri sana mfano wema sepetu,,rihana,videvu vilivyochongoka.
Mimi hili jambo la kidevu cha yai ni mara yangu ya kwanza kulisikia,wanajukwaa hili jambo ni la kweli?
Jamani katika kusherehekea sikukuu ya pasaka jana,nilikua kiwanja flani tunapga stori na washkaji na kamvua kwa mbali. Sasa akaja binti mmoja karibu na meza tuliokua akakaa muda kidogo kisha akahama meza,akaenda kukaa kaunta
Nyuma akaacha mazungumzo washkaji wakimsifia na kusema ni mzuri sana usoni,ana kidevu cha yai,yani kidevu cha mviringo kama yai. Wakasema wasichana wote wenye videvu vya yai ni wazuri sana mfano wema sepetu,,rihana,videvu vilivyochongoka.
Mimi hili jambo la kidevu cha yai ni mara yangu ya kwanza kulisikia,wanajukwaa hili jambo ni la kweli?