Wanawake na umbea ni tishio makazini

Wanawake na umbea ni tishio makazini

Ila wengine kwenye office zetu wanawake wanasubiri kwa wanaume kwa umbeya na fitna.
 
wanajiendekeza tu wengine utaona hadi wanaitana njoo nikupe umbea shoga aaaargh
 
miss chagga kwenye media kuna umbea mnooo tena media zote sio za newspaper wala redio wala tv ni majungu hatari

ukikutana na katibu hapa umbea lazima uwe documented ... ukibisha imekula kwako msuto unao
 
Back
Top Bottom