TCRA imekuwa kama kikundi cha UVCCM. Inabidi ifumuliwe na kusukwa upya. Hatuwezi kuwa regulated na watu walio empty kichwani. TEHAMA ni kitu sensitive sana kwa karne hii.
Utampelekea nani huo utopolo? Kama majitu mpaka leo yanaamini kuzima Youtube eti kisa mtu anawasema. Sasa videos zinarekodiwa na zitakuwa available hata baada ya yeye kumaliza kuongea. Yani hawa watu finyu sana. Hawawazi mbali kabisa. Na tena ukiblock hivi ndo unawafanya na wengine ambao hata...
Hawa watu ni shida sana. Shida kabisa. Sasa unajiuliza rais anampostia nani huko wakati wananchi wako blocked? Kutumia vpn haitakiwi kuwa a way of life. Sababu za kufungia mitandao wanazotoaga huwa ni upuuzi mtupu. Sasa kama leo mimi wamenikosesha darasa, wamenipotezea muda na inabidi nilirudie...
Wakuu habari za muda huu?
Naandika hapa nikiwa nimefura kupitiliza. Imetosha sasa, hii serikali inabidi ifike mahali iheshimu raia.
Haiwezekani watu wawe wanajizimia zimia tu mitandao wanapojisikia.
Watu tumejiajiri huko YouTube, na leo jioni hii nilikuwa na darasa (huwa natrain watu mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.