Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,659
- 3,856
Hili jukwaa sio kama blog ya Manara au App ya Simba. Kila kitu kimesajiliwa nje ya nchi mkuu. Tutaendelea kupeta na JF yetu.Mmh kumbe nikajua ndo tumeisha😀
Hili jukwaa sio kama blog ya Manara au App ya Simba. Kila kitu kimesajiliwa nje ya nchi mkuu. Tutaendelea kupeta na JF yetu.Mmh kumbe nikajua ndo tumeisha😀
Mshamba mmoja wewe.Unajua wakati hii taarifa inatoka VPN yangu huwa connected kwa sababu ya matumizi ya X (twitter)
Nikaona nateleza tu JF sikuelewa
Nikajaribu kuizima VPN na kweli JF haikufunguka
Kwa sasa nikiwa Tanzania VPN ni ON masaa 24/7 kwa ajili ya X na JF
Wageni ndio wanaogopa ila ubuyu utashuka kama kawa.Tulishazoea
VPN inasaidia nini wakati uhuru unaendelea kukandamizwa, huu ni ujinga na ni faraja za kijinga sana.Mambo ni mengi mda ni mchache twende kazi
Tangu kipindi cha jiwe sijawahi kosa Vpn mimi tena nalipia kabisaa yaaniUnajua wakati hii taarifa inatoka VPN yangu huwa connected muda mwingi kwa sababu ya matumizi ya X (twitter)
Nikaona nateleza tu JF sikuelewa
Nikajaribu kuizima VPN na kweli JF haikufunguka
Kwa sasa nikiwa Tanzania VPN ni ON masaa 24/7 kwa ajili ya X na JF
Ondoa picha ya kikuma Kama hii
Ikiwa ON inasaidia nini? inaleta magruzi gani hii VPN ikiwa On? huu ukeybord worrior ndio some time unawaleta shida wakina Mello.Unajua wakati hii taarifa inatoka VPN yangu huwa connected muda mwingi kwa sababu ya matumizi ya X (twitter)
Nikaona nateleza tu JF sikuelewa
Nikajaribu kuizima VPN na kweli JF haikufunguka
Kwa sasa nikiwa Tanzania VPN ni ON masaa 24/7 kwa ajili ya X na JF
Hata mmMimi kwangu bado naipata
Upo kijiji gani mkuuMimi kwangu bado naipata
Mpaka Lissu aachiliwe ndio nitatoa ubuyu, otherwise bila bila.Wageni ndio wanaogopa ila ubuyu utashuka kama kawa.
Huo ubuyu utaleta mageuzi gani? tupunguze U keybord worriorWageni ndio wanaogopa ila ubuyu utashuka kama kawa.
Ya mama yako au ni mama yako ni ommy dimpoziOndoa picha ya kikuma Kama hii
Inasaidia nini ukimtukana? italeta changes? Keybord worrior katika ubora wetuHuyu Jabiri wa TCRA ni mjinga mkubwa sana, mata.core yake
Ni kweli humu JF huwa nachukiwa na single moms, non virgins na feminists wanasema nawachukia wanawake au "misogynist"Mshamba mmoja wewe.
Sikupendi wewe binadamu, na unalijua hilo
Mbopo😂😂Upo kijiji gani mkuu