Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Mkifungia na VPN nitawaona mna akili ila kwenye hili jukwaa letu tunaweza hata kichangia mamiliono likahamia Kenya ili tukaseme vizur, acha wabaki na zama zao za mawe za kale.
Ujinga huu huu ndio unazaa watukanaji wakubwa kama yule kichaa wa tiktok kule anayemvua nguo Rais kitu ambacho jakijawahi kuwepo tena matusi ya nguoni mpaka watoto wanayasikia kwa Rais wao ni ujinga wa watu wenye mamlaka
 
Umefika lini huko Kaka? Wewe baki tu hapa watunywe supu wote
Haaahaa 😂 😁 Jf kwa Sasa ukitaka kuingia bila VPN inakataa kwa Sasa nimewasha VPN kaka mitaa ya Netherlands 😊😊

Kaka hata kama hatumpendii kimoyomoyo ila tukiongea Huku nje niiiii bashashaaa
#october TUNATIKII ✅
 
Haaahaa 😂 😁 Jf kwa Sasa ukitaka kuingia bila VPN inakataa kwa Sasa nimewasha VPN kaka mitaa ya Netherlands 😊😊

Kaka hata kama hatumpendii kimoyomoyo ila tukiongea Huku nje niiiii bashashaaa
#october TUNATIKII ✅
Mimi Kaka October nitatiki sitaki makuu na watu bwana .
Konyagi zenyewe zimeadimika nisije potezwa alafu ziiapatikana kwa wingi bure
 
Back
Top Bottom