Boss km hutajali tupia na leo mzigo tu boost mitaji maana watu tulikuwa tumekata tamaa juu ya betting wakati huohuo Mambo mengine ya kiuchumi yamesimama, naamini betting tukiwa na nidhamu inaweza kuleta matumaini
Manzile,
Mkuu pole Sana kwa hayo ya mzazi wetu. Nikuombe tu huyo Ni mzazi wako hata Kama atakuwa amekukera na kukuumiza kwa kiasi gani. Kumbuka pia kila mafanikio Yana changamoto zake huenda hili nijaribu kwako ili kukufanya uwe imara zaidi.
Achana na kumuita mpumbavu huyo mzazi tafuta...
Haya maisha mkuu wakati mwingine nikuvumilia na kusikiliza maana kila uamuzi una ubaya na uzuri wake, wakati mwingine inabidi uangalie upande wenye maslahi mengi kuliko hasara kwa manufaa ya wasiohusika na mgogoro wenu.
Ahsante kwa ushauri off course watoto ndo kigezo kikubwa japo inauma Sana, nimesema na kumwambia pia kuwa ikionekana dalili yoyote ya mambo haya nitachukulia nimefiwa mke so nitawalea wanangu km nimefiwa mke
Mimi ndo linanihusu na usifikirie Ni mwepesi kiasi hicho wakati mwingine si vizuri Sana ku expose ushahidi wa yote niliyoyapata na kupeleleza ktk Jambo hili mpk nokaamua nilivyoamua mkuu so usikimbilie kutukana tu mkubwa
Nimefuatilia michango yote ya waliochangia. Niseme tu kuwa kulaumu kupeleka kwao si sahihi maana huwezi kujua kwanini nilifanya hivyo vibaya Ni km ningekuwa sihudumii au kwenda kumuona Mara kwa mara.
Jana kaja na dadake amekiri hizo sms Ni mbaya Sana na alizisahau kwa bahati mbaya. Japo kasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.