Mdada mzuri, tabia za kuku

Mdada mzuri, tabia za kuku

ndio mkuu, ila sio siri dogo yuko smart, tatizo kugawa ovyo ovyo
Kaka hawa wanawake wazuri huwa wanakuwa wanamatatizo sana nakumbuka nilikuwa na demu fulani ana rafiki yake mmoja mzuri sijawai kukutana na mashine kali sasa Cha ajabu uyo demu mkali aliolewa harusi ilikuwa ya kifahari sana lakini huwezi amini wamefunga ndoa leo kesho ndoa imevunjika yani sijajua hawa wadada warembo huwa wanashida gani, tuwe makini waoaji
 
Story za mademu kitambo sana,umri kweli unakimbia.niwatakie milo myema na uyo mshkaji wako
 
Kaka hawa wanawake wazuri huwa wanakuwa wanamatatizo sana nakumbuka nilikuwa na demu fulani ana rafiki yake mmoja mzuri sijawai kukutana na mashine kali sasa Cha ajabu uyo demu mkali aliolewa harusi ilikuwa ya kifahari sana lakini huwezi amini wamefunga ndoa leo kesho ndoa imevunjika yani sijajua hawa wadada warembo huwa wanashida gani, tuwe makini waoaji


Sent from my SM-N960U1 using JamiiForums mobile app
 
Nina demu nikiri ni demu wangu, ila jana nmemuacha rasmi japo yeye hajajua yaani atakula mkausho hajawai kuona.

Ni mzuri sana, ana shape kubwa, ni mweupe, yaani shape lipo haswa, ila niliwahi kumfuma anachati na wanaume wanne na wote wanadai ni wapenzi wake, niliwahi kumuacha nikamtukana vibaya mno, ila alilia rafiki yake akaja kuomba msamaha, na demu akakiri kubadilika

Sasa juzi, kuna mwamba huwa ananiomba no. za watoto wakali, nikamtumia namba za mademu zangu wote, maana najua stamuoa hata mmoja wao, bora wengne wamekaza kuna mmoja kawa mgumu kabisa, ila sasa huyu leo anaenda kuliwa mida ya saa 4, napicha nitatumiwa , nimemwambia jamaa ahakikishe anamla asimuache.

Wadada badilikeni jamani, demu yuko vizuri, sio kanishinda ila naogopa kufa wakuu, atakayehitaji no. yake nampa inbox ila mpaka jamaa amalize mission yake msije kumuaribia, atakaehitaji anicheki jioni.
Kizuri kula na mwenzako
 
humu ndani unaweza kutuma meseji ukitegemea itapokelewa kwa shangwe ila matokeo yake utajibiwa hd ujione uko uchi
 
Nina demu nikiri ni demu wangu, ila jana nmemuacha rasmi japo yeye hajajua yaani atakula mkausho hajawai kuona.

Ni mzuri sana, ana shape kubwa, ni mweupe, yaani shape lipo haswa, ila niliwahi kumfuma anachati na wanaume wanne na wote wanadai ni wapenzi wake, niliwahi kumuacha nikamtukana vibaya mno, ila alilia rafiki yake akaja kuomba msamaha, na demu akakiri kubadilika

Sasa juzi, kuna mwamba huwa ananiomba no. za watoto wakali, nikamtumia namba za mademu zangu wote, maana najua stamuoa hata mmoja wao, bora wengne wamekaza kuna mmoja kawa mgumu kabisa, ila sasa huyu leo anaenda kuliwa mida ya saa 4, napicha nitatumiwa , nimemwambia jamaa ahakikishe anamla asimuache.

Wadada badilikeni jamani, demu yuko vizuri, sio kanishinda ila naogopa kufa wakuu, atakayehitaji no. yake nampa inbox ila mpaka jamaa amalize mission yake msije kumuaribia, atakaehitaji anicheki jioni.
Unauza watu Mkuu,,?
 
Back
Top Bottom