Hili karatasi lilipigwaje picha??Me naona ni bora wapeleke 2 hz evidence polic,kulko kutuwekea hapa haina maana yoyote,lakin always giza na mwanga haviwez kukaa pamoja,ukweli utajtenga na uongo,na kwa mtazamo wangu wenye macho wameona.
Ni jambo zuri tena la busara sana kwa chama makini cha watanzania.Lakini ni vizuri zaidi huo mkakati ukaangaliwa kwa upana sio 2 UDOM bali uwekwe mfuko maalum ambao utasaidia hata wanafunzi wengine kunufaika hata kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.