Tara tara tara taraaaaaa....
Habari wakuu wa jamvi...
usiku wa kuamkia leo nimeoteshwa kuwa CCM katika uchaguzi ujao 2015 wanamsimamisha ndugu salim ahmed salim na atashinda kuwa rais wetu ajaye..
baada ya kuamka nikaanza kutafakali nikaona inaweza kuwa kweli ndoto yangu ikatimia kwa sababu zifuatazo:
1. Salim. A.S hana kashifa yoyote kama viongozi wengine wanaotajwa kutaka kugombea
2. Kuchaguliwa kwake ktk CC kuna mpa nafasi kubwa.
3. Marais wa awamu mbili zilizopita wote wametoka bara hivyo sasa ni zamu ya ZNZ
Umeota?
Kwa hiyo,tujadili ndoto hapa?
Labda rais wa TFF,ulitafsiri vibaya ndoto yako kudhani ni Rais wa Tanzania.Hii ni kwa sababu mchakato wa Rais wa TFF ndo unaendelea siyo wa JMT.
ndoto huwa ni matokeo ya kazi nyingi za mchana kuna jamaa alikuwa anaota anaongea na mungu akizinduka anawasimulia washikaji zake kile alichokuwa anaongea na mungu, alipofariki marafiki zake waka-compile zile ndoto wakaita korani, matokeo hasi ya hizo ndoto dunia yote inayashuhudia, chungulia afghanistan ukikutwana tv set unafungwa ukikutwa na AK47 unaonekana raia mwema, kwa hiyo ndoto sio kitu kizuri na hazifai kusimuliwa.
Tara tara tara taraaaaaa....
Habari wakuu wa jamvi...
usiku wa kuamkia leo nimeoteshwa kuwa CCM katika uchaguzi ujao 2015 wanamsimamisha ndugu salim ahmed salim na atashinda kuwa rais wetu ajaye..
baada ya kuamka nikaanza kutafakali nikaona inaweza kuwa kweli ndoto yangu ikatimia kwa sababu zifuatazo:
1. Salim. A.S hana kashifa yoyote kama viongozi wengine wanaotajwa kutaka kugombea
2. Kuchaguliwa kwake ktk CC kuna mpa nafasi kubwa.
3. Marais wa awamu mbili zilizopita wote wametoka bara hivyo sasa ni zamu ya ZNZ