Recent content by pofy gia

  1. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    😁😁😁imepenya hiyo
  2. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    mwanza ya moto
  3. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Yanga tusitumie tena uwanja wa Mkapa. Wanatuhujumu

  4. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Yanga tutarudi imara zaidi

  5. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Trump bado hajaingia madarakani lakini Impact yake ni kubwa zaidi ya watu wanavofikiri, anatetemesha watu

    trump namkubali naona ule umoja wao uchwara wa brics unaenda kushake
  6. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

    aisee Israel inajua kuchapa nasikia mpaka leo jamaa Bado hawajazima moto bandarini,netanyahu kashika korodani za wahouth.
  7. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

    safi sana netanyahu piga hayo magaidi na naamini hayawezi kujibu Tena maana kichapo walichokula sio cha nchi hii Hadi moshi wa mirungi umewatoka.
  8. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

    vipi ushawahi kunywa maziwa ya kondoo??najua huwezi jibu hili swali mpaka unakufa😬😬😬nakusubiri
  9. pofy gia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  10. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    na Wanachochangia ni kama billion 33.3 tu kwa mwezi.
  11. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    sikuwahi kujua wazanzibar wanafaidi namna hii,hiki Wanachochangia ni kidogo mno ukilinganisha na matumizi ya muungano yaani hizo pesa zilipe madeni ya muungano,hizohizo zilipe police,wanajeshi na uhamiaji kulekwao,halafu ziendeshe na wizara zingine za muungano hapohapo wapate asilimia mbili ya...
  12. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    pesa ndogo sana hiyo,Tena wazanzibar wanatupunja,hiyo ina maana TRA Kila mwezi huchukua billion 33.3🤣🤣🤣,halafu hela hiyohiyo tuwalipe wabunge wao 80 wanaofika huku,wanajeshi,police na uhamiaji walioko kule,wizara zote za muungano na hapohapo wanapata asilimia mbili Tena aisee mbona tunapunjwa...
  13. pofy gia

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Asante mkuu kwa ushauri ni matumizi ya kawaida tu
Back
Top Bottom