Yawezekana majirani wanaogopa hata kutoka wakishasikia mlio wa risasi,,,kumbuka kibiti sio Tarime tena wengine ukute wakisikia mlio wa risasi wanaingia uvunguni.All in all kwa mtazamo wa haraka inaonekana wauaji wametarget sana kuua viongozi wa serikali za mitaa na polisi sio raia wa kawaida...
Kutafuta marafiki wa kushirikiana nao katika shida na raha ni ulesbian?hebu muogope Mungu na usipende kuhukumu binadamu wenzio.Ulitaka niseme natafuta marafiki wanaume hata kama ninae mwanaume wangu tayari?
Habari za majukumu wapendwa,mimi nipo Dodoma natafuta marafiki wa kike waliopo Dodoma kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kusaidiana mambo ya kike kama ambavyo mnajua wanawake tunapenda kushirikiana.Sina muda mrefu sana tangu nihamie mkoa huu kwaiyo nakuwa mpweke sana sina marafiki wa...
duuuuuuh pole sana kaka,sijui sisi wanawake tukoje,,muombe Mungu akupe busara na uvumilivu kwa kipindi hiki naamini yote yatakwisha,hata Ayubu pia alitelekezwa na mke wake kwaiyo wewe sio wa kwanza kunyanyaswa,Mungu na akupiganie utoke kwenye haya majaribu salama
Hilo la laki 3 ni wigi sio weaving,na tofauti ya wigi na weaving ni kwamba weaving linashonewa kichwani hivyo mtu anakuwa nalo muda wote na baada ya kama week 2 linakuwa lishachakaa analifumua kichwani na kulitupa.Lakini hilo wigi la laki 3 ni nywele za kofia ambayo anavaa na kuvua...
Habari wana jukwaa,mimi ni mwanadada mwenye umri wa miaka 27 na nimesomea mambo ya ugavi na hivi sasa nimeajiriwa kama mgavi kwenye kampuni fulani kwa miaka 2 sasa,ila mimi kazi ya ugavi siipendi maana ilikuwa ni dream ya familia yangu na ndo walinishawishi nisome hii kozi,lakini mimi dream...
we punguani kweli,kwahiyo ulikuwa unataka uwe unakula bure,mwenzio ana matatizo unashindwa kumsaidia,,kama ulijua huna hela si ungekaa na mkeo,,,,,mburulaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
point aiseee,,,,,,maswali maswali kama tuko kwenye mtihani ya hivi vivulana inachosha sana,mara uko wapi mara unafanya nini unanilinda kwani mimi mwanao alaaaaaah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.