Nyie wanawake maisha sio muvi tu

Nyie wanawake maisha sio muvi tu

Maisha ya ndoa ni uvumilivu rafiki kuchukuliana both sides hata wewe yapo yanayomkwaza mno kama kupost angeweza post daily on jamii/fb kila kona but anayamezea kwa hiyo mkuu/mdau try to learn from each other and be more than frnds
 
nyie watu mnaboa kwa kweli.
inahitaji uvumilivu wa hali ya juu kumvumilia mtu anayetaka kukufundisha uishi maisha ya kwenye muvi za kikorea na wewe unatambua ni African man.
muvi zake unamwachia aangalie ila ukitaka kuangalia mpira tu, utasikia twende kulala!!
kwa hiyo mie nisiangalie hobi zangu?
Nunua tv 2 kila mtu aangalie ya kwake,moja unaweza kuweka sebuleni na nyingine chumbani ili kila mtu awe na uhuru wa kuangalia anachotaka kwa utulivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom