Baada ya kashikashi za simu yangu kuibiwa niliyonunuliwa na sponsor’ mwaka jana December nikazama dukani nikanunua simu mpya dukani kwa hela yangu roho bado inaniuma sana[emoji26] na sasa zimeshuka bei tofauti na nilivyonunua 2018
Nilivyokua shule nilikua nacheza 50 to 55’ nilikua kimodooooo
Kuja kuanza chuo nikakonda mpaka 48kgs first semester’ semester ya pili mpaka nikamaliza nilikua nanenepa tu (naona niliridhika na maisha ya huko) nimesoma dodoma ila nyumbani ni dar
So nilikua nakaa mwenyewe
Sasahivi nna 78kgs...
Qatar ubaguzi upo kama kawAida tu na kazi nyingi wanazopewa watu weusi ni ufundi wa nyumba kama kuweka tiles kupaka rangi na vizuri uende kwa kampuni yan uwe chini ya kampuni ili iwe rahisi
Hali ya hewa ni ya kawaida (humidity)
Wanazengo mpo salama
Buheri wa afya?????
Kama kichwa kinavyojieleza hapo... Leo mambo ni bamia aka vibamia/kibamia[emoji23][emoji23]
Aisee vibamia vitamu bwana sijui kwann watu wanavinangaga kwa kweli? Raha ya kibamia ukikalie juuu afu wote mshughulike aiseee ni raha zaidi midushelele inatanua...
Hapana hauwezi ni mpaka uwe na d (4)
Zamani kulikua na kitu kinaitwa foundation course (kutafuta marks za kuanzia certficate) ila ilitolewa mwaka 2016 mpk Leo sijasikia tena kama ipo
Kama unaweza rudi shule (kufanya mtihani) urekebishe cheti’ utafute credit moja hapo hata kma ni d except ya somo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.