Recent content by pmwasyoke

  1. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu mnatia aibu, sakata la vikwazo, huko Bungeni mnamuwakilisha nani?

    Huu mfumo unaowekewa kauzibe na Marekani ndio uliowaweka hawa wabunge mjengoni. Hawawezo kuikubali mantiki ya Marekani.
  2. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Nikimkumbuka yule jamaa aliyekuwa "apumnzishwe kwa amani" hivi karibuni ila akaokolewa na maafisa usafirishaji (bodaboda), huwa siielewi hiyo severeignity inayotetewa hapa!
  3. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo one can say with certainty ni akina nani walimkata mtu kichwa

    Kongole sana kwa maafisa usafirishaji (bodaboda) kwa kunusuru uhai wa huyu ndugu!
  4. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo one can say with certainty ni akina nani walimkata mtu kichwa

    Tulio wazito kidogo kuelewa tufafanulie zaidi tafadhali.
  5. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Polisi: David Djumbe amepatikana, tunachunguza waliomkamata Bunju

    Haki ya kuishi kwa amani bila uwoga wa kutekwa Tanganyika imekuwa bidhaa adimu!
  6. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Umakini mkubwa zaidi unahitajika unapoovertake, kwa vile kuona kwako mbele ya gari unalotaka kulipita si rahisi kama kwa wenye usukani kulia.
  7. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Maxence Melo🎉🥳

    Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Mkuu!
  8. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Tanzania moja ya nchi zenye utajiri mkubwa wa gesi barani Afrika

    NIjuavyo hii gesi ya kwenye mitungi (LPG) inatoka huko ughaibuni, hususan uarabuni. Siyo inayochimbwa hapa. Ila naungana na wazo kwamba gesi yetu ya Mtwara bado haijatusaidia - kwa vile yenyewe inahitaji mfumo wa mabomba kusambazwa, na mfumo huo hakuna, isipokuwa kwa viwanda na watu wachache...
  9. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Alphonce Muyinga: Heche ni debe tupu, tutampa elimu tukiona anapotosha umma kwa makusudi

    "Tukiona anapotosha umma ........" Ina maana mpaka sasa hawajaona upotoshaji. Shida ya huyu sijaielewa. Kwa nini ashughulishwe na debe tupu?
  10. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Suala la watu kufia majumbani Kwa kukosa matibabu kutokana na ukata ni tatizo kubwa kwa sasa

    Ni kweli kwa watu wengi. Lakini wapo wengi pia ambao kila mwezi au kila kipindi fulani wangewekeza japo kidogo kidogo, mfano kwenye mifuko ya uwekezaji wa pamoja, zikawafaa uzeeni. Unachukulia kama mchango wa harusi, unaweka, unasahau. Ujengaji wa utamaduni wa kujiwekea akiba ni muhimu. Hata...
  11. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Suala la watu kufia majumbani Kwa kukosa matibabu kutokana na ukata ni tatizo kubwa kwa sasa

    Nilisoma mahali waliisifu nchi yetu kwa kuwa na bima ya afya kwa wote!
  12. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Serikali: Tunaongea na CCM tuweze kukarabati viwanja wanavyomiliki

    Hapo naona dalili za chama kuwakamua watanzania kupitia hiyo dili ya serikali na chama.
  13. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jengo la Hospitali ya Rufaa Singida limejengwa zaidi ya Miaka 10 bila kukamilika, Viongozi wanapita tu

    Mzabuni angekuwa ameshalipwa kila anachostahili kwa mujibu wa mkataba na bado asiendeleze ujenzi wangeshamchukulia hatua stahiki. Naamini shida ni kwa mamlaka wenye mradi, yaani serikali.
  14. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuchomoka Kwenye Mtego wa Umaskini wa Siri wa Tabaka la Kati (how to escape on The Middle Class Trap)

    Watu wa tabaka la kati waichukue hii, na hasa kipande cha kuwekeza sehemu ya mshahara katika maeneo ambayo fedha itakuwa salama (minimal risk) huku ikikufanyi kazi bila wewe kutoa jasho. Sehemu hizo ni kama hatifungani za serikali au za mashirika, unit trusts (hapa kwetu akina utt) nk.
Back
Top Bottom