Mimi ni msafwa. Kisafwa changu huwa kina maneno mengi ya kiswahili. Ninaamini kuchanganya lugha ni hulka inayojileta tu kwa ajuaye lugha zaidi ya moja.
Mtoa mada unaleta ushauri mzuri sana, japo wengine wanaona sio.
Mimi binafsi, sasa nikiwa na umri wa miaka 71, nimeuishi utaratibu huo na ninafaidika sasa uzeeni.
Nidhamu kubwa ya kuŵeka fedha kidogo kidogo kila mwezi au kila mara katika taasisi za kifedha kama utt, hatifungani, nk inakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.