Recent content by pmwasyoke

  1. pmwasyoke

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Imani za kishirikina na umaskini baba moja mama moja!
  2. pmwasyoke

    KERO Ukimya wa Idara ya Uhamiaji dhidi ya maumivu makali ya Wananchi Wanaosubiri Pasipoti

    Hivi kumbe bila kuvaa shati la mikono mirefu ni shida?
  3. pmwasyoke

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    HIvi siku 90 zinahesabiwaje - maana naona hazifiki mwisho!
  4. pmwasyoke

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Mie nimeona ukweli tu kwenye hiyo heading. Hakuna dharau wala kutweza!
  5. pmwasyoke

    Trump Kakimbia Vita

    Kwa hakika surprise ya Iran kwa trump sio ya mchezo!
  6. pmwasyoke

    Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    Mimi ni msafwa. Kisafwa changu huwa kina maneno mengi ya kiswahili. Ninaamini kuchanganya lugha ni hulka inayojileta tu kwa ajuaye lugha zaidi ya moja.
  7. pmwasyoke

    Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    Mimi ninaamini ni tabia inayojileta tu ya watu wanaojua au kutumia lugha zaidi yamoja.
  8. pmwasyoke

    KERO Serikali imesema tuongezwe mishahara lakini Fanikiwa Microfinance inatuongezea 'target ya kufikisha'

    Taasisi binafsi zitapata wapi pesa ya kuongeza mishahara bila kuongeza uzalishaji?
  9. pmwasyoke

    Tengeneza kiinua mgongo chako Usije ukatoa laana kwa wanao

    Mtoa mada unaleta ushauri mzuri sana, japo wengine wanaona sio. Mimi binafsi, sasa nikiwa na umri wa miaka 71, nimeuishi utaratibu huo na ninafaidika sasa uzeeni. Nidhamu kubwa ya kuŵeka fedha kidogo kidogo kila mwezi au kila mara katika taasisi za kifedha kama utt, hatifungani, nk inakuja...
  10. pmwasyoke

    Sentinelese jamii ya watu walioamua kujitenga na ulimwengu wa kisasa

    Hongera kwa serikali ya India kwa kutokulazimisha "ustaarabu" kwa watu hawa!
  11. pmwasyoke

    Bora kuwa single!

    Sasa kwa nini unatuandikia sisi tuliozaliwa na tunaozaa? Kama huoni faida ya kuzaana, kuwa peke yako kabisa, usisocialize.
  12. pmwasyoke

    Je, mifumo na taasisi zinazotakiwa kumsaidia Rais katika kusimamia nchi zinafanya kazi ipasavyo?

    Iwapo watu kila mahali wanamsubiri waziri mkuu awatatulie matatizo yake, labda nchi iwe na mawaziri wakuu wengi kabisa - moja kwa kila kijiji!
Back
Top Bottom