Recent content by pmwasyoke

  1. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania KERO Sherehe za NaneNane Mbeya: Kulazimisha watumishi kuhudhuria sherehe si sahihi

    Uchawa wa viongozi - wakitegemea teuzi kwa kuhudhurisha watu wengi!
  2. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Mimi huwa sitaki umbali kati yangu na mwenge upungue kilomita moja. Sitaki kabisa kuusogea.
  3. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Mtoto ni wa nani, aliyeweka mbegu na kupotea au aliyemrutubisha tumboni na kutoa matunzo?

    Kitafsida lugha sahihi ni baba mzazi na baba mlezi.
  4. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wanaofanya kazi ya kununua mchele kwa ajili ya Wilmar Rice wanateseka sana kwa mishahara duni na mazingira magumu ya kazi

    Mfanyabiashara ni kawaida kuepuka au kupunguza gharama zake kadiri iwezekanavyo ili apate faida zaidi. Ndio asili ya biashara. Ni jukumu la hao wakusanya mchele kumthibitishia huyo mfanyabiashara kwamba kulipwa posho/mishahara yao kwa wakati ni gharama isiyoepukika. Vinginevyo wataendelea...
  5. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Wengine kutoa zawadi hizo ni namna ya kuwekeza.
  6. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa ameigeuza KKKT kuwa jumuiya ya CCM

    Hivi inakuwaje kiongozi wa taasisi kubwa ya kidini anadhani anawajibika kuwa chawa?
  7. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali iboreshe huduma za usafiri wa anga na kushusha gharama za nauli ili Wananchi wengi wapande

    Iliwahi kuja Fastjet na bei nafuu ikafanyiwa figisu hadi kuondolewa!
  8. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Fr Kitima: Unataka uridhiane na nani na hujakiri kosa?

    Liko wazi. Kalichangamkie!
  9. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa lugha ya Kiswahili naomba mnisaidie katika hili 👇.

    Ni bora uombe namba zake. Ukimkosa kwenye moja unajaribu nyingine
  10. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa lugha ya Kiswahili naomba mnisaidie katika hili 👇.

    Kwa mfano mtu anaweza kuwa na namba ya simu 0784333000. Hiyo ni namba moja japo in tarakimu 10. Umoja unahusika. Uwingi unakuja pale unapokuwa na namba nyingine tena kwenye simu hiyo hiyo au simu n̈yingine. .
  11. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Kifo hakisikii cheo, Mali wala umaarufu

    Kifo si kibaya kama wengi wanavyokiogopa. Ila mchakato wa kukifikia mara nyingine unakuwa wa mateso mno. Heri yao wanaolala usingizi na asubuhi wanakutwa wamekufa! No kusota ukiugua miezi au miaka!
  12. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Hakuna maridhiano(USANII) hapa; acheni tu nchi izikwe rasmi tuanze upya.

    Maridhiano - naona kama hili jambo halitatokea hadi 2030, kwa vile sioni dhamira ya dhati.
Back
Top Bottom