Recent content by pmwasyoke

  1. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Baraza la mitihani la Tanzania: Darasa la tano mwaka huu kumaliza elimu ya msingi mwaka 2027

    1967 darasa la 8 liliuawa, 2027 darasa la 7 litauawa, Vijana wa sasa watarajie kuja kushuhudia darasa la sita likiuawa.
  2. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Gari la laki saba (700,000/=)

    Labda pana fasihi hapa - maana mnunuzi wa bandari kutaka gari la laki saba!
  3. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Wale wadudu wanaowaka taa

    Wale watakuwa na vijenereta vidogo miilini mwao!
  4. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Iwapo moja wa wanandoa anakataa kushika mimba/kuzaa baada ya ndoa, ndoa hiyo inakuwa batili. Huenda kuna taarifa muhimu hakukushirikisha kabla hamjaoana - jambo ambalo linakomelea ubatili wa hiyo ndoa.
  5. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Mkuu - pole kwa kadhia hiyo. Nionavyo mimi, iwapo mpango biashara uliowasilisha unahitaji 9.6m, usichukue hiyo 3m, isipokuwa kama: a) unaweza kujazia 6.6 zilizobaki kufanya biashara iliyolengwa; b) biashara hiyo inaweza kupunguzwa ukubwa ikafanyika kwa huo mtaji pungufu. Vinginevyo utapata...
  6. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Fulana za kumbukumbu ya mauaji ya Tundu Lissu zagombewa kama njugu, zamalizika sokoni kwa muda mfupi

    Itapendeza viongozi wa serikali wasizikose hizi!
  7. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Wazee wastaafu wa One Night Stand, karibuni tupeane uzoefu. Nikichapa client, ikaleta bonge la conflict, nikatimuliwa ofisini

    Bila shaka wapo, japo wachache, waliowahi kunufaika na hiyo tabia!
  8. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kabla ya 2030 tutanunua ndege nyingine 40

    Nadhani mambo ya ufanisi si kitu - ili mradi tuwashinde majirani zetu kwa idadi ya ndege.
  9. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Haya ndio Maswali Muhimu ya Lissu kwa Mashaidi kuhusu kauli za Raisi Zitakazomlazimisha Samia aitwe mahakamani

    Mhimili uliojichimbia chini zaidi utaitwaje na mhimili wa kawaida?
  10. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Kadhaa wajeruhiwa baada ya taili za mbele za ndege kupasuka

    Zingepasuka wakati inatua ingekuwa balaa zadi!
  11. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Dkt. Lwaitama: Watawala wanatumia Tume kukwamisha sauti za wananchi

    Kwa usemi huu na huyu watamwona adui sasa!
  12. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Mtu akiwekwa kizuizini anaruhusiwa kwenda kanisani ?

    Wafungwa wanapelekewa huduma za kiroho na viongozi wa dini. Kwa haki hiyo huenda wanamzidi aliyewekwa kizuizini!
  13. pmwasyoke

    JamiiForums Tanzania Eneo la shule kuwekwa maduka

    Maeneo mengi yana fremu nyingi mno kuliko mahitaji, hivyo nyingi hubaki bila kutumika kwa miaka. Huku ni kuzika mitaji!
Back
Top Bottom