Mfanyabiashara ni kawaida kuepuka au kupunguza gharama zake kadiri iwezekanavyo ili apate faida zaidi. Ndio asili ya biashara.
Ni jukumu la hao wakusanya mchele kumthibitishia huyo mfanyabiashara kwamba kulipwa posho/mishahara yao kwa wakati ni gharama isiyoepukika.
Vinginevyo wataendelea...
Kwa mfano mtu anaweza kuwa na namba ya simu 0784333000. Hiyo ni namba moja japo in tarakimu 10. Umoja unahusika.
Uwingi unakuja pale unapokuwa na namba nyingine tena kwenye simu hiyo hiyo au simu n̈yingine.
.
Kifo si kibaya kama wengi wanavyokiogopa.
Ila mchakato wa kukifikia mara nyingine unakuwa wa mateso mno.
Heri yao wanaolala usingizi na asubuhi wanakutwa wamekufa! No kusota ukiugua miezi au miaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.