Iwapo moja wa wanandoa anakataa kushika mimba/kuzaa baada ya ndoa, ndoa hiyo inakuwa batili.
Huenda kuna taarifa muhimu hakukushirikisha kabla hamjaoana - jambo ambalo linakomelea ubatili wa hiyo ndoa.
Mkuu - pole kwa kadhia hiyo.
Nionavyo mimi, iwapo mpango biashara uliowasilisha unahitaji 9.6m, usichukue hiyo 3m, isipokuwa kama:
a) unaweza kujazia 6.6 zilizobaki kufanya biashara iliyolengwa;
b) biashara hiyo inaweza kupunguzwa ukubwa ikafanyika kwa huo mtaji pungufu.
Vinginevyo utapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.