ccm will never do anything new, tulikuwa na matumaini makubwa kwa kikwete 2005, ona anaiacha nchi vp sahv kila mtz anaomba mabadiko yatokee.mnafikiri ccm itafanya mabadiliko gani aliyoshindwa kikwete???
Mabadiliko yanaanza na mfumo wakuendeshea nchi ( KATIBA ). Je unaposema magufuli mchapakazi! Kikwete, mkapa na mawaziri wao na wabunge wote waliopita vp! Ni wavivu? Tatizo katiba inayolinda maslahi ya nchi na inayowabana viongozi ( kama rasimu Warioba ). Je magufuli anakubali katiba ya wananchi...
Kashfa hazifanyikazi, MTU hachaguliwi kwa utakatifu wakujifanya, but because of he is abilities,. Tumechoka na ccm toka Uhuru! Tuangalie hata mfano kenya. Hatuweze kuendea kwa huu Mfuko wa chama dola
Kwa wanasiofahamu historia ya Dr. Slaa alivyo jiunga na chadema nikuwa haitofautiani na Lowasa kujiunga na chadema. Slaa naye ilikatwa na ccm 1995 kuwania ubunge jimbo la karatu ingawa ilikuwa anakubalika sana then akahamia chadema na kushinda ktk uchaguzi
Kwakweli, cwt wezi kweli tena kuanzia wilayani hadi taifa. Kila mwezi inatakiwa warudishe asilimia kadhaa ya mchango wakila mwanachama kituoni kwake bt hawarudishi. Chama hakina msimamo wamebakia eti "shemeji unatuachaje!" Hawaoni hata mfano Wa wenzao Wa kenya
Mbeya alimunga mkono Mwandosya katavi Pinda, mwingine akifika atamunga mkono mtu mwinge mi navyoona nia ya huyu jamaa nikuteneza mazingira ili atakayeshinda amkumbuke kwenye ufalme wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.