Kujipendekeza kubaya sana. Suala linaloongelewa ni mhimu kwenye maisha ya watumishi wa umma na sector zingne. Utateteaje kitu kima hiki kimahaba na kulinganisha na vyama siasa? Utafanyaje kazi miaka minne bila nyonngeza mshahara na maisha yazidi kupanda?
Wadau naombeni Msaada wa kupata Orodha ya wanafunzi Kidato cha Kwanza Mkoa wa Shinyanga-Halmashauri ya Kahama Mjini 2018, nimetafuta sana bila mafanikio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.