Mi ninayo mkuu.Jamani nasikia majina ya darasa la saba waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani 2017 yameshatoka.....
Mwenye link ya hayo majina atupie hapa.
Weka io link mkuuMi ninayo mkuu.
Mkuu, nilienda wizarani kufuatilia kuhusu majina ya kutoka mkoa wa shinyanga na nikaambiwa kwamba bado hayaja wekwa kwenye mtandao.Kwa kweli sijui technology ndio I inakuwa kweli hivi?
Je siwezi kupata softcopy ya kahama mji?Mkuu, nilienda wizarani kufuatilia kuhusu majina ya kutoka mkoa wa shinyanga na nikaambiwa kwamba bado hayaja wekwa kwenye mtandao.
Then nilipewa namba ya afisa Elimu wa mkoani pale na alinipatia majibu mujarab kabisa.
Ama nipe majina ya watoto na shule walizo somea pia wilaya, kisha nikuulizieJe siwezi kupata softcopy ya kahama mji?