Recent content by PlayBoyMwema

  1. PlayBoyMwema

    TV4Sale Nauza TV na Sabufa

    Nimeshangaa sana maana kwa bei hiyo imeipita hata ya Smart toka zanzibar...
  2. PlayBoyMwema

    Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

    Me sio mtaalamu sana wa magari ila nategemea by Mwezi wa 12 nije nichukue Toyota Allex used..vip iko njema wakuu?
  3. PlayBoyMwema

    Nimeachwa kisa siko romantic

    Safi sana baharia ulivomkalia kimya umemuonesha kuwa bila yeye maisha yanaweza kusonga tu ndio maana akajirud...
  4. PlayBoyMwema

    Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

    Sawa kabisa he is good actor
  5. PlayBoyMwema

    Waziri Mkuu, stendi ya Songea inawalipa wengi

    Halmashauri ya Manispaa ya Songea wametoa tishio la kunyanganya vibanda kwa wafanyabiashara wa soko kuu watakaoendelea kufunga biashara zao....Wametoa muda wa masaa 24 maduka ya soko kuu yawe yamefunguliwa..Sasa kuna sheria inayoweza kumlazimisha mfanyabiashara afungue duka lake what if kama...
  6. PlayBoyMwema

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Madj wa kenya wapo vizuri sana huchoki kusikiliza mixing zao na wapo very updated sana na skillz za kutosha...Nilianza kuwafahamu Kipindi kile Star Tv wanarusha kipindi cha Supremacy sound ambacho kilikua kinapiga nyimbo za Reggae na Riddims na Dj alikuwa ni Simple simon Mara ya kwanza nilidhani...
  7. PlayBoyMwema

    Sound of Africa;Album ya Vanny Boy

    Album ni nzuri bwana hebu isikilize kwa mara ya pili ukiwa umetulia utagundua dogo kajitahidi
  8. PlayBoyMwema

    Vijana msidanganywe, ukiwa na pesa utapata mwanamke umtakaye

    hoja ipi mkuu..maana hapa kuna hoja nyingi sana zimetolewa na mleta thread na wachangiaji
  9. PlayBoyMwema

    Nimeagiza simu mtandaoni imefika walichonifanyia TRA leo sitokaa nisahau mpaka nakufa

    Ishu sio simu kutengenezwa hapa nchini ila ni kulinda soko la ndani...Kumbuka hizo simu unazonunua mtandaoni kuna wafanyabiashara kariakoo wamekodi fremu,wamekata tin ya biashara na wanalipa leseni za manispaa wanauza hizo simu ambazo sisi tunakimbilia kuzinunua nje ya nchi...Hivo kama mimi na...
  10. PlayBoyMwema

    Nimeagiza simu mtandaoni imefika walichonifanyia TRA leo sitokaa nisahau mpaka nakufa

    Sawa seller wanatofautiana bei lakin sio kwa margin kubwa lets say Umenunua iphone 12 lakin invoice yako ikaandikwa $55 unadhan afisa wa TRA atakuamin na akicheki bei halisi za iphone 12 unakuta zina range kati ya $900 hadi $1200...atleast utumie sababu ya kununua kwa discount kwenye events kama...
  11. PlayBoyMwema

    Nimeagiza simu mtandaoni imefika walichonifanyia TRA leo sitokaa nisahau mpaka nakufa

    Yes sio lazima Kila mtu anunulie bidhaa hapahapa nchini...ila according to wao wana hoja yao kuwa kila mtu akinunua bidhaa mtandaoni wale wafanyabiashara wa kariakoo bihdaa zao zitanunuliwa na nani ?? ndio chanzo cha kututoza kodi kubwa ya manunuzi unayofanya mtandaoni ili next time uone ni...
  12. PlayBoyMwema

    Nimeagiza simu mtandaoni imefika walichonifanyia TRA leo sitokaa nisahau mpaka nakufa

    Yes ndio lango lao kukudiscourage usinunue bidhaa nje ya nchi badala yake ununue hapahapa kwa wafanyabiashara wa ndani ili ujenge nchi yako....
  13. PlayBoyMwema

    Nimeagiza simu mtandaoni imefika walichonifanyia TRA leo sitokaa nisahau mpaka nakufa

    Naona watu wanasema ni vizuri kuongea na seller ili akupe invoice ambayo inakuwa na bei ndogo kuliko bei halisi ya bidhaa husika lakini TRA nao sio wajinga hawaangalii invoice uliyopewa na seller watakuuliza hii bidhaa umenunua kupitia mtandao gani either Aliexpress au Amazon ? baada ya hapo...
  14. PlayBoyMwema

    Ni App(s) gani bomba ambayo unajivunia katika simu yako?

    Metatrader 4 Investing Call levels Telegram
Back
Top Bottom