Kuna msemo unasema
"Cheka nao kula nao cheza nao"kama huwezi kupigana nao ungana nao
Vyama vya upinzani na watanzania wenye kiu kali ya kutaka kuona hatima ya chama tawala hapa nchini kuna ushauri huu hapa
Chini ya makada na wale wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa nchini hawana budi kukaa...
Mkuu kwa muda nilikuwa nataka kuandika mada kama hii lakini umeniandikia kabisa
TATIZO SIO CCM WALA VIONGOZI
TATIZO NI WATANZANIA AMBAO NADIRIKI KUWAITA WAPUMBAVU
NAAM WATANZANIA NI WAPUMBAVU
Mimi binafsi huwa naendesha kale katairi nikiwa nimesimama yaani sio kwa kuweka magoti sakafuni
Sasa watu huwa wananiangalia wanasema kwani hilo tumbo lako lina misuli ya chuma??
Hahahahahaha mazoezi raha aisee
Ni kweli wanaweza kuwa na makosa ya hapa na pale na kibaya zaidi ni pale hayo makosa yanapojirudia
Kwa upande wa wateja nako kunakuwa na stress za hapa na pale kitu kinachoawafanya kijiona kama wanadharauliwa
Ombi langu kila mmoja kwa upande wake anapaswa kujitathmini kwani upya ili kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.