Recent content by Platnum member

  1. P

    Ushauri wangu kwa Vyama vya Upinzani

    Kuna msemo unasema "Cheka nao kula nao cheza nao"kama huwezi kupigana nao ungana nao Vyama vya upinzani na watanzania wenye kiu kali ya kutaka kuona hatima ya chama tawala hapa nchini kuna ushauri huu hapa Chini ya makada na wale wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa nchini hawana budi kukaa...
  2. P

    Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

    Mkuu kwa muda nilikuwa nataka kuandika mada kama hii lakini umeniandikia kabisa TATIZO SIO CCM WALA VIONGOZI TATIZO NI WATANZANIA AMBAO NADIRIKI KUWAITA WAPUMBAVU NAAM WATANZANIA NI WAPUMBAVU
  3. P

    Fisi aliyeuawa kwa risasi 49, wananchi wagawana nyama

    Hapa inaonekana walikuwa wanamkimbiza akikaa kwenye target wanafyatua risasi anakata kona wanamkosa Hivyohivyo hadi risas hizo
  4. P

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Wakuu hivi hamna group chat kwa pm aisee
  5. P

    Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

    Mimi binafsi huwa naendesha kale katairi nikiwa nimesimama yaani sio kwa kuweka magoti sakafuni Sasa watu huwa wananiangalia wanasema kwani hilo tumbo lako lina misuli ya chuma?? Hahahahahaha mazoezi raha aisee
  6. P

    Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

    Ni kweli wanaweza kuwa na makosa ya hapa na pale na kibaya zaidi ni pale hayo makosa yanapojirudia Kwa upande wa wateja nako kunakuwa na stress za hapa na pale kitu kinachoawafanya kijiona kama wanadharauliwa Ombi langu kila mmoja kwa upande wake anapaswa kujitathmini kwani upya ili kuona...
  7. P

    Hapa duniani kitu gani kilitakiwa kiwe bure?

    Hii ndio hali halisi ya mawazo ya vijana wa kitanzania Ngono tena Ngono zembe
  8. P

    Tozo ya uzalendo iendelee tu, tujikaze tujenge nchi

    😂😂😂😂😂😂😂😂
  9. P

    Huu ni mwaka wangu wa mwisho kuajiriwa

    Nidhamu ya pesa asikwambie mtu huwezi kujuta kama ukiifuata ipasavyo
  10. P

    Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Nadhani wangeagiza zile za urusi,china,cuba au iran Hao wengine hasa wa magharibi heheeheh
Back
Top Bottom