cha kushangaza zaidi ni kwamba hawa tra wanaangalia tu mauzo ya mfanyabiashara badala ya kuangalia faida yake halaf waangalie garama za uendeshaji ndipo waone kama kuna haja ya mashine au la.hv wanavyotaka kuwapelekesha ni kama kutafuta vurugu nchi nzima kwa kuwa watu wamechoka kuonewa.
Halaf kova anastahili kushtakiwa kbs kwa kuudanganya uma wa Watanzania kuwa mtuhumiwa kakamatwa kanisan akitubu kwa kumteka ulimboka.kwann tunakuwa na viongozi waongo kiasi hk?hv hawamwogopi hata Mungu.hili ni janga.
Unajua Nape anafikiri Wtz wa sasa ni wajinga wasiojua kupambanua mabo.huyu jamaa ananikera sana.wkt wanapitisha kule bungeni kwann hakutoa ushauri kwa wabunge wa ccm wasipitishe?iweje leo baada ya kuona wananchi wanalalamika ndipo na yy ajifanye kuongea unazi?huyu kijana akieeka sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.